Je tunajua nini kuhusu Freemasons?

Kama wakristo tuliookoka, tunatakiwa kuchukua hatua gani?

Nanukuu ‘Freemasons wa Tanzania? Waliojitokeza waziwazi na kujitambulisha ni kina Chande “Andy Chande” ambao ni matajiri wafanyabiashara maarufu. Katika mahojiano aliyofanya na mwandishi Muhiddin Michuzi wa gazeti la Sunday News la tarehe 3 April 2005, Sir Andy Chande alikiri kuwa anao wanachama zaidi ya 3,000 (yeye mwenyewe ni District Grand Master), na kuwa wamekuwa wakishirikiana na Rais Yoweri Museveni, Makamu wa Rais wa Kenya Moody Awori, na Rais Mstaafu Ben Mkapa (hakutaka kutamka wazi kuwa ni wanachama, lakini wapo watu wengine wanaofahamu kuwa hao aliowataja ni wanachama wa hiyo kitu, pamoja na Mzee Mengi). Alitamka kuwa mtu yeyote akishajiunga na freemasonry hawezi kutoka tena, kwa maneno yake “Once a freemason, always a freemason”.

Tazama jibu la Sir Andy Chande alipoulizwa na Muhiddin Michuzi kuhusu yalipo makao makuu ya Freemasons nchini Tanzania: “It is located along Sokoine Drive, just behind the Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam. We have a licence to sell drinks to members; we have also been exempted by the government of Tanzania from registration We have the full blessings of the government. Once that building was about to be taken over for public purpose, but when I sent a memorandum to the State House, we got it back. You know, Mwalimu Julius Nyerere was not a Freemason, but he knew what Freemasonry is”.

Imani Kapinga

223 thoughts on “Je tunajua nini kuhusu Freemasons?

  1. I will come with more on this,but knowledge is power and I believe kuwa mengi yatasemwa hapa kuhusu hili,may the Lord give us understanding as we deal with freemansory aka twins of Mormons
  2. Bwana apewe sifa,
    Jamani mimi hapo sijaelewa maana ya freemamasonry naomba kueleweshwa,ila kwa harakaharaka ni watu wanaoabudu kitu kingine na si Mungu wetu au?
    Mbarikiwe
  3. Naomba kwa sasa nitoe maelezo machache katika kutafutatafuta kwangu…
    Freemasonry is the oldest and largest world wide fraternity dedicated to the Brotherhood of Man under the Fatherhood of a Supreme Being. Although of a religious nature, Freemasonry is not a religion. It urges its members, however, to be faithful and devoted to their own religious beliefs.
    The organization of Freemasonry is based on a system of Grand Lodges, each sovereign within its own territory. There is no central authority governing all Grand Lodges. However, to be acknowledged by others, acceptable traditions, standards and practices must be maintained.
    In our Province the governing body is called the Grand Lodge of Ancient Free and Accepted Masons of Canada in the Province of Ontario. It is under the leadership of the Grand Master. He presides over 53,000 Masons who belong to one or more of the 587 lodges in our jurisdiction. Each of these lodges is under the direction of a Worshipful Master.
    WHAT IT DOES
    As a fraternity, Freemasonry provides an opportunity for men to meet and enjoy friendly companionship. In the spirit of helpfulness and brotherly love and guided by strict moral principles it encourages goodwill toward all mankind. Freemasonry is of a personal nature in its private ceremonies. Its ritual dramatizes a philosophy of life based on morality. It promotes self improvement. The tools of operative masons are used to symbolize and teach the basic principles of brotherly love, charity, and truth which Masons are encouraged to practice in their daily lives. Charity is a tangible way in which Masons help those whose circumstances in life fairly warrant it.
    HISTORICAL BACKGROUND
    Our traditions can be traced directly to the associations of operative masons. They were men of outstanding character and high ideals, who built the cathedrals, abbeys, and castles of the Middle Ages.
    With the decline of cathedral building in the 17th Century, many guilds of stonemasons, called “Operative” masons, started to accept into their membership those who were not members of the masons’ craft and called them “Speculative” or “Accepted” masons.
    It was in these groups, called lodges, comprised mainly of “Accepted” masons that Freemasonry, as we know it today, had its beginning.
    In 1717, four such lodges, which had been meeting regularly in London, united to form the first Grand Lodge of England under the direction of a Grand Master. From that first Grand Lodge, Freemasonry has spread throughout the world. Today, some 150 Grand Lodges have a total membership of approximately four million Masons.
    MEMBERSHIP
    One of Freemasonry’s customs is not to solicit members. However, anyone should feel free to approach any Mason to seek further information about the Craft.
    Membership is for men, 21 years of age or older, who meet the qualifications and standards of character and reputation, who are of good moral character, and who believe in the existence of a supreme being.
    A man who wants to join a lodge must be recommended for by two members of that lodge. He must understand that his character will be investigated. After approval by the members of that lodge, he will be accepted as an applicant for membership in Freemasonry.
    The doors of Freemasonry are open to men who seek harmony with their fellow man, feel the need for self-improvement and wish to participate in making this world a better place to live.
    Any man who becomes a Mason is taught a pattern for living – reverence, morality, kindness, honesty, dependability and compassion. He must be prepared to honour his country, uphold its laws and respect those in authority. He must be prepared to maintain honourable relations with others and be willing to share in Masonic activities. Freemasonry is a way of life.
  4. Sasa mbona baadhi ya wahubiri na wengineo wanailaumu na kuiogopa kama ndivyo hivyo tatizo liko wapi. Kama unaamini kuwa uwe mtu mwema kwa binadamu mwenzio na hivyo Yesu alituamrisha. Kwa nini tunawachukia Freemasons?
  5. shetani ana njia nyingi za kuwashika watu mara zingine hujifanya kama mwema kwa nini unaambiwa ukishaingia huruhusiwi kutoka iko shida hapo kwa muonekano wa nje wamejiweka wema na kwa sababu ni watajiri wanatumia pesa kurubuni sasa ikishajisajiri ndio unajua siri za ndani na ndio hapo hawawezi kukuruhusu kutoka wapendwa tushike sana tulichonacho
  6. Shalom wapendwa!!
    Mimi naona kama huu ni mtego mkubwa kuliko tunavyofikiri, na pengine wengi wanaweza kuingia kwenye mtego huo bila kujua, sina uelewa mkubwa kuhusiana na hii freemansory lakini kwa ujanja wanaoutumia tunahitaji sana Mungu atupe uelewa na ufunuo zaidi, tupate walimu watakaoweza kutufundisha kupitia blog hii ili tujifunze na kutoingia mtegoni.
    Kwa mambo machache niliyoyapata, kwamba hawa watu ni hatari, hizo charity wanazofanya ni mbinu tu ya kuficha mambo yao maovu ya sirini. Kwa kifupi ni “devil worshippers” na ni maadui wakubwa wa hizi zinazoitwa “Abrahamic religions”, yaani dini zenye asili yake katika ukoo wa Nabii Ibrahim ambazo ni Judaism (kupitia Isaac), Uislamu (kupitia Ishmael) na Ukristo (Yesu kristo, ukoo wa Daudi myahudi).
    Hizi dini tatu ingawa wafuasi wake huwa wanabishana sana kuhusu mambo ya kiimani na hasa usahihi wa imani ya kila mmoja, wataalamu wanaziunganisha kwa mambo 2 ya kimsingi, nayo ni uasili wake katika Ibrahimu(maana Ibrahimu ndiye aliyezaa makundi mawili hasimu kutokana na wanae Isaac na Ishmael), na imani kwa Mungu mmoja wanayeamini ni “Almighty”, mwenye nguvu zisizopimika. Sasa hawa freemasons wanampinga huyu Mungu lakini kwa ujanja wa hali ya juu, nao wanaye wa kwao “Supreme Being” wanayemwabudu kwa njia zao za siri sana, na hata ukijiunga hizo njia hutaoneshwa mpaka ufaulu ngazi fulani za uaminifu na usiri ambazo huendana na viapo mbalimbali. Freemasons wana-recruit watu kutoka imani 3 nilizotaja, na wakishafuzu mafunzo na kukolea imani, huwatajirisha ili wengine nao wapende kujiunga. Huwa wanawahimiza waendelee kubakia katika dini zao (ili waweze kuendelea kuaminika huko) na huwapa uwezo wa kifedha kuchangia katika shughuli za charity mbalimbali na zile za kidini. Tabia ya freemason aliyekomaa hutoa michango katika dini mbalimbali (anaweza kuwa mkristo anachangia makanisa, madrasa, misikiti yote kwa kiwango sawa, au akawa ni mwislamu anachangia hivyohivyo makanisa, madrasa, misikiti kwa kiwango sawa, ni maelekezo waliyonayo ya kujenga imani wapendwe na kila mtu). Lakini pia licha ya kujihusisha na dini za watu, huwa hawafuati mafundisho ya dini hizo, mfano mtu anayechangia hela za kununulia watoto wa madrasa vitabu vya dini, huyohuyo mahali pengine atachanga za kununulia kondomu za kugawa bure, au ataanzisha klabu au kiwanda cha pombe, au ataanzisha mchezo wa kamari ambavyo vyote vinapingwa katika vile vitabu alivyowanunulia watoto! Au mtu atatoa mamilioni kuchangia kanisa wakati huyohuyo ni mla rushwa au ana madaraka aliyopata kifisadi, nk.
    Kinachonipa hofu zaidi ni pale ninaposikia kuwa wanatumia maendeleo ya science na technologia kupoteza watu, kwa mfano vision yao ya “New World Order” mradi wa kuwawekea binadamu wote “microchip” mwilini, ili rekodi za kila binadamu ziweze kufuatiliwa katika computer moja ulimwenguni kote, na ziwe accessible kupitia connection ya satellite. Kwa hiyo hicho ki-microchip kinakuwa na unique identification number kwa kila mwanadamu (kama zile identification codes za bidhaa kwenye supermarkets), ukipita popote hakuna haja ya kuulizwa kitambulisho, hiyo microchip ndiyo access code. Asiye na microchip akitaka kupita kama ni kwenye huduma (airport, hospitali, maktaba etc) milango inakataa kufunguka! Kwenye hospitali huhitaji kutaja jina lako, ukiingia tu chumbani kwa daktari, kuna chombo kinasoma microchip iliyoko mwilini mwako, mara moja rekodi zako zote zinatokea kwenye screen ya computer.
    Hivi hili si lile lililoongelewa katika ufunuo wa Yohana? hizo microchips si ndo kuwekwa zile chapa 666? Kwa wao kutumia hii path ya maendeleo haya ya sayansi na teknologia, je itakuwa rahisi kwa watu wote tuliookoka kuweza kupambanua?
    Binafsi nimekuwa nikikisoma kitabu cha ufunuo lakini nimeona kuna mambo makubwa kuliko ninavyoelewa, sijapata neema ya kukielewa vizuri ndiyo maana na tamani sana wapendwa waliopata neema ya kuelewa vizuri (ufunuo) tusaidiane.
    Nasubiri kujifunza kupitia kwenu.
    Nawapenda sana
    Dada Imani
  7. Peter,swali lako ni zuri..KWANINI TUNAWACHUKIA FREEMASONS? ikiwa wanaonekana kuwa hawana shida.
    Naomba sasa nianze kuchanganua kitu kimoja baada ya kingine kinachofanya FREEMANSONRY kuwa tofauti na CHRISTIANITY.Kwanza the two cannot co-exist and the reason ni kitu cha kwanza kabisa ninachotaka kutoa maelezo yake hapa.
    SUPREME BEING-KIUMBE CHENYE UKUU KUPITA VYOTE
    Hawa jamaa wanaamini katika uwepo wa kitu kinaitwa SUPREME BEING ambayo kwa tafsiri nyingine ndo kama Mungu au kitu chochote kinachoabudiwa na kupewa heshima ya juu kiimani,kwa lugha nyingine neno linalotumika kuelezea huyo mtu ni DEITY.Sasa hawa jamaa wa free,nilikuwa nasikiliza audio rekoding yao hapa,wanasema mtu yeyote anaweza kuwa freemanson na kuwa wako kila eneo la maisha na cha muhimu kabisa ni kuwa WANACHAMA WAO NI WAUMINI WA MADHEHEBU MENGINE na kwamba kuwa freemanson haimaanishi kuwa unaiacha dini au dhehebu lako.Hii imefanya hawa jamaa kupata watu wengi sana,inakadiriwa kuwa mpaka sasa ni zaidi za mil 6 duniani kote.
    Kwahiyo wao wanasema kila mtu atabaki na kuamini huyo supreme being wake cha msingi ni kuwa anaheshimu kanuni za jumuia hii ya mafree.Sasa lazima tujue biblia inasemaje juu ya Mungu.Kwanza Mungu is not just a certain supreme being kama freemansory wanavyosema na kuamini.HUU NI UDANGANYIFU MKUBWA SANA.Mungu tunayemwabudu naye ana kanuni zake na moja kati ya hizo ni ile inasema..MUNGU WENU NI MMOJA..MSIWE NA MUNGU AU MIUNGU MINGINE ZAIDI YANGU,najua wote tunajua kuwa UKRISTO UMEFUNGWA KATIKA KUMUABUDU MUNGU MMOJA TU YAANI-YEHOVA KATIKA YESU KRISTO.
    Hivyo hawa jamaa wanaleta mafundisho ya AMINI UNACHOAMINI MAANA MUNGU NI MMOJA,huku wakikazia sana juu ya HUMANISM na kuondoa uhalisia wa kumtegemea Mungu mmoja.
  8. Binafsi ninaye mfanyakazi mwenzangu na mara nyingi siku za Jumatatu tungezungumzia week end. Na wengi tulizungumzia kuhusu Ibada na jumapili nzima ilivyokwenda na yeye angezungumzia vivyo hivyo japo kwa juu juu.
    Kwa kuwa alikuwa na ukaribu nami kuliko wengine, nikamuuliza anapoabudu lakini hakuniambia. Alichosema ni kuwa haruhusiwi kusema kuhusu ibada yao hivyo alinipa website. Nikaingia na kujisomea na kujionea niliyoona.
    Lakini baadae nikaambiwa kuwa FREEMASONRY si dini japo sikuweza kupata undani wake. Kujua mengi juu yao ki-undani yakupasa kuongea na waliopo lakini nao hawaruhusiwi kuongea. Nilikosa kipindi kimoja kwenye Tv kilichokuwa kinazungumzia kuwahusu. Lakini bado hata huyo rafiki anasisitiza kuwa wao si dini.
    Ni ngumu kung’amua lolote toka kwake na ni ngumu kujua ukweli wa lolote asemalo kwani ni shortcuts.
    Nililogundua hawa watu wana USHIRIKIANO WA AJABU na wanasaidiana saana kwenye mambo ya kidunia kama kazi, pesa, mikopo na mambo mengine.
    Natumai hapa kutakuwa na mwenye kuwajua vema akaeleza.
  9. Mimi binafsi ninachojua kuhusu hawa watu ni kweli kanisa lao kwa hapa Dar lipo pale opposite na kilimanjaro, wanasali usiku mkubwa na wapoingia humo ndani mambo unayoyaona ni mwiko mno mno kuyahadithia ndani ya ibada lazima wote wawe watupu kama walivyozaliwa, kingine wanakunywa damu ya binadamu pia wana ishara zao katika kusalimia kule ulaya hawajifichi sana mf.karibu maraisi wote wa Marekani ni members wazuri. Wana biblia zao ambazo zipo kinume na na hii biblia takatifu inayo fahamika mf. msalaba wao upo kama umepinduka kichwa chini miguu juu.Pia wasaidiaji wakubwa wa jamii inayowazunguka ili waonekane kuwa ni wazuri.Kama tunafahamu mengine kuhusu hawa watu tujulishane jamani tusije tukajikuta tumeingizwa na hawa viongozi wetu wa juu tulio wapa kura sababu ya umasikini wetu, unaotufanya tukubali kila kitu ili tupate kitu.
  10. DUNIA INA VISA SANA, NA IBILISI ANA MITEGO MINGI SANA.
    UNADHANI WANGESEMA WANAABUDU SGHETANI NANI ANGEKUBALI??WANATUMIA KUGHA LAINI NA ISIYO WAZI ILI KUWACHANGANYA WATU, BY THE TIME UNASHTUKIA UNAKUWA HUWEZI KUTOKA, WHY WOULD SOMEONE LIMIT YOUR ENTRY AND EXIT KAMA KWELI HAMNA KILICHOJIFICHA.
    KITU KINGINE, HUWEZI KUWA MWANACHAMA KAMA HUNA HELA PALE, JARIBU UONE KAMA UTARUHUSIWA, INGEKUWA SIMPLE BASI WANGEKUWA ZAIDI YA HIYO MILIONI 6 KATIKA ULIMWENGU WENYE WATU ZAIDI YA BILIONI 10, WHY ONLY SIX MILLION???
    KWANINI WASALI UCHI???KWANINI USIKU WA MANANE???
    WATU WA MUNGU TUSIDANGANYIKE, MUNGU NI MMOJA NA SHERIA ZAKE NI RAHISI NA HAZIHITAJI MAFUMBO MENGI WALA HAZIMFUNGI MTU, UKIAMUA KUMFUATA MUNGU SAWA NA UKIMKATAA NI SAWA TU HAKUNA VITISHO WALA MIKWARA.
    TUKEMEE USHETANI HUU
  11. Shallom,
    Freemasonry kwa nijuavyo mimi ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki usio rasmi kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao.
    Kwenye maelezo yao kwa nje Free masons wajitangaza kama shirika zuri tu kama ambavyo
    Rafael ameelezea hapo juu.yanaoyoonyesha Lakini ukweli wenyewe ni tofauti.
    Naomba niorodheshe mambo machache niliyoambiwa kuhusiana na Freemasonry.
    1. Ni kweli Freemasonry kama ilivyo maana yake kwanza ilkuwa ni kundi la mafundi waashi (masons) au wajenzi kuwa lugha nyingine. Walikuwa niwataalamu waliobobea kwenye masuala ya ujenzi wa mahekalu na mabenki ya zama hizo zinazoitwa kwa kizungu (medieval times). Niliambiwa walikuwa ni watunzaji wa pesa za kanisa katoliki. Kwani walikuwa wanajenga mahekalu(cathedrals) za wakatoliki na mabenki/ mahandaki ya kuhifadhia pesa pamoja na kuzikia(catacombs). Niliambiwa wanaweza kujenga hayo maandaki wa utaalamu mkubwa kiasi kwamba ukiingia ndani ya hayo mahandaki bila ramani unaweza ukashindwa kutoka hata unaweza kupotelea humo humo ndani usiweze kutoka tena. Hicho ndicho kilichokuwa ni kiwango cha utaalamu wao.
    2. Kwa kuwa walikuwa ni waashi ndiyo maana alama zao ni vifaa vya ujenzi. Pima maji n.k
    3. Inasemekana mji mkuu wa marekani (Washington DC) ulisanifiwa na kujengwa na Freemasons. Na inasemekana ni mji makini ambao umejengwa ukizingatia pembe tatu zenye nyuzi zinazowakilisha u freemason.
    3. Ikatokea kipindi ambapo hawa freemasons wakaasi kwa kuanza kujishirikisha na mambo ya nguvu za giza. Wengine wanasema walianza kuiba pesa za kanisa katoliki, lakini ukweli halisi haujulikani. Kutokana na sababu hizi na zinginezo ambazo ni siri kati ya kanisa katoliki na freemasons, Freemasons wakafukuzwa kutoka ukatoliki. Ndio maana hakuna maelewano kati ya freemasons na wakatoliki. Wakatoliki wakaanzisha shirika jingine badala ya hao freemasons lijulikanalo kama Jesuits.
    Jesuit Fathers ni mapadri wa katoliki wa daraja la juu sana wenye elimu ya juu zaidi ambao hufanya kazi za siri za utawala na udhibiti ndani ya kanisa katoliki.
    4.Kuhusu imani yao (freemasons) nikaelezwa kwa kifupi kuwa wanaamini Yesu na Lucifer ni mtu na ndugu yake. wanaamini kuwa Lucifer ndiye mwema na mzuri lakini wanaamini kuwa Yesu ndiye mwenye mbaya alimfanyia hila Lucifer aonekane mbaya.
    4.Kinachoendelea ndani yake kuhusiana na ibada zake ni siri kwani kuna daraja ambazo muumini wa freemason anapanda kutokana na kubobea katika imani ikiwa ni pamoja na kutunza siri zao. Ninajua kuwa daraja ya juu kabisa ni nyuzi ya 33 (33rd degree)
    5. Kwa hiyo ijapokuwa wanatumia biblia wanapoongelea “Bwana” huwa hawamaanishi Yesu bali huwa wanamaanisha Lucifer ambaye ndiye wanayemwabudu.
    6. Ni watu wenye nguvu mno na mambo yao ni makubwa mno na siri zao ni nzito mno. Ndiyo maana haziko wazi. Wafuasi wa kiwango cha chini wala hawajui shirika hili linahusika na nini manake hata wao hawaambiwi kitu. Kwa wafuasi wa daraja ya chini wanakwenda ku socialize tu. Yaani kwa wasio jua kitu kule kwenye lodge zao ni kama ywca au wmca au club hivi. Kwenye nchi kama marekani watu wasio jua siri wanachukulia kama sehemu za kusocialize tu.
    7. Freemasonry inawekwa pamoja na makundi mengine makubwa ya siri, yanayoendesha ulimwengu mzima kwa nguvu za kiuchumi, siasa na mambo ya utawala.
    Wanacho kitabu chao cha kufundishia wanaojiunga kiitwacho “Morals and Dogma” mwenye kuweza kusoma kizungu chake aangalie kwenye mtandao.
  12. NIMEANGALIA kwenye internet jina la kitabu NIKAKUTA kimeandikwa kama ifuatavyo. “MORALS AND DOGMA BY ALBERT PIKE LUCIFER THE LIGHT BEARER.
    TAFSIRI YAKE NI KITABU CHA MAADILI NA MAPOKEO KILICHOANDIKWA NA ALBERT PIKE LUSIFA MWENYE NURU
  13. Truthful Pastor asante kwa maelezo na pia hicho kitabu,nimekipata na nitaendelea kukisoma na kusaidia kutafsri baadhi ya vitu vya msingi kabisa kwenye kitabu hicho.Pamoja na yote haya ambayo ni ya kweli,sasa hivi ninasoma kitabu kimoja kinaitwa THE BATTLE FOR TRUTH-MIND SIEGE,nimeshangaa kukuta wanaongelea the same things kama ambavyo vimeelezwa katika mambo ya msingi ya freemansory,na hiki kitu kinaitwa HUMANISM,yaani jitihada za kuwafanya watu waondokane na utegemezi katika Mungu na wajitegemee wenyewe.Pia sina shaka kuwa tunafahamu kuwa New World Order ilikwishazinduliwa na iko katika mikakati ya mwisho ya kuingizwa katika utendaji wake…na walionyuma ya haya yote ni hawa hawa freemansory..HUU NI WAKATI WA KUWA MAKINI WAPENDWA,TULISOME NA KULITAKA SANA NENO LA MUNGU-NDO NJIA PEKEE YA KUSHINDA
  14. Yohana 17:15-17. Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu.
    Wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.
    Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.
  15. Shallom watu wa Mungu,
    Nimeona niorodheshe maandiko ya neno la Mungu yanayoonyesha kuwa sisi ndiyo washindi.
    Hatupaswi kumwogopa shetani pamoja na vitisho vyake.
    soma maandiko haya uone jinsi ambavyo Mungu wetu ametupa ushindi na hakuna anayeweza kutufanya lolote.
    Mungu wetu ndiye anayetawala siyo shetani na wafuasi wake. Zaburi 103:19
    Yatupasa kukumbuka kuwa Mungu aliyeko ndani yetu ni Mkuu kuliko Shetani na mapepo yake yote. 1 Yohana 4:4
    Hakuna Silaha ya shetani na mapepo yake itakayofanikiwa dhidi yetu Isaya 54:17
    Yesu ndiye anayelijenga kanisa lake na milango ya kuzimu haitatuweza Mathayo 16:18
    Mungu hajatupa roho ya woga mbali ya upendo, nguvu na ya roho ya kiasi 2 Timotheo 1:7
    Majeshi ya Mungu yaliyoko upande wetu ni wengi kuliko majeshi ya kuzimu 2 wafalme 6:16
    Mungu akiwa upande wetu hakuna wa kumwogopa Warumi 8:31
    Nimewapa mamlaka juu ya nguvu zote za yule adui hakuna kitakachowadhuru Luku 10:19
    Jipeni moyo maanake nimeushinda ulimwengu. Yohana 16:33
    Imani yetu ndiyo inayoshinda 1 yahana 5:4
    Hakuna sababu ya kuogopa vitisho vya shetani. Manake neno limetuonyesha mwisho wake Ufunuo 20:10 NA YULE IBILISI MWENYE KUWADANGANYA AKATUPWA KATIKA ZIWA LA MOTO NA KIBERITI, ALIMO YULE MNYAMA NA YULE NABII WA UWONGO. NAO WATATESWA MCHANA NA USIKU HATA MILELE NA MILELE.
    Kwa kumalizia soma zaburi ya 91.
    Mungu awabariki.
  16. glory haleluya…ONYL THOSE WHO WILL LET THE WORD OF CHRIST DWELL IN THEIR HEARTS IN SUCH THAT THEY ARE HUNGRY AND THIRSTY FOR IT ALL THE TIME…
    ONLY THOSE WHO ARE NOT MOVED BY MIRACLES..
    ONLY THOSE WHO ARE MOVED BY THE MIRACLE WORKER WILL STAND….
  17. Nashukuru kwa maelezo marefu kuhusu freemason. Lakini pia ninaomba mnifafanulie maana ya picha hapo juu na alama zote zilizopo kwenye picha hiyo na namba ’666′. Nitashukuru sana endapo mtanijibu.
  18. jamani tuache kudanganyana na kuongea mammbo ambayo hatuna uhakika nayo,hawa freemason si kama mnavyodhan ni vyema mtu uongee kile unachojua tu na wala si kuwachafulia.
  19. Ndg Samwel,
    Inaelekea unao uelewa juu ya hao Freemason; hebu tuelezee unavyowafahamu ili nasi tupate mwanga japo kidogo, kuliko ilivyo hivi sasa ambapo kila mmoja anajaribu kuelezea kile anachohisi tu bila kuwa na uhakika kama ulivyoshauri. Mf. tuelezee juu ya ibada zao zinavyofanyika, wanachoamini katika imani yao, kitabu/vitabu wanavyotumia kama mwongozo wa imani yao, maisha baada ya kufa wanavyoyaelezea, dhambi wanavyoizungumzia au kuielezea n.k.
    Nimekuomba utuelezee hayo kwa sababu umeonesha kuwa unawafahamu na umetushauri kuwa tusijaribu kuelezea kitu ambacho hatuna uhakika nacho, na pia umesema kuwa tusiwachafulie.
    Kwa vile mahali hapa ni mahali pa kujifunza kweli ya Neno la Mungu, itakuwa ni vema ukifanya hivyo ili tuwafahamu, yawezekana tunaweza kupata kitu cha ziada cha kutufanya tuzidi kupiga mbio katika imani yetu.
    Nasubiri kwa hamu kujua habari zao.
    Amani ya Kristo!
  20. Bwana Yesu asifiwe!!!
    Kwako Chacha.
    Hapa jirani na maeneo ninayokaa mimi kuna Nyumba moja nzuri tu na ina kibao chenye jina hilo church of jesus christ of later day saints nyumba iko njiani kabisa. Lakini la ajabu sana sijawahi kuona kusanyiko lolote linaloabudu mle ndani every day gate limefungwa sijawahi kuona mlinzi wa hapo ila naona siku moja moja mafundi wakikarabati.
    Arusha-Mianzini, kama 1km from the main road
  21. Asante sana kwa maelezo haya na mimi pia namwomba sana bwana Samwel atueleze yale anayoona kua tunawaonea hawa mason,mimi nimefuatilia sana kwa muda sasa nilichoweza kugundua mason si kitu kidogo niwatu hatari ambao wamejizatiti kwa umakini mkubwa kufanikisha lengo lao .
  22. Jamani watu waelimike,hayo makitu yashindwe na yalegee,watu wamshike Mungu sana, utajiri ni huko kwao,kama vipi misaada yao nayo tuitupie kule,kuliko kupotoshwa kiimani.Imani yetu isimame.
  23. Nimegundua freemason ni watu wazuri.tafadhali naomba msaada kutoka kwa mtu ambaye ni active member,anisaidie nijiunge na kundi zuri hili.namba yangu ya simu ni 0654 466 633.nataman kufanya kazi na freemason.
  24. Nd. Carlos,
    Umegundua uzuri gani walionao hao Freemasonry? Umewagundua kwa kutumia njia ipi?. Na kama umegundua uzuri walionao, kwa nini tena uhitaji msaada kutoka kwa active member wao ili wakusaidie ujiunge nao? Hivi kunaweza kuwa na watu wanaoshiriki katika Web hii ambao ni Masonry? Mimi binafsi sijakuelewa vizuri kwa kweli!
  25. BILA UTAFITI HUNA HAKI YA KUONGEA!HUU NI MSEMO WA ZAMANI SANA kwa kweli!NIMEWAHI KUSOMA HABARI ZA WATU HAWA KWA INTERNET PIA.NI SIRI NI UTATA NA HATARI PIA.KWA KUWA WANA TEMPLE HAPO JIRANI NA BENKI KUU YA TANZANIA NIMEWAHI KUMWULIZA MLINZI WA PALE TEMPLE HEBU NIAMBIE KULIKONI NDANI HUMU?ALINIJIBU KITAALAMU KUWA YEYE ANAZUIA MALI ZISIIBWA NA ASIYEHUSIKA ASIINGIE NA KWAMBA KISICHOENDELEA AMA KUENDELEA NDANI NI NJE YA KAZI YAKE.UKIFIKIRI UMESIMAMA ANGALIA USIANGUKE!HALAFU TENA FREE MASONRY HAWA WAMESAJILIWA TANZANIA KWA HIYO HATA SERIKALI INAWAJUA MAANA VINGINEVYO WANAWEZAJE KUFUNGUA HEKALU KARIBU NA SEBULE YA MAREHEMU BALLALI NA OFISI YA MKULU LIYUMBA HALAFU SERIKALI YENYE DOLA,MAHAKAMA,WATU WAJANJA WAJANJA KAMA NINYI NA WATAFITI ISIJUE KULIA WALA KUSHOTO?MNAMKUMBUKA NABII ELIYA WA UPARENI.HAPO KWETU NI BANANA REPUBLIC?BASI MSIWAOGOPE HAO WAUAO MWILI….BALI HUYUNDIYE MTAKAYEMWOGOPA….AWEZAYE KUUA MWILI NA KUITUPA ROHO JEHANUM!
  26. Wapendwa,
    Ni kuwa makini sana. Nashukuru sana watafiti, huu si wakati wa kulala ni wakati wa makesha katika roho. Waandaaji wa matamasha na machangizo kuweni makini katika kuwaalika hawa watu wa aina hii makanisani. Tuendelee kufanya utafiti zaidi juu ya taasisi kama hizi; hekalu lao kweli nalifahamu na ni siri kubwa yanayofanyika ndani. Kristo tumaini letu pekee.
  27. MIMI NIMESOMA TAARIFA NA KUYAPITIA MAELEZO KWA KINA, BAADA YA KUELEWA NA KUPENDEZWA NA MIFUMO NA TARATIBU NZURI NA ZENYE MATUMANI BORA. KWA RIDHAA YANGU NA BILA KULAZIMISHWA NA MTU NAOMBA KUJIUNGA SASA SINA ZAIDI NAOMBA MAELEKEZO YA VIPI NIJIUNGE KUWA MUUMINI
  28. Bwana Yesu asifiwe sana!!!
    Ewoooooooooooooooooooo!! Richard!! Richard!! Umepotea, Kijana Umepotea,. Njoo kwa Yesu mapema kabla hujapata hayo maelezo ya kujiunga. Kwenye hii blog tunatoa maelezo ya vipi kujiunga kwenda kwa Yesu peke yake.
    Come tu Jesus my brother yote mazuri unayoyataka huko FreeMansory yako kwa Yesu tena Bure!!! la zaidi utarithi ufalme wa Mungu.
    Please come to Jesus.
  29. Ndg Richard,
    Maneno yangu mimi ni haya yafuatayo:
    Sina uhakika kama ni hapa au ni wapi ambapo umesoma taarifa na kuyapitia maelezo kwa kina kisha ukaelewa na kupendezwa na mifumo na taratibu nzuri zenye matumaini.[ingawa mimi sijaona kama hapa kuna maelezo ya kina yenye kumshawishi mtu kiasi hicho!] Lakini nina uhakika na hili kwamba mahali hapo ambapo umesoma taarifa na maelezo kwa kina hadi ukaelewa ni lazima pia ungepata taarifa za kujiunga kuwa muumini hapo hapo uliposoma. Hakuna jambo zuri ambalo unaweza kuelezwa nawe ukaelewa kwa kina halafu usielezwe taratibu za kujiunga au kushiriki jambo hilo, au ukaambiwa taratibu za kujiunga/kushiriki ukazitafute sehemu nyingine ambako hawaelewi kwa kina kuhusiana na hicho ambacho wewe umekielewa kwa kina! Natumaini tunakwenda pamoja….! Kuja hapa kuomba maelezo ya namna ya kujiunga na Freemasons wakati hapa bado tunaendelea kujifunza na kupeana ufahamu kuhusu suala hilo siyo sahihi. Kama ni kweli umeelewa kwa kina basi angalau ungejibu maswali muhimu yaliyopo kwenye michango ya watu iliyotangulia ili usaidie pia watu wengine waelewe. Hebu tuwe wawazi! Labda ukisema unatania, yaani umeandika ili uone watu watakujibuje, hapo ninaweza kukuelewa kabisa. Lakini si kwamba eti umeshaelewa kwa kina halafu uje hapa uombe maelekezo ya kujiunga….?????
    Suala jingine ni hili kwamba jambo lolote lenye matumaini mema kwa watu ni sharti taratibu zake za kujiunga ziwe wazi kwa ajili ya kuwawezesha watu kuyapata hayo matumaini. HAKUNA MATUMAINI YANAYOFICHWA SIRINI!
    Ndiyo maana tunaposema kwa Yesu kuna matumaini ni kweli kuna matumaini mema na taratibu za kujiunga na Yesu Kristo ziko wazi kila mahali, kama ulivyoona pia hapo juu kwenye blog hii palipoandikwa SALVATION PRAYER!
    Umeandika kwamba umeamua mwenyewe kujiunga kwa hiari pasipo kulazimishwa na mtu LAKINI mimi nakuambia kwamba KUNA MTU ANAKULAZIMISHA ingawa wewe hujalijua hilo!. Ndiyo maana, pamoja na kuwa ulielezwa kwa kina [kama ni kweli ulielezwa]lakini hukupewa maelezo, HUJATULIA NA KUFIKIRIA KWA NINI MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA JAMBO LENYE MATUMAINI YAWE NI SIRI KUU? Huyo anayekulazimisha hajakupa nafasi kufikiria hivyo maana ungeshafikira hivyo usingeendelea kuhangaika kutafuta utaratibu wa kujiunga na suala uliloambiwa lina matumaini lakini ukafichwa namna ya kuyapata matumaini hayo. Hebu tafakari jambo hilo sasa…. Please!
    Taarifa na maelezo kwa kina kuhusiana na jambo lenye mifumo na taratibu nzuri na zenye matumaini bora ni lazima ziambatane na maelekezo ya namna ya kujiunga. Lakini kama sivyo basi lazima kuna uongo na hila kuu, yenye kutisha, vilivyofichika ndani ya jambo husika!
    ….hayo ndiyo yalikuwa maneno yangu!
    Sasa, kwa kuwa wewe umeshapitia Taarifa na Maelezo kwa Kina kisha Ukaelewa na Kupendezwa na Mifumo na Taratibu zenye Matumaini Bora, MIMI NINAOMBA uandike hapa kwa kadri ulivyoelewa, hayo ambayo umeyaona ni mambo yenye taratibu nzuri zenye matumaini bora!
    Nasubiri kujifunza kuhusu Freemasons kutoka kwako!
  30. jamani tumuombe mungu hawa wasitake kutuharibia dunia yetu mambo yao ya kishetani wafanyie huko kwao sio kwetu kila mtu ashike imani yake
    aaaaaaammmmmeeeeeeeennnnnnn
  31. THE DEVELOPMENT OF FREEMASONRY IN AFRICA
    King Hassan II of Morocco was one; and today president Idriss Deby of Chad, Denis Sassou N’Guesso of the Congo, Mamadou Tandja of Niger, Gnassingbé Eyadema of Togo, Paul Biya of Cameroon, Blaise Compaoré of Burkina Faso, and Omar Bongo of Gabon are Freemasons, all members of the Great French National Lodge or of the African obedience affiliated to the latter. General Robert Gueï, author of the December, 1999, coup in Côte d’Ivoire was also an initiate.
    The other French obedience, the Great East of France (GODF) and the Great Lodge of France (GLF) are also implanted in French-speaking Africa, either directly, or affiliated to the African obedience: thus, Congo’s former president Pascal Lissouba was an initiate of the Great East. But the relatively recent and spectacular breakthrough of the GLNF in French-speaking Africa does not seem to have been affected by its setbacks in France, where it has been put on the stand in Nice by the prosecutor Thierry de Montgolfier.
    If Freemasonry is strongly implanted in French-speaking Black Africa, it is also true about English-speaking Black Africa, but also Latin America (Simon Bolivar, the “libertador,” was a mason) and in the United States (president Franklin Roosevelt also was one), without mentioning Europe, where, in Great Britain, a member of the royal family is traditionally the Grand Master of the Great United Lodge of England, in this particular case today duke Michael of Kent [1].
    The creation of the first Lodge in French-speaking Black Africa, by the Great East, dates back to 1781, to Saint Louis of Senegal: the initiated are exiled French, mostly military servicemen and merchants related to the Company of Senegal: there are no African members at the time. As Georges Odo underlines in his remarkable small book “Freemasonry in Africa” (Masonic editions of France, Paris, 2000), it is a “colonial” Freemasonry and not an African Freemasonry.
    Several Freemasons illustrated the history of the French colonization. First of all the two initiators of the abolition of slavery, the abbot Grégoire under the revolution, then Victor Schoelcher, Secretary of State in the navy under the 2nd Republic, which abolished it definitively in 1848 (slavery had been meanwhile restored by Napoleon the First) [2]. Then Abd-el Kader, welcomed in 1864 in the Great East, which meant by this gesture to show French gratitude for the protection which he had granted, in Syria, to the Christians of Damascus during the massacres of 1860 [3].
    The important artisan of the French colonial expansion, Jules Ferry, was a Freemoason. As well as the Senegalese deputy Blaise Diagne, appointed in January, 1918 by Clémenceau Prefect of the Republic in charge of the recruitment of black troops. And as the governor of the colonies Félix Eboué (Black native of Guyana) who, in 1940, made Chad cooperate with the free France, involving all French equatorial Africa and Cameroon on the side of General de Gaulle, after the regime of Vichy had adopted anti-masonic and anti-Jewish laws.
    Freemasons (or “brothers of light,” as one sometimes calls them) were rather numerous in the colonial administration, notably in Madagascar. After the Second World War, French Freemasons in Black Africa, notably the civil servants, mostly fought in favor of independence of the African overseas territories, and more and more Africans joined the Lodges. The French Freemasons recruited also Africans in the metropolis, where Black students were frequently sought by the Lodges.
    A Beninese writer, Olympe Bhély-Quénum, wrote a novel based on this experience, The initiated, in which he tells how, in one city of the province where he studies, the headmaster of the local secondary school tries to indoctrinate him [4]. After 1960, the year of independence, Freemasonry continued to spread, by africanizining and becoming emancipated from the French obedience. In most of the French-speaking African countries, national obidiences developped, but they kept more or less tight links with the French ones, whose cleavages they sometimes reflected.
    A Multitude of Obediences
    Freemasonry is multiple, even split, and maybe more in France than elsewhere. The clearest cleavage is the one that separates the Great East from the other Lodges. Contrary to the other rites, this last one does not call in its constitution upon the Great Architect of the Universe, which is God, and its members do make an oath on the Bible or another holy book. This decision was taken in 1877 (an event that shocked Abd-el Kader and made him leave this obedience), and the brothers of the Great East – whose president Emile Combes – played, as one knows, a major role in the elaboration of laws on the separation of the Church and the State at the beginning of the last century.
    The Great Lodge of France and the Great French National Lodge recognize the Big Architect of the Universe, but only the GLNF is recognized by the United Lodge of England, the mother obedience of world Freemasonry. The English Lodge blames indeed the Great Lodge of France for the friendly links which it maintained with the Great East. The GLNF is also the only French obedience recognized by American [5] Freemasonry. There are obediences of lesser importance, as the human right (the only one to accept women), the Great Traditional and Symbolic Lodge Opera [6], the Lodge Memphis Ephraïm (where Garibaldi was one of the great masters) and the Great Feminine Lodge of France.
    In spite of the interest of the French Freemasons for Africa, only two of them were at the head of the ministry of Cooperation, the socialist Christian Nucci, member of the Great East, and the Gaullist Jacques Godfrain, introduced to the GLNF. Guy Penne, François Mitterrand’s former counsellor for African affairs at the Elysée Palace from 1981 to 1986, currently senator of the French residing abroad, is a member of the Great East. Bernard Bertry, Grand Master of the Great Traditional and Symbolic Lodge Opera, was besides president of the Movement of Solidarity and Participation (MSP), a small formation of left-wing Gaullists.
    If the members of the Great East are generally described as left-wing, those of the GLNF are labeled as being from the right wing and pro-American. There is in the Hauts de Seine department a Freemasons’ association described as Gaullist, “Allegiance, Assembly and the Future,” which was led for some time by the former Grand Master of the Great Lodge of France, Michel Barat [7].
    Generally speaking, the national obedience of French-speaking Africa emerged from a fusion of the Lodges of the Great East and the Great Lodge of France, which existed before independence. It is the case of the Great Gabonese Equatorial Rite (GRE), the Great East and the United Lodges in Cameroon (GOLUC), the Great East and associated Lodges in the Congo (GOLAC) and of Great Benin. In Gabon however, along with the GRE, their exists a Great National Lodge of Gabon, affiliated to the GLNF. In Côte d’Ivoire the Great United Lodge coexists with the Great Eburnie, respectively close to the Great Lodge of France and the Great East. In Togo thre also remains an obedience linked to the Great East and another one linked to the Great Lodges of France. In Senegal, the Lodges close to these two institutions also preserved their respective identity, but the GLNF is also present.
    However, the framework is unstable and obediences sometimes change their orientation. In the recent past, President Sassou N’Guesso tried hard, with more or less success, to create a Great Independent Lodge of the Congo, whereas Alain Bauer, Grand Master of the GO, consecrated a new obedience, the Great East of the Congo [8].
    Most of the obediences related to the Great East and the Great Lodge of France participate in African and Malagasy humanist and brotherly Meetings (REHFRAM) which gathers every year since 1992 in an African capital and which invites these French Lodges. The last meetings took place in 1996 in 1997 in Cotonou, in 1998 in Libreville, in 1999 in Lomé and in 2000 in Antananarivo. The African Lodges affiliated to the GLNF – which in this particular case is on its own – do not participate in the REHFRAM. The Lodges of the former British colonies are also not invited (they are also divided between obediences linked to the Great United Lodge of England, to that of Scotland or of Ireland, as, for example, in Nigeria, Zimbabwe, Kenya and Uganda). On the other hand, the Great East of Zaire, a branch of the Great East of Belgium, takes part in these “humanist and brotherly” meetings between the Lodges of French-speaking Africa.
    Pursuits and False Plots
    Freemasons have never lacked enemies, often not very recommendable, which is undoutedly their best “certificate of morality.” Hitler was their most relentless and most merciless enemy, who intended to fight against the imaginary “Judeo-Masonic” plot. The fascist dictatorships of Mussolini, French, Salazar, and Pinochet also prohibited Freemasonry.
    The communists were also hostile to Freemasons: in 1922, the French PC ratified the decision of the Fourth congress of the Communist International excluding Freemasons from its ranks: the French communists who were Freemasons had to choose between the party and their obedience [9]. Apparently, this rule was forgotten, but the communists are rare in the masonic Lodges.
    As for the Vatican, the position has somewhat evolved. The first condemnation of Freemasonry by the Roman Catholic Church – by pope Clement XII – dates back to 1738, and hostility to the French “brothers of light” reached its paroxysm during the separation of the Church and the State. In spite of the decline of the struggle between the clerics and laymen (Freemasons are no longer excommunicated), the Lodges are still suspect in the eyes of inflexible Catholics. In 1983, the Congregation for the doctrine of faith has still proclaimed that Freemason believers are “in the state of grave sin.” Let’s add that as far as Freemasonry are concerned, nothing forbids to practice the religion of its choice, including in the Great East of France, nevertheless renowned as very lay. Lodges welcome Catholics as well as Protestants, Jews and Moslems.
    It is in this context of hostilities resulting from very different horizons, from Catholics to Marxism-Leninism, that Freemasonry was forbidden in several countries of the African continent, and was sometimes persecuted.
    The most notorious repression of Freemasonry was in Côte d’Ivoire, at the time when the very catholic Félix Houphouët-Boigny was at the head of the country. In 1963, the President of Côte d’Ivoire imagined a series of plots which enabled him to eliminate from the political scene the leaders of the left wing, suspected of communist sympathies, of Democratic party of Côte d’Ivoire (PDCI), the unique party at the time. Some of those accused were Freemasons, most from the Great East, notably Jean Baptist Mockey, Jean Konan Banny, Amadou Thiam and Ernest Boka. They were humiliated, beaten, tortured, sometimes in the presence of the president, in Yamoussoukro where he built, about thirty years later, a replica in concrete of the St Peter basilica in Rome. Ernest Boka died in detention. The works of Jacques Baulin, former counsellor of the president of the Côte d’Ivoire, and of Samba Diarra, one of the accused persons, evoke the calvary of these former dignitaries of the regime. Samba Diarra quotes in his book several of the most violent diatribes against Freemasons pronounced at the time by Houphouët-Boigny’s supporters [10].
    Freemasonry was prohibited, including the Great Lodge of France. In 1971 however, the president of Côte d’Ivoire solemnly recognized himself in public that the plots of 1963 were only an invention – for which he blamed an obscure police captain – and the accused persons were rehabilitated. Some were even appointed Ministers once more, as Jean-Baptiste Mockey. The fires in Côte d’Ivoire’s Lodges were relit at the beginning of the 1970s, after an appeal of Pierre Biarnès, member of the Great East, who was at the time correspondent of Le Monde in West Africa, and appointed for this mission by the Grand Master of this obedience, Fred Zeller, to Houphouët, [11].
    In Zaire, president Mobutu had forbidden Freemasonry when he came to power in 1965, before authorizing it again in 1972, at the request of the Great East of Belgium.
    In Madagascar, during the first presidential mandate, Didier Ratsiraka, Marxist at the time, but married to a Catholic, had prohibited Freemasonry, which became again very active in the Big Island since the democratic changes which were a prelude to the election of President Albert Zafy, in 1993. A Great Malagasy National Lodge, sponsored by the Great French National Lodge, was created in 1996, in competition with the Great Malagasy Rite, close to the Great East.
    The advent of Marxist regimes or close to Marxism – in Guinea under Sékou Touré, in Mali under Modibo Keita, and in Benin under Mathieu Kérékou – also led to the suspension of Freemasonry in these countries. Fily Dabo Cissoko and Hammadoun Dicko in Mali, Barry Diawandou and Barry III in Guinea, who were Freemasons and opposed the authorities in place, were arrested and died in prison.
    In Benin, it is only after Guy Penne’s intervention, at the beginning of 1980s, that Mathieu Kérékou allowed to reopen the Lodges.
    However, it is in Liberia that Freemasons were most cruelly eliminated, when the staff sergeant Samuel Doe took power by a coup in 1980. For generations, the Presidency of the Republic and the Liberian government was monopolized by Afro-Americans, generally in correlation with the Great Black obedience of American Freemasonry, called Prince Hall (obedience which initiated, incidentally, the former South African president Nelson Mandela). Moreover, the presidential palace displayed Masonic armorial bearings. The president Tolbert (a Freemsaon as his predecessor William Tubman) was murdered and Samuel Doe ordered the execution in public of all the members of the government.
    Freemasonry is also attacked by fundamentalist Islam, which does not prevent Moslems of Black Africa from becoming members – Lebanese, Christians and Moslems, established on the continent are relatively numerous in the Lodges of Western Africa. The reference to the Great Architect of the Universe is very ecumenical, and the Moslem Freemasons can in principle take oath on the Koran, as the Jews on Torah and the Christians on the Bible.
    Rivalries and Controversy of Influence
    One of the most illustrious Moslem Freemasons is undoubtedly the Gabonese president El Hadj Omar Bongo, whose conversion to Islam, in 1973, had aroused all the more surprise as the big majority of the Gabonese population are either animistic, or Christian [12]. In an interview to Jeune Afrique, the leader of the Gabonese State justifies his membership in Freemasonry by underlining that it is a “school of tolerance and respect for others [13].”
    In Senegal, one finds Freemasons in the spheres of power, although the very big majority of the population are of Moslem confession and although Freemasonry collides there with the lively hostility of an Islamist fundamentalist tendency. This hostility strongly expressed itself during the 1980s, in the Senegalese press. The magazine Islamic Studies published an article entitled “No, a Moslem Cannot be a Freemason,” and the periodical Wal Fadjri attacked masons – notably an article of the Egyptian magazine Allewal Islami asserted that “Freemasonry and the Bahaï movement, as well as their clubs (Rotary, Lions, etc.) arise from Judaism and are clearly incompatible with Islam.” The same arguments were articulated by another Senegalese publication, Le Musulman [14]. But the hostility of the Moslem fundamentalists towards Freemasonry does not prevent various obediences from proselytism on Moslem ground: thus, the GLNF recently created three Lodges in Djibouti, where one is naturally faithful to the Koran.
    It is in the light of this ostracism and the pursuits of the past that it is necessary to measure the prestige and influence of African masons, expressed by the attempts, among other facts, of mediation in internal conflicts, which tore apart several countries of the continent. By acting as intermediaries, African masons follow the example of their French brothers, who tried and achieved some results. As one knows, the agreements of Matignon on New Caledonia owed a lot to the intervention of the Freemasons who counted in their ranks, as it is asserted, the European Jacques Lafleur as well as the Kanak Jean-Marie Tjibaou. A more recent attempt, in 2000, in the Corsican affair, on the initiative of the Great East, whose Great Master was then a Corsican, Simon Giovannaï, had ended in a fiasco.
    One of the first mediations carried out by African masons was in Benin in 1989, during the national conference which accompanied the restoring of the multiparty system. Great Benin, one of the obediences, published on this occasion a text which called for tolerance and contributed to avoiding violent confrontations. The Freemasons of Togo tried also, in 1993, to reconcile the Togo Popular Assemby of President Eyadema (who closed the Lodges in 1972 and allowed the to reopen their doors several years later) and his opponents during a meeting in Paris in the office of the Great East – an initiative which unfortunately failed [15].
    More recently, in June, 1997, in the Congo Brazzaville, French and African Freemasons (representing the Great Lodge of France, the United Great Lodge of Côte d’Ivoire and the GOLUC) tried hard to reconcile president Pascal Lissouba, member of the GO, and his opponent Denis Sassou N’Guesso, affiliated to the GLNF via the Great Independent Lodge of Senegal [16]. This attempt did not succeed and the civil war continued until Sassou N’Guesso’s military victory.
    The intervention of Freemasons in political life naturally causes serious rivalries, not only between more or less rival obediences, but also with other more or less vaguely similar organizations – at least in the public opinion. It is case in Cameroon, where a deaf controversy of influence among the masons and Rosicrucians, widely reported in the local press [17], seems to have developed. For a long time, rumors claimed that president Paul Biya was Rosicrucian, especially since the Grand Master of the Rosicrucians of Cameroon, Titus Edzoa, a former Minister, was appointed to the post of Secretary-General at the Presidency.
    A true dramatic change of events occurred in 1996, when the Grand Master of the French branch of the Ancient and Mystic Order of Rosicrucians (AMORC), Serge Toussaint, come to Douala for a working visit and announced that the name of the Cameroonian president did not appear in the files of the order: his statement was published on the front page of the Cameroonian newspaper Challenge Hebdo [18]. Almost on the same date, another newspaper, Dikalo, published a communiqué accusing Titus Edzoa of “abuse of authority” in the process of privatization. Several months later, the latter left his post of Secretary-General, and, in July, 1997, he was arrested for another affair, this time concerning the liquidation of a bank. Meanwhile, the Rosicrucian Grand Master made the mistake of announcing his candidacy against Paul Biya at the next presidential election.
    In fact, the affair was even more complicated than it had seemed at first sight as far as the Rosicrucians are concerned. If Paul Biya did not appear in the files of AMORC, it is because he apparently belonged to a dissident Rosicrucian branch, the International Center of Cultural and Spiritual Research (Circes), an association created in 1988 by Raymond Bernard, who had settled down in Cameroon, where he had been the personal counsellor for cultural affairs under president Biya.
    “Brotherly” Meetings
    The rivalry between French masonic obediences does not prevent them from having relatively close contacts within inter-obedience associations – one of the most important is the association of Freemasons who are members of Parliamant – that are defined as “brotherly.”
    In Africa, the African and Malagasy Humanist and Brotherly Meetings (REHFRAM), even if they encourage links between French and African obediences, are sometimes also the theater or an occasion for controversy. In 1996, in Libreville, the pro-governmental daily L’Union published a statement of the Grand Master of the Great Equatorial Rite, François Owono Nguéma, rejecting the accusation of “Satanism” addresed to masons [19]. While Le Bûcheron, the newspaper of the main opposition party, the National Rally of Bûcherons, whose leader is a catholic priest, father Mba Abessole, asserted that the Gabonese Freemasons “were corrupt and satiated [20].”
    During REHFRAM meetings held in Cotonou the following year, the French and African Great Masters held a joint press conference, summed up in a Beninese daily, Le Citoyen, under the title: “Freemasonry is Not a Group of Magicians.” Besides, one of the Freemason dignitaries minimized the “incomprehension” which remains between the Roman Catholic Church and Freemasonry, adding: “With other religions, for example the Protestants and the Moslems, there are no problems [21].”
    Besides, the REHFRAM meetings of 1997 were a scene of sharp confrontation between the Great East of France and African obediences; the delegation of the Great East, led by the Grand Master Jacques Lafouge, preached French-style agnostic secularism, which caused a sharp retort by the Conference of African Masonic Powers (CPMAF), that unites most of the French-speaking African Lodges. The CPMAF underlined in a statement that Africa “suffered too much from various interventions” and clarified that REHFRAM “would know how to be neither the theater of rivalry, nor a tribune for demagogic jousts, or a stake in admitted or not admitted hegemonies.”
    The third element of this warning was exactly aimed at the attempt of the Great East to bring African obediences to abandon the Center of Liaison and Information of Masonic Powers that signed the Strasbourg Appeal (CLIPSAS) to join the Liberal Intercontinental Masonic Association (AMIL), created on the initiative of the Great East. During a meeting in Santiago, Chili, in 1996, the GO indeed left CLIPSAS accusing it of behaving as a “super-obedience.”
    CLIPSAS, established in 1961, leaves every obedience the freedom to believe or not believ in God, but it is critical to Anglo-Saxon Freemasonry [22], which it intends to counterbalance. Today it unites nearly fifty obediences (European, African and South American). AMIL, which initially counted less than ten, apparently wants to be even more lay than CLIPSAS, and one can undoubtedly focus the action of the Great East in Cotonou in the more general context of rivalry between France and the United States on the African continent. But this action (apart from the negative reaction of African obediences) provoked some defections in the framework of AMIL, which, among others, withdrew from the Great Traditional and Symbolic Lodge Opera [23]. The other French Lodges did not hide that they shared the position of the CPMAF.
    Sociologists will undoubtedly see that the reaction of the CPMAF and its implicit refusal of the atheism or agnosticism of the laymen of the Great East are proof that African societies remain profoundly imbued with religiosity, including that of ancestral cults or of monotheist confessions.
    One question remains: why has Freemasonry prospered in Black Africa? One can undoubtedly advance that secret societies are familiar to the Africans, as underlined by Olympe Bhély Quenum in the opuscule quoted above. There are more or less secret societies in most of the communities villagers where, according to ethnologists as father Eric de Rosny, they constitute an effective counterweight to the power of traditional leaders [24].
    It is as well likely that during the colonial period, the Africans who joined masonry – and who mostly belonged to the intelligentsia – saw there a means of social progress, because their admission to a Lodge placed them at an equal status with the Whites within the obedience. However, European masons sometimes hesitated to admit Black brothers in their Lodges, for example, in Cameroon.
    It is also necessary to say that the esoteric and almost mystic aspect of Freemasonry attracted African intellectuals, such as the great Malian writer Hampaté Bâ (Moslem) who saw it as a school of ecumenism and conciliation between monotheist religions, but who did not remain for a long time a Freemason [25].
    Therefore, Freemasonry attracts in Africa both generous souls as well as unscrupulous politicians – in the image of the entire humanity, without distinction of race.
  32. Brethren, our order was formed in March 1908 when we were called The Honourable Fraternity of Antient Masonry. We are a regular Masonic Order open to all women, unlike Adoptive Masonry which restricts its membership to women who are fortunate to have Masons among their near family. As you know, we are open to all women of full age, of good report and holding a belief in a Supreme Being.
    We are firmly established as a genuine Masonic organisation, exclusively for women and our Masonic secrets came into the possession of the Order in a clear and regular way, given freely to women by Masons.
    For the last two hundred years, there have been repeated stories told of women who obtained the Masonic secrets by hiding behind doors and listening from cupboards, but it was in no clandestine manner that our modern Order obtained them.
    In 1882, a lodge working under the Charter of the Ancient and Accepted Rite of La Grande Loge Symbolique de France. called lodge Les Libres Penseurs, resolved that the time had come when women who had proved themselves free and of mature mind and understanding should receive initiation into Masonry. The first woman to receive the honour of this freely offered initiation was Mlle. Maria Destraimes. As a direct consequence of this noble and far-sighted action lodge Les Libres Penseurs was forced to detach itself from its parent body and form a separate Masonic body known as La Grand Loge Symboloique Ecossaise, so symbolically identifying itself with the strong and individual traditions of Scottish Freemasonry.
    One of the early initiates was Mrs (Dr) Anne Besant, a woman very active in the Theosophical Society, who quickly became a leader in this new movement. The name of the Order was subsequently changed to that of the Universal Order of Co-Masonry and it spread rapidly throughout the world. It arrived in Britain in 1902 and the first London Co-Masonic lodge was formed on 26th September 1902.
    A small number of members of Co-Masonry became dissatisfied with the governance, which was under a Supreme Council of the 33 degree, (domiciled in France) instead of a regular Grand Lodge. These members earnestly desired to have a Masonic Order which held men and women in equal regard and practiced Freemasonry on exactly parallel lines to that of the United Grand Lodge of England, in constitution, ritual and in breadth of interpretation. After much thought and discussion they felt their right course was to secede from the Universal Order of Co-Masonry and this they did in the year 1908.
    They formed themselves into three Lodges, under the leadership of experienced Past Masters. Most Worshipful Brother, the Rev. W. F. Geikie Cobb, DD, the Rector of St Ethelburga’s, Bishopgate, was elected as the First Grand Master.
    The names of the first three lodges were:
    Golden Rule. No 1
    Emulation. No 2
    Lodge of Unity No. 3
    They were all consecrated by the new Grand Master on 20th June 1908 and are still in existence to this day.
    At its foundation our Order consisted of both men and women founders, but experience taught that it was desirable that men wishing the benefit of Masonic initiation should seek it within the ranks of the United Grand Lodge of England or the Grand Lodge of Scotland and so the initiation of men ceased.. But our women founders agreed that it would be ungrateful, in view of their past services to the Order to ask the one or two remaining men original founder members to retire, and they remained within the Order until their death.
    In 1912 Grand Master M.W. Bro Geikie Cobb, retired due to ill health and the first woman Grand Master, Marion Lindsay Halsey, became our new leader.
    Grand Master M. W. Bro Halsey, Initiated in Lodge Golden Rule No 1 on 29th April, 1909, remained in office until 1927
    The Order’s work was naturally much restricted during the Great War, by which time three new lodges had been added to our ranks. These being
    Lodge of Harmony No 4
    Lodge Stability No. 5
    Lodge of Installed Masters No 6
    but at the end of hostilities in 1918 our Order began to expand.
    We soon realised that our Order needed its own permanent Temple and administrative offices. Our still young and poor order was fortunate to obtain the magnificent gift of a freehold house in Pembridge Gardens, Bayswater, London, W.2. from R.W. Bro. Florence E. Turner. The Brethren generously raised a subscription and the house was adapted to the requirements of our Order, with a Temple erected in the garden at the rear of the house, and duly furnished as the result of many individual and lodge gifts. Our founder Brethren were justly proud of the beauty and dignity of its equipment and we remember the efforts of our early brethren with gratitude in helping to establish our Order on such a firm cornerstone.
    In 1928 R.W. Bro Adelaide D. Litten, who had held the office of Grand Treasurer since 1920, succeeded as Grand Master
    Grand Master M. W. Bro. Adelaide D. Litten, Initiated In Lodge Emulation No. 2 on July 9th 1909, remained in office until 1938
    Under the leadership of Grand Master Litten, the Order resolved to spread its work to the provinces in order to enable women there to partake of the joys of Freemasonry. Lodge Mercury, No. 11 was founded with a Charter and the status of a Travelling Lodge, on the precedent of military lodges chartered under the older Obediences of England and Ireland. Under the founding mastership of Lady Markham and in order to carry out its work for Freemasonry, Lodge Mercury, No. 11 travelled to centres in which women already known to members of the Order were anxious for initiation into Freemasonry. Able and experienced Brethren, together with complete sets Masonic furniture, were sent to initiate candidates and to guide these new centres until they were sufficiently strong to start lodges for themselves.
    The Constitution of our Order has always recognised Royal Arch and Mark Masonry as part of pure and antient Masonry under its jurisdiction and early in 1929, Grand Master Litten considered that our Order was sufficiently advanced to promote the founding of Royal Arch Chapters. Among the past and present members of the Craft lodges at that time were women who were already Royal Arch Masons. On June 11, 1929, the first Convocation of Pre Chapter, No. 1 was held and two further Chapters, Logos No. 2 and Zodiac No. 3, were consecrated the following year. Later two new Chapters were consecrated in London and Provincial Chapters in Liverpool, Sunderland, Manchester and Birmingham. These Royal Arch Chapters are governed by a Supreme Grand Chapter, with a Constitution based on that of the Supreme Grand Chapter of England.
    In 1938 the founding master of Lodge Mercury No. 11. W. Bro Lucy Bertram O Hea, CBE, Lady Markham, became Grand Master.
    Grand Master M.W. Bro. Lucy Bertran O’Hea, CBE, The Lady Markham, Initiated Lodge Harnoby No. 4 and First Master of Lodge Mercury No.11. Remained in Office until 1948
    Since its formation in 1929, Lodge Mercury No. 11 has added more than forty-two lodges to the Order, and it always has several centres in course of preparation.
    The second World War again halted our forward progress, our brethren were dispersed far and wide, but before the war ended, five new Lodges had come into being. It is interesting to note that all of these were in the recently heavily bombed areas. At the cessation of hostilities the work was renewed with redoubled energy; new degrees were inaugurated and new centres opened.
    In March, 1946, the first Mark Lodge-Keystone Mark Lodge No. 1 was consecrated by the then Grand Mastet M. W. Bro. Lucy B. O’Hea, C.B.E .Lady Markham.
    When Grand Master O’Hea retired she was replaced by M.W. Bro Mary Gordon Muirhead Hope.
    Grand Master M. W. Bro Mary Gordon Muirhead Hope, Initiated in Lodge Golden Rule No 1 on Feb, 1918, remained in office until 1962
    In 1948 GM Muirhead Hope resolved that the four Cryptic Degrees should be worked as part of the continuing Order of the Holy Royal Arch Jerusalem. It was agreed that these four degrees, Most Excellent Master, Royal Master, Select Master and Super Excellent Master, should be worked by the Order following the tradition of the Scottish rather than that of English Masonry. This decision allowed further interesting and ancient degrees of the Red Cross of Babylon (Knight of the Sword, Knight of the East, and Knight of the East and West) were also authorised to be worked in London under the auspices of the Supreme Grand Chapter.
    In 1948, a Petition was presented to Grand Lodge that the Order should add the Christian Chivalric Degrees, as time and circumstances permitted. After considerable deliberation, it was agreed that this Order should work the Templar Degrees under the old English (York) Rite Series as established under the original Grand Conclave presided over by Thomas Dunckerley, and also worked by the North of England Templar Encampments, the Baldwyn Encampment (Time Immemorial) and the Irish Rite of High Knight Templar, rather than to accept the present division of these into those worked under the authority of the Grand Priory and of the Ancient and Accepted Rite. This decision was based on the regret expressed by nearly all Masonic Writers on the division of Chivalric Masonry in the nine teenth Century. It was felt that this new Order was in no way bound by the compromise then arrived at, and should go back to the original working of the Chivalric Degrees in the follow ing sequence. Knight Templar, Knight of Malta, Rose Croix of H.R.D.M., Knight Kadosh, Royal Arch Knight Templar Priest. The first Chivalric Degree worked by the Order was, .therefore, that of the Knight Templar (Military and Religious Order of the Temple) thus going back to the ancient tradition of the historic Order of the Temple, which originally permitted the admission of women.
    In 1948 Lodge Mercury No. 11 first crossed the Border to carry Women’s Masonry into Scotland. The first centre was in Glasgow; this was soon followed by two enthusiastic lodges in Aberdeen, and on January 17th, 1959, our first lodge in Edinburgh was consecrated. Masonry in Scotland has always had its special and particular traditions, and these our elder brethren were determined should be maintained in our Scottish lodges, as it has been proved that the two traditions can work side by side in complete amity.
    In March 1950 the first Chapter of the Rose Croix of H.R.D.M., Mystic Cup No. 1, was founded, to be followed in one year by a second Chapter, The Rose and The Flame, No. 2. The final degrees of Grand Elected Knight Kadosh and Royal Arch Knight Templar Priest were worked annually at Headquarters, London.
    In October 1950, a petition was presented to the Grand Mark Council for permission to add Royal Ark Mariner to the work. This was granted and the Degree of Royal Arch Mariner began to be worked by the three London Mark lodges.
    The affairs of the Mark and Royal Ark Mariners lodges were controlled by the Grand Master’s Mark Grand Council and the Grand Master’s Royal Ark Council, respectively.
    Also in 1950 the Order determined to take a further step, that of offering Masonic initiation to English-speaking residents overseas. Many women visiting friends or relations in England enquired if it were not possible for them to become Freemasons during their stay in the Mother country. It was therefore decided to form a special lodge, named Voyagers, for this purpose, and also that of enabling these women, when returned to their own countries, to be kept in touch with Headquarters and, gradually, if circumstances proved fruitful, to form Lodges in their particular part of the world. The conception of Lodge Voyagers proved so popular that there were 425 founder members when it was consecrated on 2nd December 1950 and there are now over 700 members. In the eight years of its existence, not only have visitors to these shores received degrees here, but members of Lodge Voyagers have travelled in teams to Canada, where there are now four Craft Lodges in Ontario; to Adelaide, South Australia, where our first lodge in the Southern Hemisphere was consecrated
    on October 31st, 1957, and to Southern Rhodesia, where our first lodge was consecrated in Salisbury on November 6th, 1957. Nearer home, overseas lodges have been consecrated in Guernsey, Jersey and Belfast. Faith in what we have to offer, and the longing for it that we have found in women
    overseas, have given us the courage to undertake and guide these ventures, and the reward was felt most directly when representative members were able to be with our British brethren at our Golden Jubilee Festival in the Albert Hall on September 7th, 1958.
    In 1952, the Order resolved to augment the working of the masonic Chivalric degrees by inaugurating the second great Order permitted to Masons under the Articles of 1813, that of the Knights of the Red Cross of Rome and Constantine, with its adherent degrees of Knight of the Holy Sepulchre and St. John the Evangelist.
    The Royal Order of Scotland was inaugurated in 1954, and meets at Headquarters.
    By 1958, when we celebrated out Golden Jublilee, this work in the provinces had so grown that it became necessary to found Lodge Mercury No. 111 for the purpose of covering all England north of the river Trent, while Mercury No. 11 continued south of that line. In the first few years of a new provincial lodge, senior officers were drawn from existing lodges. The work required much devotion, skill, leisure and money and to help the financial side of the work, an Expansion Fund was built up by contributions from all members of the Order who believe that, as Freemasons, they are also called upon to be masonic missionairies.
    On Sunday 7th Sept, 1958, our Order celebrated its Golden Jubilee and our Grand Officers were photographed at headquarters.
    M.W. The Grand Master, Mary Gordon Muirhead Hope
    R.W. The Deputy Grand Master Dorothy Alice Taylor R.W. The Assistant Grand Master Mildred Rhoda Low
    So Brethren of Lodge Anwyl, we are heirs to a glorious Masonic tradition, and it is our duty to pass on to our daughters the aims and objectives of our Order. Our lodge goes from strength to strength. At our 24th regular meeting which we held on Sunday 22 Oct at Bethenia, Oakenholt, Flint, we were hounoured to receive R.W Bro M.H.P. Sowerby, PGW, Grand Inspector of North Wales and North West Midlands, G.M’s. G.S when she represented our current Grand Master, Most Worshipful Brother Mildred Rhoda Low, at the installated of W.Bro Joyce Marian Sprake.
    Today we have a membership of 51 members, made up of 5 Honorary Members, 25 Founder Members, 9 Joining Members and 12 Initiate Members.
    Brethren, may the Great Architect of the Universe continue to adorn our Order with moral and social virtue. And may we continue to grow and proper to be able to give the benefit of Masonic initiation to our daughters.
  33. WALIOKUA WAKIPINGA FREEMASON,
    LIONS CLUB NA ROTERY CLUB
    Kanisa la Katholiki wakati moja waliwahusisha Rotarians (Lions Club) moja kwa moja na Freemasons. Mwaka wa 1928 Maaskofu wa kihispania walitangaza wazi kwamba Rotary Club si chama tu cha kawaida bali ni Muungano au chama kipya cha kuabudu mashetani wakiwa na katiba, tabia na kila kitu chao kufanana na zile za Freemasons wakawatahadharisha waumini wao wajichunge sana na Chama hicho, na baada ya muda mfupi wakuu wa Vatican walitoa amri kwamba maaskofu wa kanisa la katoliki hawaruhusiwi kujiunga na vyama hivyo (Rotary, Lions Club).
    Mohammed Sayed Tantawi
    Katika miaka ya 1970 kiongozi wa juu na Sheikh wa Chuo kikuu cha kiisilamu huko Misri (Egypt) inasemekana alitoa fatwa kuwakataza waisilamu wasijiunge na chama cha Rotary Club na wakati mambo haya yalikua yakikatazwa na dhehebu la sunni Chama cha rotary pia kilisikika kukatazwa na Ayatollah Khomeini.
    Ayatollah Khomeini
    katika mwaka wa 1798 Muandishi Moja wa Kiingereza aliejulikana kwa jina la john Robbinson aliandika kitabu kijulikanacho kama Proofs of a Conspiracy Against All the Religions and Governments of Europe, Carried On in the Secret Meetings of Free Masons, Illuminati, and Reading Societies (Uthibitisho wa njama dhidi ya Dini zote na Serikali zote za Ulaya ilipangwa katika mikutano ya siri ya Freemasons, Illuminati, na vyama vinginevyo vya Reading)
    John Robbinson
    Kitabu hicho kinaelezea Ari na hamasa za Freemason walivyokuwa wakipanga kisiri jinsi ya kupinduwa mipangilio mizuri ya Maisha (Serikali) na ndio waliosababisha mapinduzi nchini Marekani na Ufaransa.
    Shuku za kuenea kwa Freemasons zilienea hadi kufikia miaka ya 1800 ambapo Rais Millard Fillmore
    Rais Wa 13 Millard Fillmore wa Marekani
    alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika bunge la Marekani (Congress) kama mgombea aliyekuwa akipinga mambo ya Freemasons na akafikia kilele katika karne ya 20 (20th Century)
    Sergiei Nilus Mwandishi Kitabu cha Protocol
    Kitabu cha The Protocols of the Elders of Zion sio kuhusu mayahudi kutawala dunia lakini ni kuhusu njama za freemason wa kiyahudi kubadili mfumo wa dunia.
    Hitler Reinhard Heydrich
    Hitler alizungumzia kuhusu njama za Mayahudi-Bolshevik-Freemason na kiongozi mwingine wa Ujerumani kwa jina la Reinhard Heydrich aliunda kikosi maalum (Special Section SS) kuangamiza ushawishi wa freemason nchini Ujerumani.
    Moqtada al-Sadr Al Hawza
    Nchini Irak, Gazeti la Moqtada al-Sadr lijulikanalo kama Al Hawza lilichapisha picha ya George H.W. Bush na Bill Clinton na akaelezea kwamba ishara ya mikono yao ilikuwa ni alama ya waandamizi wa kizayoni na freemason, na kama walivyo Wakatoliki Waisilamu pia waliwahusisha wanchama wa Rotary moja kwa moja na Freemasons na kusema vyama vyote viwili ni laana.
    Rais Bush Rais Clinton
    Freemasons wamehusika moja kwa moja katika jitihada za kutawala Mashariki ya kati jitahada ambazo zilibuni uhasama kati ya Mashariki ya Kati na Jumuiya ya Magharibi.
    Freemason walitoa fursa ya wafanyabiashara kuunda mtandao mmoja, hii ni katika malengo ya wafanyabiashara wanachama wa Freemason wa Ulaya wafungue ofisi za Freemason nje ya nchi na kuwaalika wanainchi wa Ulaya kujiunga nao.
    Kwa ujumla sio Wafanya biashara wa Wakiingereza au Mashariki ya kati ndio waliowengi tu kama anavyoeleza bwana Hamid Algar wa Berkeley ambaye ni Mwanachuoni maarufu duniani wa historia ya Kiisilamu:-
    Hamid Algar
    “ Freemason imeweza kuhudumika katika uisilamu tangu kijitambulisha kwa waisilamu katika karne ya 18 kama njia ya kukuza utawala wa fikra za wa Magharibi kisiasa na kimawazo; Mojawapo wa Ofisi za Freemason huko Istambul nchini Uturuki, ilikuwa na Balozi wa Uingereza kama mkuu
  34. Freemasonry
    Today, apart from their occasional appearance in a Monty Python sketch, or the popular theory that Jack the Ripper was one, Masons pass unnoticed by the general public. But this wasn’t always so.
    In 1827, the United States witnessed the birth of a third political party. This had never happened before. The new party offered America its first alternative to the two dominant political groups. Like so many third parties to come, this one had a rather narrowly-focused platform. It was dedicated to countering the malevolent and subversive influence of the international cabal known to the world as Freemasonry. It was named the Anti-Masonic Party, and the Anti-Masons were well aware that theirs was an uphill battle.
    America’s first President, George Washington, had been a Mason. So were many other Founding Fathers, including Ethan Allen, John Paul Jones, Paul Revere, John Hancock, and Benjamin Franklin. Eight of the 56 signatures on the Declaration of Independence belonged to avowed Masons, as well as nine on the Constitution.
    In 1832, the Anti-Masonic Party managed to elect Millard Fillmore to Congress, but their candidate for President received only seven votes in the Electoral College. He was crushed by Andrew Jackson… who was a Mason.
    Freemasons claim that their group dates back to the stonemason guilds of the Middle Ages, some even say it reaches back to the building of King Solomon’s Temple in 850 B.C. No one really believes that. It was actually founded in 1717 by a bunch of affluent Englishmen with too much time on their hands. The organization flourished and spread rapidly throughout the British empire; Masonic lodges appeared in the American colonies as early as the 1730s. A separate strain later popped up in France and swept across Europe.
    It was a fraternity of sorts, attracting the community’s best and brightest. They would gather together for strange and secret rituals, swearing oaths of allegiance to the brotherhood and each other. Naturally, it became a place for negotiating business deals and the exchange of gossip. The fraternity was soon a major power center in any large city, and the international network of lodges constituted an immense, wealthy, and well-connected supragovernmental organization.
    As such, it took almost no time at all for the the backlash to begin. The Roman Catholic church was officially opposed to the group ever since 1738, when Pope Clement XII condemned Freemasonry and banned it from his faith. Catholics were forbidden from joining, under pain of excommunication. In 1825, Leo XII reiterated the ban and declared it to be permanent and everlasting. In 1884, Leo XIII called on each member of the clergy to get the word out and help defeat this insidious foe:
    We pray and beseech you, venerable brethren, to join your efforts with Ours, and earnestly to strive for the extirpation of this foul plague, which is creeping through the veins of the body politic. [...] We wish it to be your rule first of all to tear away the mask from Freemasonry, and to let it be seen as it really is; and by sermons and pastoral letters to instruct the people as to the artifices used by societies of this kind in seducing men and enticing them into their ranks, and as to the depravity of their opinions and the wickedness of their acts.
    In his encyclical, Leo pointed out that the Masons were in cahoots with the Socialists and Communists. Quizzically, he omitted the Jews. Perhaps it escaped his mind. Leo also referred to the fact that Masons believed in such demonic notions as democracy, free elections, the rule of law, and the separation of church and state.
    This opposition to Freemasonry persisted into the 20th century. Pope Pius XII hated them.
    Freemasons suffered harshly in Nazi Germany. Adolf Hitler firmly believed that they had been completely subverted by the Jews, as described in The Protocols of the Elders of Zion. As he explained in his bestselling autobiography Mein Kampf, the Masons had been subverted to provide a mask of legitimacy for the diabolical Jew:
    [I]n Freemasonry, which has succumbed to him completely, he has an excellent instrument with which to fight for his aims and put them across. The governing circles and the higher strata of the political and economic bourgeoisie are brought into his nets by the strings of Freemasonry, and never need to suspect what is happening.
    Accordingly, the Nazis made it one of their top priorities to uproot the organization. The government seized Masonic temples, jailed their membership, and otherwise made life very difficult for anybody attached to the group. In fact, it was Adolf Eichmann’s first assignment in the SS to track the activities of suspected Masons.
    The greatest dictators of recent decades have jumped on the Anti-Masonic bandwagon: Stalin, Mussolini, Franco, Pinochet (Chile), Salazar (Portugal)… not to mention all the conspiracy kooks.
    There are many who claim that the Freemasons grew out of the medieval organization known as the Knights Templar. Today, the Knights Templar exists as one branch of the interconnected organizations making up Freemasonry.
    When a new member joins, his initial ranks in the organization are referred to the Blue Lodge. This culminates in the designation of “Master Mason.” At which point, the newly-minted Mason faces a choice: pursue either the Scottish Rite or the York Rite. Men who choose the York Rite eventually have the option of joining the Knights Templar.
    Why They Are Hated And Feared
    But why do the Masons have so many enemies? Historically, the group has been attacked for a variety of reasons.
    1. The Freemasons secretly rule the world.
    Or, more precisely, the usual claim is that the Freemasons are the visible arm of the Illuminati, who actually rule the world. The founder of the Bavarian Illuminati, Adam Weishaupt, was also a Mason. This fact prompted wide speculation that the two groups had been (or still are) working in tandem for a broader objective — the establishment of a “New World Order.” This notion is still widely believed, especially among the militia types.
    But how sneaky can this society possibly be, if you can purchase any of their tchotchkes through eBay? Last time we checked, there were 3,204 auctions matching the query: masonic,freemasonry,freemasons. In addition to the standard fezzes, aprons, trowels, rings, and printed literature, there’s a seemingly endless parade of gaudy souvenirs:
    ashtrays, ballpoint pens, bath towels, beer bottles, beer mugs, bells, belt buckles, bottle stoppers, bumper stickers, bolo ties, bookends, bookmarks, bowties, buttons, candles, canes, cigarette cases, collapsible umbrellas, combs, commemorative plates, cufflinks, cutlery, decals, decanters, door knockers, doorknobs, drawer pulls, earrings, embroidered patches, figurines, flags, flasks, gavels, goblets, golf balls, hat pins, ice cream molds, jewelry of all kinds, keyrings, lamps, lapel pins, leather belts, leather wallets, letter openers, license plates, license plate holders, lightbulbs, lighters, magnets, medallions, medals, miniature replicas of the ark of the covenant, money clips, paperweights, pillboxes, pocket knives, polo shirts, postage stamps, postcards, potholders, radiator caps, rubber stamps, silver ingots, shot glasses, socks, statuettes, straight razors, sundials, suspenders, swords, teddy bears, thermometers, thimbles, tie clasps, tobacco pipes, tokens, travel alarm clocks, travel mugs, tumblers, wall clocks, wall hangings, watch fobs, windbreakers, wristwatches…
    Or, if you’d prefer brand new merchandise instead of hand-me-downs, try contacting any of the hundreds of retail sites listed in Google under fraternal supply. Almost all of them sell Masonic crap. Just keep contacting them until you find one that doesn’t care whether you belong to a Lodge.
    2. The Freemasons are Satanic, or at least anti-Christian.
    Jack Chick promotes this idea. Many fundamentalist Christians believe that Masons are required to pledge themselves to Freemasonry above and beyond their religious faiths. This would be a strict no-no for the Jesus freaks, if it were true. Which it isn’t.
    But then, you can hardly blame them. We’re talking about a bunch of people living under the specter of intergenerational suffering (according to Exodus 20:4-5):
    You are strictly prohibited from the manufacture of graven images resembling anything found in heaven above, within the Earth, or dwelling in the waters underneath the Earth. Neither will you bow down before such images or serve them; because, as your god Yahweh, I am easily excitable and will not hesitate to punish sons for the misdeeds of their fathers, all the way to the third and fourth generations.
    Which is also why the Jehovah’s Witnesses refuse to say the Pledge of Allegiance. Better safe than sorry, especially when you’re talking about eternal torment for you and your extended progeny.
    Some even believe that Freemasonry is itself a religion, whose deity is the pagan god Baphomet.
    The problem is, as any devout Christian in the organization will tell you, there is nothing Satanic about the group’s ideology, rituals, or symbols. But the nutballs have an answer for this. The Masons don’t believe that their group is anti-Christian because only the innermost, core members know the truth. Meaning: inside the secret club is another, even more secret, club.
    3. The Freemasons are controlled by the Jews.
    Already discussed that. Hitler, The Protocols, etc.
    Contributing to the sinister reputation are all of their freaky ceremonies. The Masons are very proud of their rituals, which have been copied innumerable times.
    One longstanding sore point for the Masons has been the plagiarization of Masonic ceremonies and symbology by Joseph Smith for his religious cult known as the Mormon Church. Smith was inducted into the brotherhood in March 1842. In May he produced the Endowment ceremony, which borrowed whole sections of dialogue from the Masonic ritual. This pissed off a lot of Freemasons, to say the least. Like every Mason, Smith had been required to swear an oath never to reveal the secrets of Freemasonry to non-members, under pain of death. Oh well. Evidently tired of taking crap from the Masons, the Mormons finally excised the offending elements from their ceremony in 1990.
    One prominent 19th century Mason was Albert Pike. He was an officer in the Confederate army during the Civil War, who later went on to become a big deal in Freemasonry. He wrote seminal books which are still read today by the Freemasons.
    He was also evidently a big fat racist, writing editorials in his newspaper inveighing against the Negroes and so forth. It is widely-believed but poorly documented that Pike might have been one of the original founders of the Ku Klux Klan. The Masons vehemently deny this, of course.
    Recognizable Masons
    • Benedict Arnold, Revolutionary War traitor.
    • Napoleon Bonaparte, French tyrant.
    • Henry Ford, auto manufacturor, racist.
    • Barry Goldwater, Senator.
    • Jesse Helms, Senator, homophobe.
    • J. Edgar Hoover, FBI director-for-life, homosexual.
    • Houdini, magician.
    • Joseph Smith, founder of the Mormon Church.
    • Brigham Young, another Mormon.
    • Oscar Wilde, noted author and homosexual.
    • Mark Twain, American author.
    • John Glenn, astronaut.
    • Samuel Hahnemann, started the Homeopathy fraud.
    • Charles Lindbergh, aviator, racist.
    • All seven of the Ringling Brothers.
    • Colonel Sanders, fat fried chicken tycoon.
    • Dave Thomas, fat Wendy’s tycoon.
    • Telly Savalas, player.
    • Peter Sellers, pink panther.
    • Strom Thurmond, racist US Senator.
    • William Walker, advocate of Manifest Destiny.
    • Sir Winston Churchill, Prime Minister of Britain.
    • Aleister Crowley, the most evil man that ever was, 33rd degree.
    • U.S. Chief Justice Earl Warren, head of the Warren Commission.
    • Roberto Calvi, Vatican banker.
    • Abraham Zapruder, filmed John F. Kennedy assassination.
    Masons had an impressive (and to some, alarming) role in the founding the United States, including most of the critical Founding Fathers:
    • George Washington
    • John Hancock.
    • Patrick Henry, Give me Liberty or give me Death. Some claim that he was never a Mason.
    • Benjamin Franklin, inventor, printer, diplomat, patriot, womanizer. Arguably the most accomplished American that has ever lived.
    • Paul Revere
    • Ethan Allen
    • Thomas Jefferson, likely a Mason.
    Additional Presidents who were Masons
    • Gerald Ford
    • William McKinley, assassinated by an anarchist.
    • James Garfield, assassinated President.
    • Theodore Roosevelt
    • Franklin D. Roosevelt
    • Harry S Truman
    • Warren G. Harding
    • William Howard Taft, the fattest President.
    • Andrew Johnson, the first impeached President.
    • James Monroe
    • Andrew Jackson
    • James Knox Polk
    • James Buchanan, the only bachelor US President.
    • Lyndon B. Johnson was a first degree Mason.
    • Ronald Reagan was an honorary Scottish Rite Mason, but not a Freemason.
    Timeline
    15 Mar 1842 Joseph Smith is initiated into the Freemasons. The very next night, he will be promoted to the rank of Master Mason.
    Mar 1935 According to Joseph Goebbels, the Soviet Union’s recent inclusion in the League of Nations was engineered by 300 “members of the Jewish race and conspirators of Freemasonry.”
  35. Obama, Freemason, Related
    To Both Bush, Cheney
    Obama outlines his ambitious geopolitical plans in a recent essay for Foreign Affairs magazine. Foreign Affairs is published by the Council on ForeignRelations, which describes itself as a non-partisan group of which he is a member. Established in the 1920′s and headquartered in New York, its membership includes prominent politicians and business elite, including heads of academia and media. The organization seeks to centralize both political power and market power to craft legislation outside the checks and balances of democracy.
    The CFR is rarely mentioned by the mainstream media… Obama is also a 32nd degree Prince Hall Freemason loyal to the Craft and devoted to his principles so forget about the “changes” and start thinking about the same old , same old , coming once again into power.
    Obama is illuminati aristocracy. his appearence from ‘nowhere’, and subsequent rocket to the front of the political line are no coincidence. Believe it or not, Barack Obama is related to both President Bush and Vice President Dick Cheney as you can check here: http://www.nypost.com/seven/10172007/news/regional
    news/dissing_cousins__obama__cheney.htm
    So, the possible scenario is that Hillary might become the Vice President of Obama at the end of this political show , but in any case let’s enjoy what the American call Democracy a good show in the hands of the usual suspects , and remember America the Pope is coming with His Blessings this spring..ha..ha….and make sure Brother Obama doesnt miss his Zionist masonic meetings as he would love to be the main actor in the reconstruction of the Temple of Solomon in Jerusalem.
    Maybe the next AntiChrist to hit the US presidential scene will be darker then some people have expected.
  36. Jamani ndugu zangu wakristo tuwe makini sana,hizi ni nyakati mbaya yatupasa tumwombe mungu sana atupe utambuzi mkubwa wa hawa freemasons kwani bila kufanya hivyo hawa jamaa wana dalili ya kuupotosha ulimwengu.
  37. Shalom wapendwa,
    nimesoma kwa kina maelezo ya hao freemasons, jambo moja ninaloliona kila mtu anasema wana nguvu mno, wana utajiri mkubwa, wana mtandao mkubwa, wanahodhi madaraka makubwa, wanahusiana na wenye madaraka ktk nchi nyingi nk…
    Sifa walizopambwa ni kubwa… kiasi naona kuna watu badala ya kuogopa wanavutiwa na hizo sifa.
    Kwenu wapendwa kwanini msijaze Mungu wetu sifa zake na za watu wake walio wanyoofu ili kuwaleta watu kwake kwa kuwahakikishia ukuu wake Mungu wetu. Tayari hapa Lucifer keshajipatia kina Richard, sijui nani na wengineo ambao nadhani imeishawakaa kichwani siku akikutana nao na haya masifa ya ukuu mliyoweka hapa basi wanaenda kwake kiurahisi. Hakuna aliye mkuu kama Mungu wetu huyu! tumpe sifa na utukufu!
    Ndugu zangu hebu tumtukuze Mungu wetu huyu na kufanya tafiti za kanisa lake na watu wake, ikibidi nasi tuwaalike (social clubs) hao wenye madaraka kama wafanyavyo wao kwani Yesu alikula na watoza ushuru na kuchanganyika nao ili wavutiwe na kupokea toba.
    Barikiweni.
  38. wapendwa mnaopiga vita hii kuu, piganeni kama paulo shujaa aliyevipiga vita mpaka akafikia muda wa kujitamkia ya kwamba vita vya yesu nimevipiga mwendo nimeuumaliza,taji yangu naingojea. kwa hiyo hivi ni vita, NA MNAJUA VITA NI VITA….. ndugu katika kristo vita unavyo kwani unachotakiwa kuamini ni moja tu. HAKUNA WA KUABUDIWA ZAIDI YA MWENYEZI MUNGU, ALIYEUMBA VYOTE HATA HUYO SHETANI AKIWEMO. YEYE PEKE YAKE NDIYE WA KUABUDIWA.
    hawa jamaa wanaimani ya ajabu, kwanza hawaamini kama kuna shetani duniani. wanaamini haiwezekani luthifer akawa shetani kwani neno luthifer lina maana ya Luth—conquer na far ni light……sasa yawezekana conquer of light akawa shetani, wanaamini hakuna kitu kama hicho yote ni ubatili. kwani dunia inaongozwa na nguvu mbili (DUAL SYSTEM) nazo ni hizi, pale ambapo twona ubaya au giza huo ndio ushetani na huyo atendaye ndiye shetani, ila panapokuwa na wema au wema huo ndiyo utakatifu na huyo atendaye ndiye mtakatifu, kwa hiyo hakuna shetani zaidi ya mimi na wewe:
    Kwa hiyo palipo na
    UBAYA………kuna WEMA
    UGONJWA………kuna AFYA
    GIZA………kuna MWANGA
    UGOMVI………kuna MASURUHISHO
    JINSIA YA KIUME………JINSIA YA KIKE
    DHAMBI………kuna UTAKATIFU
    KULIA………kuna KICHEKO
    NA MENGINEYO MENGI.
    na pili huamini kuna maisha baada ya kifo, kwamba spirit huendelea kuishi. pia jinsi wanavyoabudu, alama zao, kafara zao na mengineyo mengi.
    kumbuka yesu alisema mafundosho yote yatolewayo ni roho mtakatifu tu atayeweza kutusaidia kuchuja lipi la kufuata. kwa hiyo tunatakiwa kumuomba sana roho wa Bwana atutangulie na kutufunulia Mengi yaliyofichwa chini ya jua.
    ndugu zangu katika Kristo, ninaloomba tudumu katika Bwana Huku tukimgonjea, lakini tutambue tumepewa talanta mwingine moja, mbili, tano au kumi. sasa twapaswa kuzitumia kuwambia wengine habari za huyu Mkombozi wetu, huku tukimgonjea.
    mbarikiwe.
    Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi nyote.
  39. ndugu mimi nilikuwa sijui hii kitu freemansory nilipoijua nilianza kupeleleza taratibu kwa baadhi ya marafiki zangu kujua kama wanaijua hii kitu kweli watu wengi hawajui lolote tuwaombee watu wafunguke na wajue the world is over ndo maana watu wengine wanakurupuka kutaka kujiunga Mungu atusimamie kwa jina lipitalo majina yote yaani Yesu Kristo na ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako,yetu,yenu,yangu,yao
  40. Banatus,
    Kwa nini usiendeleze list yako pia kwa watumishi wote wa Mungu hadi kufikia mchungaji na wazee wa kanisa unaloabudu!Kwa nini na wao wasiwe Free Mason! Kwa nini iwe ni Kakobe, Lusekelo, Mwingira, Rwakatale,Mwakasege,Fernandes,Moses Kulola,Geodavie,Mch Maboya nk!
    Nachotaka kusema kuwa ni Biblia tu ndiyo inayoweza kuanisha hii ni kazi ya Mungu au siyo! na wala sio philosophia ya Free Mason! Hiyo sio kigezo!
    Shetani baba wa uongo anaweza kuja kwa njia nyingi! kwa kujigeuza hata kuonekana kuwa mfano wa Nuru! Na hatutatambua kwa kigezo chochote bali kwa Neno la Mungu tu!
    Philosophia nyingi na mafundisho mengi mno yametokea duniani, kupinga mpango wa Mungu kuhusu mwanadamu, na nyingine zimekuja kwa njia ya hekima tu ya wanadamu,kama Capitalism, Communism,Socialism,Materialism,nk na pia kwa njia ya dini mbali mbali kama jitihada za binadamu kumtafuta Mungu.
    Hivyo basi usije ukaingia katika hofu isiyo ya msingi ya kuogopa Free Mason! Na kufanya hofu hiyo iondoe hata kuwa na imani kwa watumishi wa kweli wa Mungu! Sijasema hao uliowataja ni watumishi wa kweli wa Mungu au la! Isipokuwa waangalie watumishi kwa kigezo cha Biblia! Usije ukatupa mtoto na maji ya kuogea!
  41. Nimefuatilia kwa ukaribu sana maoni ya wachangiaji, lakini mwenye macho haambiwi tazama!!!! Tuwe na macho ya rohoni, tumwombe roho mtakatifu atupatie kujua mambo ya sirini , tusiishi kwa minong’ono lakini tuitafute kweli kwani ni KWELI PEKEE ndiyo itakayotuweka huru.
  42. Hello Dears.
    This is wonderful!
    As a born again, I have a role to play in this bizarre world where Satan is trying to deceive the majority innocent people just by miracles.These are the last days, Jesus is on the way coming.Pray hard my beloved and always Keep Holiness.Read the scripture Rev.13;18
  43. JAMANI HAWA WATUNI WABAYA SANA TENA SANA KWANI HAWA WATU WANA NAMBA ZAO AMBAZO NINAZOZIJUA KUPITIA HABARIZAO NI 3,9,11,22,33, KWANI MWEZI WA 9 NDIO MWEZI WAO WA KUTOA KAFARA NA MATUKIO MAKUMBWA HUFANYIKA MWEZI NA TAREHE KAMA HIZO NAMBA NILIZO ZITAJA HAPO. MFANO MAJENGO PACHA YALIYO LIPUKA MAREKANI YALIHUSISHA FREEMASONS YALITOKEA TAR 3/9 NA VILEVILE WALISHATUTEKA KWENYE MPIRA WA MIGUU KWANI WAO NDIYO WALIOANZISHA SOKA LA KULIPWA ENGLAND NA ENGLAND HADILEO INAONGOZWA NA MEMBA MKUBWA WA FREEMASONS QUEEN ELIZABETH AMBAO WALIANZISHA FA MWAKA 1806 NA WAKATUTEKA NA NAMBA ZAO KWA MFANO MPIRA UNACHEZWA DK 45(4+5=9) na kipindi cha pili ni 45 jumla 90 (9+0=)9 na dk30 za nyongeza (3+0)3 ambazo ni namba zao kuu.
    + 255 766 993 574.
  44. Wapendwa katika Bwana.
    Nimeona nivema nishee idea zangu na ninyi wenzangu ili tuweza kujiepusha katika hili maana katika biblia imeandikwa “walipo wawili watatu kwa jina langu nami nipo kati yao” Hawa jamaa free mason wanataka kuukamata ulimwengu pabaya hakuna asiyefahamu kwamba wao wanamwakilisha shetani asilimia mia japo wao wapo katika sura ya kibinadamu.wapendwa tunatakiwa kujikabidhi mikononi mwa Mungu maana dunia imekwisha hizi zote ni dalili za mwisho wa dunia.watu wengi wanasaka utajiri wa haraka bila kujua madhara yake kumbuka “Heri masikini wa roho kwa maana hao watairithi nchi”.na pia maandiko yanasema “Nirahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko TAJIRI kuingia katika ufalme wa Mungu.na mtume paulo anasema Uyaonapo haya ujue ule mwisho umekaribia.asanteni sana na Mungu awabaliki katika safari hii ya kuelekea kaanan.
  45. Dear all
    Nawasalimu katika jina la Bwana The 10th Freemanson’s Conference is due to take place at white Sands hotel from 23rd to 26th September 2010
    Omba
    Evelyne
  46. Ndg Evelyne,
    Mimi naona ingekuwa vizuri kama ungeweka wazi mtu AOMBE kwa kusudi gani. Yaani hujaonyesha kama anayeomba aombe ku-encourage au discourage conference hiyo.
    Natumaini umenielewa vizuri.
  47. Wapendwa mimi nafikiri kwa kuwa wote tunaelewa mikakati na mipango ya shetani ni kutaka kuharibu tu kweli tusimpe nafasi hiyo ili aweze kuharibu bali tuweze kuingia kwenye maombi ili hata conference ya Freemanson’s wanayotegemea kuwa nayo kuanzia 23 hadi 26 isiwe na nguvu na hata ikifanyika tusiumie kwani Mungu anaweza.
  48. Bwana Yesu asifiwe!!!!
    “”msiwe na hofu kuhusu free mason mbona watu mnaiogopa kuliko mnavo muogopa mungu be carefully my fellow christians”"
    Tatizo wengi wameokoka lakin hawajui mamlaka waliyo nayo.
  49. Thanks for these revelations may God continue to enlighten the minds of those who seek Him.Prov9:10(The fear of the Lord is the begining of wisdom,n the knowlege of the Holy one is understandng).
  50. Member wote wa SG mbarikiwe.ni vizuri kuendelea kufahamishana juu ya hawa masonc group na utendaji wao.tukiangalia ni nyakat za jioni kama bible ilivyosema na inavyoonyesha Yesu hatarudi Jumapil atarud siku za kazi,kwan wengi jumapili wanapumzika na maandiko yanasema wengine watakuwa wamelala moja atatwaliwa mwingine…wengne watakuwa shambani hapo inaonyesha dhahiri watu watakuwa wakihangaika katika shughuli za kila siku.naomba Mungu watu wafunguke jamani.
  51. Hawa jamaa wanampango mkubwa(MKAKATI),na sio swala la kucheza sababu wamewez kushika tegemeo la wanyonge walio wengi hasa katika dunia ya leo,wengi wanaotegemea pesa na wenye tamaa
    mpango wao mkubwa ni kuja kuitumikisha dunia katika habari ile ya KITABU CHA UFUNUO kama
  52. habari zenu naombaa niweze kushare ninachofahamnu kuhusu FREEMASON kama ifuatavyo.
    hapo mwanzo mungu alipoumba ulimwengu aliumba into two(2) forms,natural yani asili ya vitu vinavyoonekana kama wanyama,mimea,bahari nk and supernatural asili ya vitu visivyoonekana kama kuzimu,mbiguni,nk sasabasi mungu alipomuumba binadamu katika mfano wake akampa mamlaka ya kutawala ulimwengu yani natural, mmmenipata vizuri?hap ndipo shetani(rusifa(wakati huo akiwa malaika mku)) alipotaka kushindana na mungu katika kutawala supernatural ndipo mungu akaamua kutenganisha supernatural katika giza na nuru.nuru akatawala MUNGU mwenyewe na giza akamuachia shetani na akampa malaka yote kwenye hizo nguvu za giza.mungu anamuhitaji binadamu katika ufalme wa nuru kwa njia ya yesu kristo, na shetan anamhitaji binadamu katika ufalme wake kwa njia ya pesa.(ni rahisi ngamia kuingia kwny tundu la sindano kuliko tajiri(freemason) kuingia ufalme wa mungu).HIYO NDIO ASILI YAFREEMASON JAMANI. MUNGU WAO NI SHETANI
    MUGU TUSIDIE TUEPUKE BALAA HILI
  53. Nimesoma kuhusu FREEMANSONRY nimeelewa japo kidogo.Je ni kweli huwezi kuwa tajili mkubwa duniani bila kujiunga na FREEMANSONRY? je huwezi kuwa kiongozi wa nchi bila kuwa freemansonry? je ni kwa nini matajili wengi walio fanikiwa ni wanachama wa freemansonry? je ni kweli kuwa hata baadhi ya wachungaji mashuhuri ni wanachama wa freemansonry? je kuna mfungamano gani uliopo baina ya freemansonry,illuminant,jesuits na kanisa katoliki? NAOMBA MUSAADAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
  54. Jamani watanzania wote ambao wanaishi maisha ya kumtegemea Mungu, tukumbuke kuwa biblia ya Mungu inasema “Siku za mwisho kutakuwa na manabii wengi wa uongo neno ilo linaishia kwa kusema tujihadhari” naomba mnisamehe kwa kuwa sikumbuki ni msitari na sura gani,najua nivigumu sana kuwa tambua manabii gani ni wauongo na wakina nani ni wa ukwel? cha kuzingatia zaid shikiria imani yako kuwa Mungu ni mmoja aliyeziumba mbingu na nchi, uku ukiwa na imani na yeye, ningependa kuacha swali kwa wote watakao soma ujumbe huu, je kuna Mungu mwengine aliye weza kuziumba mbingu na nchi kisha akamuumba mwanadam kwa punzi ya ajab isiyo elezeka pia Mungu huyo huyo akamtuma mwanae toka Mbinguni kuja kumkomboa kwa njia ya msalaba huyu mwanadamu wa leo aliyepotea tangu enzi za adam na hawa? ukitaka kujua haya ninayosema soma zaid biblia kitabu cha mwanzo, utapo pata jib, chagua ni nan wa kumtumikia na atakae kusaidia siku zote za maisha yako. Biblia ya Mungu muumba wa mbingu na nchi inasema pia, ” Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kuyakosa maarifa” maarifa tumepewa na MUNGU ila hatupendi kuyafuata. so watu wa MUNGU TUJIHADHARI NA MPINGA KRISTO kinacho nifanya ni doubt kwa hawa wa freeman pale wanaposema haitakiwi kujua wanacho kifanya wanapo kuwa kwenye ibada zao alaf usiku alafu milango na madilisha yote inafungwa kwa kwel hainiingii akilin kuwa wanamuabudu Mungu kwa njia ya siri kiasi kikubwa ivo, Yesu mwenyewe maubili na mafundisho yake yalikuwa ya uwazi sana hata yohana ili kuwatoa watu gizani kuingia nuruni, sasa nikitaka kujua kuhusu freeman wanajifunza nin kwao ili nitoke gizani kuingia nuruni why nifichwe kutoka kwao kama si uongo kitu gani? tumwombe Mungu atuongezee imani kuwajua wapinga kristo wa leo. Mungu awabariki wote. Amen.
  55. Nionavyo mimi ni kwamba, ili kuiepuka roho hii ya mpinga Kristo ni kuishi katika maisha ya usafi na utakatifu katika Kristo Yesu. Roho za mpinga Kristo zipo za aina nyingi na zinatenda kazi katika viwangi na namna ya tofauti tofauti.
    Roho hizi za mpinga Kristo zipo za viwango vya juu kabisa na zipo za viwango vya chini. Roho za viwango vya juu za mpinga Kristo, ni zile zinazotofautiana moja kwa moja na Kristo mwenyewe. Roho za viwango vya chini ni zile zinazotenda kazi kwa mfano wa Kristo lakini siyo. Roho hizi za viwango vya chini za mpinga Kristo, zinazotenda kazi kwa mfano wa Kristo zimewakumba wanadamu wengi duniani. Watu wengi wamejidhani kuwa ni wa Kristo kumbe ni wapinga Kristo; yaani wanayo roho ya mpinga Kristo pasipo wao wenyewe kujijua.
    Tunaposema kuwa sisi ni wa-Kristo, tunatakiwa kuenenda vile vile kama Kristo alivyoenenda. Tukienenda tofauti kidogo na Kristo alivyoenenda,
    tayari nasi tunakuwa na roho ya mpinga Kristo pasipojijua.
    Nyakati hizi; kama wa-Kristo, tunapaswa kujihadhari sana na roho hii ya mpinga Kristo, ili tusije tukawa tunaangalia roho ya mpinga Kristo ya viwango vya juu kama hii ya Freemasonry huku tukiwa tumeivaa roho ya mpinga Kristo ya viwango vya chini kwa kutojijua, na hatimaye tukajikuta nasi pia tumempinga Kristo. Wapinga Kristo wote kwa viwango vyao, hawatairithi kamwe ufalme wa Mungu. Mungu atusaidie.
    Shalom.
  56. NAMSHUKURU MUNGU KWA NEEMA YA UZIMA AKILI NA UFAHAMU WA KUMWABUDU YEYE TU. FREEMANSONS NIIANZA KUWASIKIA KUANZIA MIAKA YA 1990 HADI SASA . WAKATI HUO NILIKUWA NAISHI NJE YA TANZANIA. HUKO MAREKANI NILIONA NI KITU CHA KAWAIDA KWAO NA WAKO HURU NA PIA SHUGHULI ZAO ZIKO WAZI TU HHAKUNA SIRI NA WANAULIKANA. ULAYA PIA WAMEKUWA NA MBWEMBE NYINGI ZA UTUMIAJI MALI KWA HALI YA JUU KATIKA MAMBO MENGI SANA YASIYO NA UTUKUFU WA MUNGU.
    KENYA KATIKA MIAKA YA 1992-1994 KUNA WATU KADHAA WALIOKUWA FREEMANSONS NA KUAMUA KUMRUDIA KRISTO WALISIMAMA HADHARANI KATIKA MAJUKWAA YA INJILI NA KUKIRI WAZI WAZI, PIA WALIANDIKA MAKALA MBALIMBALI MAGAZETINI WAKISIMULIA WALIVYOTOA MAKAFARA WATOTO WAO NA WAKE ZAO WAZIWAZI KITU ANBACHO SIKUONA MTU YEYOTE AKANUSHE HABARI HIZO
    PIA JENGO LAO MJINI NAIROBI LIKO KARIBU NA SERENA HOTEL KAMA UNATOKA MJINI NA KENYATA ROAD UKIPITA UHURU HIGHWAY NA BAADA TU YA KUACHA UHURU PARK OPPOSITE NA KANISA LA ANGLICAN CITY CENTRE CATHEDRAL. NA HILO JUMBA LAO LIMEKUWA LIKITUMIWA NA WATU MBALIMBALI KWA SHUGHULLI MBALIMBALI MJINI NAIROBI KAMA UBALOZI WA MAREKANI HATA BALOZI WA MAREKANI WAKATI HUO AKIWA NI MWANAMKE ALILITUMIA SANA JENGO LILE KWA MIKUTANO YAKE MBALIMBALI NA HATA KABLA YA KUBIGWA MABOMU UBALOZI WA WA MAREKANI WIKIEND HIYO ALIKUWA NA OFFICIAL FUNCTION NA VIONGOZI MBALIMBALI WA SERIKALI YA KENYA NA WAFANYA BIASHARA WENGI AKIWEPO MTOTO WA RAIS WA KENYA WAKATI ULE GIDEON MOI.
  57. ..nimejaribu kupitia huu ukurasa kwa kiasi fulani nimeona watu wa Kristo ndio hili suala la freemasonry linawagusa na vilevile kama kuna uhusiano mkubwa wa wahusika ni kutoka upande huo wa watu wa Kristo.
    . Je kwa upande wa Waislam hiki chama kina uhusiano wowote ama kuna washirika ambao wanahusika?
  58. free manson inatisha ila tunahitaji elimu zaidi kwani wengi hatujui ni nini na inatoka wapi ila watu wa maombi wanatakiwa waombe sijui ila inawezekana ni mojawapo ya dalili za nyakati za siku za mwisho
  59. Niwazi kwamba uwepo wa Freemansory ni LAZIMA kwanini nasema hivyo? 1;Wote wanaojiunga nao hao ndio watakua WAFUASI WA MPINGA KRISTO maana ujio wake ni mkuu kwa members wake, yaani mpinga kristo ni mfalme wa kuzimu mwenye nia yakuiteka dunia na kuifanya makao yake(kama ilivyo elezwa kwenye kitabu cha ufunuo ambapo tunaelezwa mabo ambayo hayana budi kutokea likiwemo hili la maandalizi ya waabudu na washirika wa MPINGA KRISTO. (UFUNUO 13:1-18)
    2:Naamini kwa wasomaji wazuri na kwa tafakari nzuri ya biblia takatifu hasa kwa mtu mfuatiliaji basi aweza tambua ni muda gani tuliopo katika zile nyakati za mwisho zalizozitaja YESI KRISTO mwenye yaani ule ole kwa mafarisayo na masadukayo pia tahadhari waliyopewa wanafunzi has katika moja ya dalili za kurudi kwa MWANA WA ADANU(YESU KRISTO)[MATHAYO 24:4-5
    3:Vifungu hivi rejea vyaweza saidia katika kujiweka tayari na kujiadhari na freemansory na manabii wa uongo ambao wapo hapa tanzania tena wakihubiri na kutoa mapepo kwa njia za ulaghai
    4:MATHAYO 23:9… MATHAYO 24:3-34 UFUNUO 13:1-18 14:1-nakuendelea
    5:Ningependa tufungue akili zetu kimaandiko ilitusiyumbishwe na yaulimwengu na tuungane na wenzetu wa dini zote katika kushikilia na kuhakikisha imani yetu isipotelee kwa freemasory kwakua wao ndio watakao kutwa na kutimiza yalioandikwa katika UFUNUO 13:1-18
    6:Majanga mbalimbali yatokeayo katika dunia hasa yale tuonayo kuwa ni makuu na yakutisha mfano mabadiliko ya hali ya hewa,njaa na vita hayo yote ni moja ya dalili za mwisho wa dunia kama ilivyo nenawa na BWANA YESU KRISTO katika mwinjili MATHAYO 24:3-34 na wala tusidanganyike kuwa ni viwanda vingi au ukataji miti ovyo au ni gesi chafu bali kiukweli ni HATUA YA KUTIMIA KWA MAANDIKO YA MWINJILI MATHAYO, Ijapokuwa twaweza sema kwa kiasi kidogo sana shuguli za binadamu zinachangia ila si juu ya 10%.
    7:MAANA YA FREEMANSORY/MANSON:- NI WATU AU KUNDI LA WATU AMBAO WAMESALITI NA KUZIKANA IMANI YAO KATIKA KRISTO YESU KWA MAANA KWAMBA WANAADA MAZINGIRA YA KUJA KWAKE MPINGA KRISTO KAMA MFALME WAO NA MUNGU WAO NA KUKUBALIANA NA NGUVU ZA GIZA WAKIAMINI KWAMBA HAKUNA MUNGU WALA NABII HATA YESU KRISTO YAANI MAISHA DUNIA MILELE UTAJIRI STAREHE ZA AINA ZOTE BILA KIKWAZO CHOCHOTE.
    7:FREEMANSORY IMEPATA KUBADILI BAADHI MAANDIKO YA BIBLIA NA QURAN ILI WAWEZE KUPATA WAFUASI WENGI HATA WAMETAKA KULETA MTAFARUKU KWA KUJARIBU KUCHOMA QURANI NA KURUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA KAMA AMBAVYO VYOMBO VYA HABARI VIMEKUA VIKITANGAZA.
  60. Jamani nimewafatilia hawa jamaa kitambo sana kabla hata hawajawa maarufu sana hapa kwetu ikiwemo pia alama na ishara zao,sasa kuweni makini na hizi alama mnazozitumia maaana mimi nazijua vizuri alama zao.
  61. jamani wapendwa katika bwana,tumsifu Yesu kristo!
    Nimefanya tafiti za kutosha kupitia mitandao na maoni ya watu ila bado kuwafahamu hawa fremasons si kazi rahisi hata kidogo kwani hawa jamaa ni wasiri sana na wana sheria ngumu kwa wanachama wake.ukweli hiki chama kipo n a ndicho kilichoushikilia uchumi wa dunia tunayoishi kawn matajiri wakubwa pamoja na viongozi wakubwa wa dunia hii ni wanachama
  62. Wapendwa “tushike sana tulichonacho asije mtu akakitwaa” maana nyakati hizi ni za mwisho, ukumjua MUNGU na kusoma Biblia na kulitenda neno wala mambo kama hayo hayata kusumbua sana kichwa maana hayana budi kutokea ili MAANDIKO yatimie!!Wapendwa MUNGU atusaidie sana ili tuweze kumuogopa MUNGU na sio freemason pia tuweze kushinda na zaidi ya kushinda ktk YESU KRISTO atutiaye nguvu.
  63. kimsingi imani hizo zipo ila jambo la msingi ni kwamba kila mtu aliyepewa dhamana ya kuongoza moyo wake na akili yake Au kundi la watu atekeleze kwa ufasaha.
    Lakini pia hakunalinaloshindikana kwani ROHO MTAKATIFU yupo kukufunulia na kukuongoza kwa waaminio katika KRISTO.
  64. asalamu alekum?wapedwa wote .tumrudie mungu kwa imani zetu ukiwa mwislamu basi kua mwislamu wa kweli na ukiwa mkristo basi ushike injili ya kweli sote tumtumainie mungu alie tuumba kwa mapenzi yake.na anae tupa pumzi ya kila siku KWANI SHETANI HATAKI KWENDA MOTONI PEKEYAKE ANATAFUTA WASHIRIKA WENGI ZAID.Tuwe makini sana na maisha ya kutaka UMARUFU,UTAJIRI N.K.na tumtangulize mungu na mafundisho yake kuanzia ngazi ya familia kuhusu mungu na vipindi vya ibada.Tunamsahaau mungu kwa kuangaika na kitu MAISHA wakati hatujui kama kesho tutaamka .TUMRUDIE MUNGU NA KUTAFUTA HABARI ZA MUNGU ,HUYU LUCIFER TUSIMPE NAFASI HATA KUMJUA HABARI ZAKE KWANI HAZINA NAFASI KWA MAISHA YETU .TUMTUMIKIE MUNGU KILA WAKATI NAKUMTEGEMEA YEYE .ASANTENI WAADHA SALAMU.
  65. Nilikua naomba ufafanuzi zaidi katika nembo ambayo hutumika na hawa freemasons naona kuna alama ya bikari,kuna kipima pembe,kifaa cha kusakafia,pamoja na pima maji so wanauhusiano gani kati ya hivi vituuu???
  66. kwa upande wangu sifahamu sana kuhusu freemasons, but still nahitaji kujua mengi juu ya jambo hili. Tatizo wachangiaji wengi wako upande mmoja tu wa kupinga. Najua tupo hapa kwa ajili ya kusaidiana lakini ni vizuri kama wale active members wa freemasons wanafuatilia majadiliano yetu wangetuambia machache kwa upande wao maana wachangiaji wengi wamejaa woga na inaonyesha kuwa kila kilicho upande wa shetani ni kibaya lakini kumbuka kila kitu huundwa au hutokea kwa makusudi ya MUNGU. Cha msingi hakikisha kuwa mchango wako uwe na utafiti wa pande zote mbili yaani GIZA na NURU.
    Hayo ni mawazo tu. Asanteni
    0754820628
  67. kulingana na maelezo ya wachangiaji walio wengi hapo juu nimeelewa kuwa freemasons ni sehemu ya mpinga kristu, je habari hizi zina uhakika upi kwani wengi wanasema kuwa freemasons hawatoi siri zao? Je una uhakika gani kuwa watu hawa husali uchi, hunywa damu nk? Kama fedha na dhahabu ni mali ya MUNGU, kwa nini Shetani anatumia mali hizo kupoteza kondoo wa bwana? Nini vyanzo vya utajiri na mapato yao.? Je ni wizi, dhuruma, uchawi, au njia halali?
  68. tujue hakuna kitu cha shetani kikawa kizuri ukiona hivyo kuna kitu anataka kuharibui ili kupata ufamle wake wa dunia.kwa hivyo freemason ni shetani na kundi leke ni hivyo tu,tuwe makini na imani zetu kama kweli tunataka zawadi kutoka kwa mungu.
  69. bwana apewe sifa! kiukweli hawa jamaa wa freemason nimekuwa nikiwafuatilia kujua ukweli wa mambo, nashukuru father wa strictlygospel kunigusa nilipokuwa nahitaji kujua zaidi kuhusu hawa watu! cha ajabu ni kuwa wafuasi wengi wa imani hii ya kimason ni watu matajiri na viongozi wakubwa duniani, wanapewa heshima kubwa, kwa mfano rais Obama huyu naye ni mfuasi kutokana na ishara anazozionesha, ingawa yeye mwenyewe amekanusha! wapo wengi wanaosaidia sana jamii ya kiafrica lakin ni wafuasi wa imani hiyo!
  70. its over! yaani freemason kwasasa ni mtandao mkubwa wenye watu wengi wanaheshimika hapa duniani, mbaya zaidi wanatumia uwezo wapesa zao kutoa misaada kwa jamii lakini ni wafuasi wakubwa wa kimason! hebu tizama ishara za rais obama, rais mstaafu bush utagundua pia wao ni wafuasi ingawa wanakanusha kwa nguvu zote, wapo pia wasanii wakubwa wa muziki wa kidunia huko marekani ambao wanapendwa sana na jamii lakin ni wafuaasi wakubwa wa kimason mfano Jay z yeye kwa sasa ameweka wazi kabisa juu ya imani yake kwa jamii ya kimason, kwa vitendo, pia kwa mashairi yaliyopo kwenye nyimbo zake, huku akisema wazi kuwa “maisha yanaanza pale kanisa linapoanguka”, pia kasema wazi kuwa “yesu kamwe hawezi kukusaidia”( mashairi haya yanapatikana ktk wimbo wake wa empire state of mind)
  71. Is my prayers that may Almighty God guide us in understanding this issue concerning freemasonry so that we can not take it otherwise. But also i would like to take this opportunity to ask the servants of God like Mwl. Mwakasege and Bishop Kakobe to help us on this. Thanks
  72. Freemason group is not good faith to obey; every body in the universe should obey and praise God of the highest who is superior and the one who created us through his image and make us to be the manager of the universe and the ruller of all creature over the earth surface. Be weare for this bad beliefs.
  73. NI MAMBO MAZURI KUYAFAHAMU ,ILI UJUE KINACHOENDELEA
    ULIMWENGUNI,LAKINI HEBU ANGALIA KISIKUPOTEZEE MUDA
    HEBU TUJARIBU KUMFUNUA MWOKOZI WETU YESU KRISTO KWA MUDA MREFU KAMA ULE TUNAOUTUMIA KUWAANGALIA HAWA JAMAA NA MAMBO YAO,NA MWISHO UTAGUNDUA HAYO YOTE NI UBATILI KWANI HAYANA BUDI KWISHA KWANI MWOKOZI WA ULIMWENGU HUUU YESU KRISTO ALIYE JIWE KUU LA PEMBENI HAKIKA ANAKUJA,KATIKA ASUBUHI NZURI YA WENYE MATUMAINI WALIOMNGOJA NA ATASIMAMISHA UTAWALA WAKE MILELE NA MILEA AMINA.MUNGU AWABARIKI.
  74. enyi waoga mnaoandika mambo msiokua na uhakika nayo. Mtandao huu hautaki kujua wewe ni nani. Tumia muda wako kuandika mambo yenye kushawishi au kuokoa lakini sio kuhitaji sifa katika majadiliano yenye mantiki kama haya. Najua hapa tunajadiliana na wafuasi wa pande zote mbili. Itafikia kipindi tutawekeana vikwazo vya kuingia kwenye mtandao kama huna qualification za upande mmoja wapo kiroho.. Majadiliano haya hayahitaji uwezo wa mtu kuelewa upande mmoja au mwingine bali uwezo wa mtu kiroho aidha upande hasi au chanya. Tusifanye mambo kwa kuogopa imani zetu bali kwa kuzingatia uhakika wa tunayo yafanya. Asanteni.
  75. Ni vizuri watu wa mungu kujua hila zinazotumika na shetani kupigana na watu wa mungu. kwani huwezi kupigana na adui yako kama hujui mbinu zake.
  76. Je wajua kuwa freemasons wameweka kikao hotel moja hapo kariakoo DSM ili kufanya kafara zao za kumwaga damu tanzania mwaka huu. matayarisho ya mkutano mkuu wa mwaka yalifanyika Kariakoo na mmoja kati yao alikamatwa na nguvu za Mungu huko Ubungo akijaribu kuzamia kuvunja nguvu za maombi ya kuombea taifa la tanzania mwezi wa pili 2011. Tukemee na tuombe Mungu sana mauji yasitokee hapa Tanzania.
    hadi leo ajali kadhaa zimelipotiwa za umwagaji damu kama ajali ya gari Dodoma, mabomu ya Gongolamboto, ajali y gari mkuranga tumwombe mungu sana atuepushie balaa hilo.
    Amen.
  77. God bless you All.
    Asante kwa taarifa zenu kuhusu hawa waabudu shetani.
    Neno linasema
    “Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa”
    tuendelee kupata maarifa
  78. Sasa nimetambua free massons ni mashetani halisi, lakini naona ni vyema watu wakatambua hilo na si kukimbilia utajiri kwa upumbavu bila kujua kuna mtego gani
    kama viongozi wanaotuongoza ni member wa freemasson hawafai kwa jina la YESU
  79. nimeelewa sana lakini pia ningependa kufahamu kazi zao kama kuna mtu anzijua. kwani wanaonekakana ni watu wenye nguvu sana duniani, kama wanamiliki utajiri mkubwa sana duniani na pia ili kanisa au msikiti uwezez kuendeshwa zinahitajika pesa ni hatari kwamba wanaweza kuingia katika sehemu hizo wakijifanya wanataka kutoamsaada tuwe macho na hilo
  80. ee YESU utusaidie watu wako tupate maarifa zaidi ili tusiweze kuangamia,pia yaliyo ktk giza yafunuliwe nuruni kama neno lako lisemavyo!!!!!!!!
  81. Tuombe mwongozo wa Roho Mtakatifu na Kulishika NENO katika nyakati hizi, watoto wetu pia tuwafunike kwa damu ya Yesu. Ni kweli hawa jamaa wametuzunguka, hata fedha tunazotumia zina mihuri yao, ANGALIA NOTI YA DOLA MOJA utaona PYRAMID YENYE JICHO MOJA JUU, hiyo ni alama ya Illuminati, a secret society, na ukiunganisha yale maneno ya kilatin utapata tafsiri ya ajabu sana, ni mpango mzima ulioandaliwa miaka mingi iliyopita, na ukweli ni kwamba we cant stop them kwani ulimwengu nao umepotoka watu wanapenda shortcuts za mafanikio, na wengi ni vipofu na hawataki kusikia, Wapendwa ni vizuri mkafahamu kwamba shetani yupo kwenye mkakati wa One World under One Government, na ukweli ni kwamba ameshafanikiwa kiasi kikubwa, ni ndoano iliyotegwa na wengi wameshaimeza na soon watajikuta kwenye mtumbwi wa mtegaji bila kujijua. Nawaasa Tusimame kwenye NENO lisilochakachuliwa na Kuomba uwezo wa Roho Mtakatifu, kwani hata wateule tusipoangalia upepo utatupitia, Finaly Be Strong in the Lord and His Mighty Power..
  82. Kwa Kuongezea, Celebrities (watu maarufu wanaoangaliwa kama kioo cha jamii) wengi sana wa marekani na nchi nyingine za ulaya wameuza roho zao kwenye hizi secret societies(Devil worshippers) kwa ajili ya kutunza umaarufu (FAME) na “mwendelezo wa utajiri”, Angalizo: katika Celebrities (ie, wanamuziki, wacheza filamu, politicians etc) 10 ambao vijana wetu wanawapenda(wangependa kuwa kama wao) 8-9 ni mafreemasson waliowazi,.. sasa with that kind of influence from those beasts tunakwenda pabaya.. im telling u.. WAPENDWA TUSIMAME KATIKA NENO, TUSIDANGANYIKEE
  83. PIA NINGEPENDA KUWAFUMBUA MACHO WAPENDWA, HAWA JAMAA WANATUMIA METHOD INAITWA GRADUALISM, YAANI KUNA VITU VINAINGIZWA VICHWANI MWETU POLE POLE NA TUNAONA NI KAWAIDA, MISAADA, NA DONATIONS ZINGINE, GUYS BE CAREFULLLL,
  84. nilikua napenda kujua kuwa history ya freemans watu wengi wanaposema kua ukiingia ndani ya hicho chama ni lazima utoe kafala ndio uwe mwananchama je ni ukweli?
  85. Tuwe makini sana na hizi siku kwani YESU yu karibu kuja kuhukumu wazima na wafu. TUJIFUNZE NA TUPANIE MAMBO YA JUU DAIMA, hawa wafuasi wa IBILISI[LUCIFER] HAWATAWEZA KUSHINDANA NGUVU YA YESU ILIYOKO NDANI MWETU. kinachotakiwa ni uaminifu tu nas kuwaelimisha wengine ambao bado hawajamjua YESU BADO JUU YA MBINU WANAZOTUMIA KUPATA WATU NA KUONDOA IMANI ZA WATU JUU TA YESU KRISTO MWOKOZI WETU.
  86. Thanks very much for educative website. I didnt know much about Freemasons, but after reading these articles now have got a certain knowledge which can help me as aminister of gospel to speak according to the bible and not according to the beliefs of these groups. God Bless You Very Much.
  87. freemanson sio watu wazuri hata kidogo,nawashauri watanzania wote kuwa makini kw hili jambo.kutokea kwa hivi vitu vyote ni dalili za siku za mwisho,karibia viongozi na watu maarufu duniani ni wahusika wakubwa wa freemansons.tuache kukimbilia utajili usio na faida twenende katika mstari mnyofu na wa haki.,kwani wengi wamekufa siku sio zao kwa sababu ya hyao watu na hiyo dini mbaya ya mashetani.eee Mungu saidia Tanzania yetu
  88. TUMSIFU YESU KRISTO
    NAWASHUKURU SANA WOTE MLIONIFUMBUA MACHO KUHUSU KIKUNDI HIK.MWENYEZI MUNGU AWABARIKI SANA.NAWASIHI WAKRISTU WOTE TANZANIA NA DUNIA KOTE TUWE NA MSIMAMO WA KWELI KUHUSU DINI NA TUUSHIKILIE KIKAMILIFU BILA KUUACHIA.
  89. Thank you every body. sidhani kama ni busara kuongelea usilolijua! let me tell you one thing my people….”hawa freemasons hawaepukiki hata kwa dawa labda maisha yako hapa dunian yatakapokwisha. WHY? wameshika fedha na ndo watengenezaj,kagua noti zako utaona alama zao,wana makampuni ya ndege,mitandao ya sim magari,madawa ya hospital,soccer,nguo,mashine za ofisin wao ndo watengenezaji n.k. je unaweza kuwaepuka?? mi nadhani ukijitambua basi inatosha,yaani kujua upo wap na unafanya nini. mf; kam we ni r/catholic,lutheran inakuhusu nini? ama kama we ni anglikan au muislam RC inakuhusu nini ikiwa utasisimama ktk imani yako? maana yang ni kwamba; sisi wana wa Mungu(wakristo na waislam) tukibaki kumcha Mungu mason wanatuhusu nini?????japo hatuwez kuwaepuka
  90. wachangiaji wote mbarikiwe na bwana,
    kwa kweli mimi hawa Freemason wananifanya niwaogope lakini namuomba mungu anisaidie niepukane nao. Ningependa wapendwa mnieleweshe kuhusu hawa mason wanaposema ukijiunga huwezi kutoka kwanini usitoko wakati umejiunga kwa hiari yako na unaweza kutoka pia kwa hiari yako? Namaana ukitoka itakuaje au kuna kitu wanakuwekea kukupumbaza akili? Na kwanini wanasali usiku tena wakiwa uchi? Sipati picha wanapokuwa humo chumbani kwao hata hawaogopi wakubwa na wadogo wote wapo uchi jamani dunia imeisha!! Mungu tusaidie hiki chama kituepuke waja wako. Naomba anae elewa kuhusu hili anisaidie maana mi sielewi kabisa.
  91. My brothers and sisters in Christ.The world is changing abruptly… let us have a forelook on what we are hearing,feeling and doing…lest we shall all perish
  92. kama freemasons is secret organization then how do people know all of this? if they are devil worshipperz na they have our leaders is really god letting this to happen na why would he do that? je mungu ana mpango wachache waende mbinguni au? historia ya hawa freemasons tunaielewa vizuri au? kama hatujui historia yao vizuri then we cant say anything about them! if they are secret then we dont know anything! nashangaa watu wanatoa comment kwa kusema ‘nimesikia’ au ‘nimeambiwa’ unajuaje aliyekwambia yuko sahihi au la, sisemi kuwa freemason ni waboya au wazuri ila nachosema watu wanapaswa kufanya tafiti za kina kabla ya kujudge chochote! nimesoma vitabu vinapinga na vinavyo support masons kila mmoja anajitahidi kutoa evidence zake lakini cha kushangaza hakuna upande usio na mapungufu! ni bora watu waamue kuamini mungu mmoja!
  93. Shaloom,
    Let`s focus to where we`re heading,this word is so complicated and confusing,am telling you utapoteza muda wako (and probaly ur salvation) kama utatumia akili yako kuichinguza dunia hii,acha Mungu akuongoze na akufunulia unalostahili,concentrate to Jesus only,ila kama Mungu amekupa neema ya uvumilivu wa kuweza kuvumilia matisho ya iblisi pasipo kogopa mshukuru,lkn kama una imani changa acha,utapotea jumla.
    jamani hawa Freemanson they are so so strategic,wapo kila idara,inasemekana hata perfume na vipodozi wanaweka ma roho yao humo,unashangaa wife wako uliyempenda sana nae alikupenda sana kakubadirikia ghafla (sisemi msitumie perfume na vipodozi.la hasha,ila kabla hujatumia vitakase kwa damu ya Yesu,acha wajihangaishe hawatupati ng`ooooooo!)…..pia inasemekana vipodozi vingi vina heavy metalas ambazo zinasababisha various cancers,hizi heavy metals ni kama Lead na Mercury,inasemekana madhara ya kutumia hivi vipodozi ni pamoja na kusababisha utasa (inasemakana pia mpango mmojawapo wa Freemanson ni kupunguza idadi ya watu duniani sasa usishangae kwa nini wanaleta vitu vya kusababisha utasa),wana mipango ya kupunguza idadi ya watu Duniani (japoa sijaua why?) mipango kama uzazi wa mpango,vita, ajali,magonjwa na utekelezaji tu wa hayo,(kuhusu uzazi sijui mnasemaje maana pia huu mtindo wa kuza tuu huji nani atakutunzia wanao nafikiri pia si sawa)
    ila inanisikitisha kwamba we seem to be so terified kwa kuyasikia haya,this is just a challenge kwamba tujiangalie vizuri,haya unayoyajua leo kuhusu Freemanson hujayajua kwa bahati mbaya,mshukuru Mungu anakukumbusha ,lakini sasa tukianzaa kuogopa utafikiri ndo yanatokea kwa mara ya kwanza wakati yalikuwepo tutakuwa tumemwaibisha MUNGU wetu.hatuna hauja ya kuogopa ila lazima tuwe na nidhamu ya kijeshi kwa Mungu wetu,ukiwa na nidhamu ya kijeshi huwezi ukageuka kulia kama kamanda wako hajakuambia “right turn“.
    Hofu yetu ndo mtaji mkubwa wa Ibilisi,believe me huo ndo ukweli,kuna Rais mmoja wa Marekani aliwahi kusema “we should fear nothing but fear itself“ nami nasema tusimwogope ibilisi ila kwanza tuogope hofu yetu wenyewe kwa sababua bila hofu shetani hawezi chchote.
    Unaweza ukaniuliza why am saying those words and probably going out of the topic,iko hv kuilezea freemanson needs broad spectrum,from the begining sfetani alishatangaziwa kushindwa kabla hata kabla hajapigana,so he uses us just b`se we have got fear,so to me fear is the seed of all sins,yeye shetani anajua tuna hofu nyingi kama vile hofu ya umasikini ,hofu ya magonjwa,hofu ya kudharauliwa,pia anajua tunapenda shortcuts,ni wavivu wa kufikiri na hata tukifikiri hatuwezi kuweka katika mipango tunayoyafikiri,kwa hiyo hata Freemanson wanawapata watu kwa sababu ya hofu yao,na tamaa yao,vitu vyooote orijino anavyo Yesu,maigizo yooooote anayo shetani,utajiri halisi upo kwa Yesu,utajiri feki upo kwa shetani,na hata hapa tunapojadili freemanson kihofuhofu anajua katuwin tayari ,thubutu yake.
    Jamani Freemansion ni mpango kabanbe wa ibilisi wa kutumia fahamu zetu ili kujenga ufalme wake,tujilaumu wenyewe kwa kuiacha kweli na kukubali kutumika,YESU alishasema imekwisha!
    Sasa kuna watu wanajiuliza kama ni halali kwa mtu wa Mungu kuwa tajiri……..nami nakuuuliza wewe unayejiuliza swali hili,kwa nini shetani anang`ang`ana na uchumi?..kuna siri nzito hapo,kama isingekua ni kitu kinachoweza kuangusha utawala wake asingehangaika nacho,ila anajua uchumi ukimilikiwa nwa wateule amekwisha,so i stongly encourage Christian to be rich and welloff in God principles,tafuteni hela acheni woga,unaogopa kumiliki utajiri kwa sababu unajua huna imani thabiti kiasi kwamba hela inaweza kukubadilisha!,ni vizuri kama ni hivyo ila kwa wewe ambaye unaamini hakuna kitu kunaweza kukutenga na upendo wa Kristo nakushauri tafuta hela na umiliki utajiri kwa utukufu wa BWANA!,kwenye shekeli kuna siri nzito hapo,jilulize kwa nini shetani anapang`anga`nia hapo sana.BE RICH in JESUS CHRIST!
    Nashauri tusiwe tunataja majina ya watu jamani,unaweza ukamtaja mtu akakuambia uthibitishe,utaanzia wapi wakati mambo haya ni ya sirini,atakupa shart kwamba ukitaka akusamehe uingie
    huko…utafanayaje!
    ANGALIZO:Mungu wa Isaka na Yakobo na Ibrahim,anaandikwa kwa herufi M,unapoandika herufi m mwanzoni unakua automatically unakua hujamtaja Mungu muumba mbingu na nchi ambaye pia ndiye JEHOVA JIRE,so watch out mwandike MUNGU kwa nidhamu zoote kama amabavyo huwezi andika jina la baba`ko kwa kuanza na herufi ndogo,yanaoaneka ni mambo madogo lkn ni makubwa
    Asanteni.nasubiri coments zenu na additional points zenu pia
  94. naomba mzidi kunitumia maelezo ya jesuit na freemasons kwa jinsi walivyo ua watu wengi wakiwemo akina kened na wengine wengi?
  95. da!jaman hawa jamaaa jins unavyozid kusoma history yao,me naona km ndo unavyozd kuwapenda,yaan kuna muda roho inakwambia mbona ni watu wazur, mbona wanatenda mambo mema,pia mbona co dini kumbe ni km taasss tu..unajua huyu ni shetan nadhan hata haya maandiko yake kayapulizia roho yake ili m2 ukiwa unasoma uvutike kwake.but me naomba mungu atuepushe na huyu muovu.!
  96. ok i dont understand this but i have never seen these guys so i dont think i should believe but one advice to you all,”stick to the bible and understand the scriptures”
  97. Hawa freemasons/Illuminati wapo na wanatawala ulimwengu,kwani viongozi wote wakuu wa nchi,(akiwemo wetu pia)ni members.Vile vile wanamuziki mashuhuri wa marekani na uingereza,baadhi ya wachezaji mpira,filamu na asilimia kubwa kama si yote ya matajiri wakubwa duniani!.Lengo lao kubwa (ILLUMINATI CONSPIRACY) ni kufanikisha mpango mzima wa New World Order(NWO),yaani amri kuu ya dunia.Freemasons/Illuminati wanahusika katika kutekeleza matukio makubwa kwa ajili ya kutoa watu kafara.Mchangiaji mmoja hapo juu ameulizia kuhusu uhusiano wa freemason na ukatoliki.Ni kwamba kiongozi mkuu wa kanisa hilo duniani ni mmoja wa members wa freemasonry mwenye degree zote 33!.Tafakari…..
  98. Njia mojawapo ya kuwatambua freemasons,japokuwa wanaficha sana,ni ishara wanazotumia.Mojawapo ni ile ya kupunga mkono ambayo hutumiwa sana na viongozi.Vilevile pete wanazovaa,kwani mkono wa kushoto huvaa pete za ndoa ambazo ni za kawaida,wakati mkono wa kulia huvaa zile za masonry ambazo zina kidani kinachong’aa chenye rangi ya blue,kijani,zambarau au dhahabu.Chunguza sana marais wa nchi za kiafrika ambao ndo huvaa sana hizi,kwani wao wana degree za chini za masonry!!.Kwa taarifa zaidi fungua Google then tafuta “Freemason Rings”,au “Freemason symbols”..Yaelezwa pia watu wengi hujiunga na mason kwa lengo la kupata utajiri,umaarufu na kufanikiwa kimaisha.Na kila member amekula kiapo cha kumwabudu shetani/Lucifer…
  99. MY NAME IS DEOGRATIUS AND I AM NOT A FREEMASOM;FREEMASON IS NOT A SECRET SOCIETY BUT IT IS A SOCIETY WITH SECRETS! THE QUESTION IS IS THERE SOMETHING WRONG WITH SECRETS? OR ITS OKAY TO HAVE SECRETS! ARE THOSE SECRETS BAD OR GOOD? EITHER WAY WHY?DO WE HAVE A CLUE TO ARGUE FOR OR AGAINST THEM? AGAIN MY NAME IS DEOGRATIUS AND I AM NOT A FREEMASON
  100. Satan rule the world through freemason,they have captured us in many things currently they put a mark on Tz notes(Two joined triangles).We must ask THE HAVEN GOD to lead us so as to have his everlasting life.
  101. Ninavojua mimi freemasons walishajipanga kwa karne nyingi na sasa umefika wakati wa kuvuna walio wao. Ktk misingi ya kawaida tu wameshamaliza steps zote muimu za awali (basic new world order strategies) na sasa wako ktk hatua za kujitangaza ili watu wajiunge wenyewe kwa hiyari yao, na hapo ndo wanapotaka wafikie. Tukumbuke kuwa kuna wakati ilikua ni siri na mwiko kwa non masonic brothers hata tu kusikia jina lenyewe la masonoc society, kujua wako wapi na wanafanya nini. lakini leo hii idadi kubwa ya watu wamesikia, wamejiunga kwa hiyari (baada ya kurubuniwa) na hata kupata undani wa nini wanafanya, kina nani ni members na wanapatikana wapi.
    Hiki ni kipindi cha hatari na kuwa makini zaidi kwani kama kweli unataka kupambana nao wakati ni sasa kwani umeshamjua adui yako. Na adui yao mkubwa ni mtu ambae anakiri MUNGU wa Abraham ndie Mungu wa Kweli na shetani hana nguvu dhidi yake. Freemasons wana hofu na watu hao kwani wanajua ni ukweli na kama dunia ikiendelea kuwa hivyo basi hawatafanikiwa ktk malengo yao. na ndo mana kutokana na hilo wanatumia mbinu ya kujifananisha/kujiigiza (imitation) kama wanaabudu na kusifu ya MUNGU lakini kwa uposhaji mkubwa na wenye akili nyingi ndani yake. Kutokana na hilo wamekua wakipandikiza watu wao ktk makanisa na misikiti ya kweli kwa lengo la kuvuruga uimara ktk imani za kweli na umoja ktk imani hizo. Ndio maana leo hii utakiskia kuna vitu vya ajabu ktk imani zetu mara wanawake nao wanataka kuongoza ibada misikini, mara ndoa za jinsia moja kanisani na machukizo mengine mengi ambayo hayaelezeki. Hii inasimamiwa na propaganda zao kama Usawa wa kijinsia, Demokrasia, Haki za binadamu na vingine vingi ambavyo vitakuja. Usishangae ukaona kuwa wafadhili wanatoa fedha nyigi kufacilitate mashirika ya haki za binadamu na usawa wa kijinsia na fedha kidogo kwa wanaokufa njaa na magonjwa dunia ya tatu.
    Kwasasa freemasons wanarubuni na hata kutisha watu ili wajiunge hasa wale wenye karisma (influence) mbalimbali mfano michezo, sanaa, akili na ubunifu wakiamini kua hao watu ni potential kwa kuwa watawateka watu wengi wasifanye sala na toba kwa MUNGU bali kuadmire akili zao, vipaji vyao na ubunifu wao. Ikifikia hatua iyo lucifer anajizolea wake kiulainiii. Ktk hilo ndugu zanguni freemansons wanawekeza fedha nyingi na hivyo kuzalisha watawala wa nchi mbalimbali, viongozi wa dini mbalimbali, wanamichezo mashuhuri, wanasayansi bingwa, wafanyabiashara wakubwa kote duniani. Hao wote wanakazi za kusimamia, kueneza, kutetea, kulinda imani na mipango yao hata kufa ikiwezekana, na niwatiifu kwelikweli.
    PAMOJA NA HILA ZOTE HIZO LAKINI MWISHO WA SIKU THEY KNOW KWAMBA MUNGU WA ABRAHAM NI MUNGU WA KWELI NA WANACHUKIA NA KUUMIA SANA WANAPOONA MTU ANAMWABUDU YEYE NA KUMKATAA SHETANI.
    nawasilisha
  102. Jaman inahitaji kuwa na uelewa wa kutosha ili kuepuka kuwa
    mfuasi wa hii dini ya shetani vinginevyo unaweza kujikuta unatumia alama zao bila kujua kama baadhi ya wasanii wetu hapa nchini.
    Mungu tuokoe.
  103. mnapoonea msio yajua mnahatarisha ustawi wa raia wengine,Waswahili husema ” USISEME KILA UJUALO BALI JUA KILA USEMALO”
  104. Nakusudia kuwaasa kuchagua ya kusema katika ulimwengu mchafu kama huu hasa kuhusu freemanson,kuna waliofananisha u-freemanson na Nabii Eliya wa Upareni.Jambo kama hili sio sahihi kabisa.
  105. free-mason wapo kwa ajili ya kuihakikisha dunia inakuwa chungu kimoja mfano wametumia utandawazi”globalization’kuhAKIKISHA HILO LINAFANYIKA’; BINAFSI SINA LODGE;
    AWALI TULIAMINI POP’ NDIO MNYAMA MWENYEWE ILA FAILURE TAYARI NYINGI, ILA NAAMINI MNYAMA YUPO NA MUDA MFUPI ATATAMBULISHWA KWENU RASMI;
    ALAMA KAMA ;
    TRICIRCLE ZA TOYOTA; KATIKA MERCIDEZE BENZI;NI ALAMA ZA PAGANISM ILA WATU NDIO WA KWANZA KUCHAGUA GARI HIZO HASA SISI MASKINI:
    ; ILA BINAFSI SOMENI” WATHESELONIKE 1:5:12-18 NA KUENDELEA ; ILI MSHUKURU KWA KILA JAMBO; ALAMA INACHUKUA NAFASI ZAIDI
    HII INAONYESHA KILA KITU NI FORMALITIES NA SIO HALISIA; HATA NDOA HAKUNA SIKU HIZI ILA TUNABAMBIKIZANA USHIKAJI ILI TUWE NA UHALALI MBELE ZA WATU; ILA ILE RAHA YENYEWE YA KUMAANISHA HARUSI HAKUNA; IKIWA INA MAANA HARUSI NI IN VIRGINITIZE; LAKINI LEO UTANIPENDA NIKIWA NA HELA; NA HII IMELETA UHALALI WA NABII WA KIKE AU MCHUNGAJI WA KIKE; KIHALISIA HAKUNA MCHUNGAJI WA KIKE ILA LUTHERAN TAYARI WAPO HUO NI UOZO:
    HAWA NI FREEMASON WANATUNYONYA FEDHA ZETU: SIO AKINA MICHAEL JACKSON AMBAYE NI FREEMASON ALIYERUDISHA YOTE MAZURI KWA WATU WA HALI YA CHINI:
  106. FUNGUKENI WATU WA MUNGU,SOCCER SIO TATIZO KWA MAMBO YA IMANI,KAMA HAUNA MUNGU NDIO TATIZO “JAMANI HAWA WATU NI WABAYA SANA TENA SANA KWANI HAWA WATU WANA NAMBA ZAO AMBAZO NINAZOZIJUA KUPITIA HABARI ZAO NI 3,9,11,22,33, KWANI MWEZI WA 9 NDIO MWEZI WAO WA KUTOA KAFARA NA MATUKIO MAKUMBWA HUFANYIKA MWEZI NA TAREHE KAMA HIZO NAMBA NILIZO ZITAJA HAPO. MFANO MAJENGO PACHA YALIYOLIPUKA MAREKANI YALIHUSISHA FREEMASONS YALITOKEA TAR 11/9 NA VILEVILE WALISHATUTEKA KWENYE MPIRA WA MIGUU KWANI WAO NDIYO WALIOANZISHA SOKA LA KULIPWA ENGLAND NA ENGLAND HADILEO INAONGOZWA NA MEMBA MKUBWA WA FREEMASONS QUEEN ELIZABETH AMBAO WALIANZISHA FA MWAKA 1806 NA WAKATUTEKA NA NAMBA ZAO KWA MFANO MPIRA UNACHEZWA DK 45(4+5=9) na kipindi cha pili ni 45 jumla 90 (9+0=)9 na dk30 za nyongeza (3+0)3 ambazo ni namba zao kuu
  107. Ninaamini kuwa dunia nzima watu wote ni member wa freemanson,kwasababu wote tunanatumia vitu vyao,kula,kunywa ,kutembea na hata kulala.
  108. Ndg Hamis Mtonda,
    Mi nimeshtuka baada ya kusoma maoni yako kuwa “dunia nzima watu wote ni member wa freemason”. Umeandika sababu yake ni kuwa tunatumia VITU VYAO katika :
    i.Kula
    ii.Kunywa
    iii.Kutembea na
    iv. Kulala.
    Maoni yako yamenifanya nione kuwa una ufahamu wa kiwango fulani kuhusu hao watu hasi unatambua VITU VYAO na ya kuwa watu wooooote ni wanachama wa freemason, pamoja na mimi ninayeandika haya.
    Kwa sababu hiyo nimetamani sana nijifunze zaidi kutoka kwako jinsi ambayo vitu tunavyotumia kula, kunywa, kutembea na hata kulala ni VITU VYA FREEMASONS. Nitapenda sana kufahamu kwa mifano hai kuhusu vitu hivyo vya freemasons ambavyo watu wote huvitumia kwenye maisha ya kila siku.
    Nasubiri kusoma toka kwako!
  109. Mmeandika meeeengi, lakini mimi sijaona kitu hapa. Freemasons si kitu wala hakipo, ni stori tu za kiswahili. Hebu tuache kupotezeana muda, tufanye kazi, tuendelee na mambo yetu, na imani zetu, na maisha yetu. Nimepoteza muda wangu kukaa pale getini nje ya lile jengo nyumba ya Ubalozi wa Zambia, nimebrashiwa viatu mpaka vimechubuka, nimekunywa soda zilikuwa zinatolewa mle katika eneo la Freemasons na nikala chakula cha mama ntilie alikuwa akiuzia humo humo. heshima iko wapi. Watu wanapaki magari yao humo na kulipa buku buku tu kwa kutwa mzima. Sitaki tena kusikia habari hizi!! naenda zangu Tarime nikarambe asari kwa Mama Boke.
  110. Kuna kitu kinanichanganya. Maelezo yanaonesha kuwa freemasonry membership is for men aged 21 and above. What about women? Naomba ufafanuzi ili women nao wawe na tahadhari ya kutojiunga na hiyo kitu, isitafsiriwe kuwa wanauwe pekee ndo wanao kumbwa na hili janga la mafree. God bless u all. Amen
  111. Hawa freemasons ni hatari sana kwa ufalme wa Mungu, hatupaswi kukakaa kimya watu tuliokoka bali tumwombe Mungu kwa bidii kuhusiana na hili kundi hatari, wanatumia nguvu ya fedha na wameshateka watu wengi na hata wateule wa Bwana, tuungane na tushirikiane katika maombi ya kila siku. cha muhimu fahamu kuwa haya yote unayoyaona yanafanywa kupitia hili kundi ni maandalizi ya mpinga kristo na mteule usipokaa imara yamkini hata wewe utaweza kunaswa, Yote yanawezekana kwake yeye aaminiye.
  112. The word of God must be fulfilled.The Bible through the prophets have prophesied many things to come good and bad also.But for the bad things God has given us precautions and warning and also the Bible says we should know them by their fruits.Also the Bible tells us that we should not believe every spirit but we have to test it if it is from God or not.I have to thank God for those have given their life to Christ as Lord and Savior by the grace of God and faith in Christ they have protection 1 Peter1;5 But for those who are not born again christian it is sad since they can easily taken by these Freemasons and other forms of satanism.Its my pleasure to invite you my brother and sister to repent of your sins and believe Jesus as your person Lord and Savior.God bless You.
  113. ok, me nimewasoma ma people. lakini hadi sasa i don’t know the main negative effects za kuwa member wa freemasons. mwaweza kunisaidia zaidi ili nifunguke zaidi wapendwa? Tusimsahau muumba wetu jamani.
  114. jaman kweli haya mambo yapo kwani ukisoma ufunuo kwenye bibilia utapata mambo meng na kama huelewi mtafute msabato akuchambulie vizuri ambaye anaweza kuchambua. amen
  115. Dixon Bohela says:
    Sunday, July 24, 2011 at 3:24 pm
    FUNGUKENI WATU WA MUNGU,SOCCER SIO TATIZO KWA MAMBO YA IMANI,KAMA HAUNA MUNGU NDIO TATIZO “JAMANI HAWA WATU NI WABAYA SANA TENA SANA KWANI HAWA WATU WANA NAMBA ZAO AMBAZO NINAZOZIJUA KUPITIA HABARI ZAO NI 3,9,11,22,33, KWANI MWEZI WA 9 NDIO MWEZI WAO WA KUTOA KAFARA NA MATUKIO MAKUMBWA HUFANYIKA MWEZI NA TAREHE KAMA HIZO NAMBA NILIZO ZITAJA HAPO. MFANO MAJENGO PACHA YALIYOLIPUKA MAREKANI YALIHUSISHA FREEMASONS YALITOKEA TAR 11/9 NA VILEVILE WALISHATUTEKA KWENYE MPIRA WA MIGUU KWANI WAO NDIYO WALIOANZISHA SOKA LA KULIPWA ENGLAND NA ENGLAND HADILEO INAONGOZWA NA MEMBA MKUBWA WA FREEMASONS QUEEN ELIZABETH AMBAO WALIANZISHA FA MWAKA 1806 NA WAKATUTEKA NA NAMBA ZAO KWA MFANO MPIRA UNACHEZWA DK 45(4+5=9) na kipindi cha pili ni 45 jumla 90 (9+0=)9 na dk30 za nyongeza (3+0)3 ambazo ni namba zao kuu
    Mdau uliyechangia hivi ni kweli ama inawezekana hata ajali iliyotokea usiku wa tarehe 9/9/2011 ya meli kule Unguja na hata MV Bukoba tarehe 21/5/1996 ikawa ni moja ya kafara zao? na pia nasikia namba 7 ni namba yao ya kafara mfano wasanii wengi wamekufa trh 25 ama na miaka 25 kama Tupak, Aaliya amekufa trh 25, Lisa Lopez (Left Eyes) trh 25, Jamed Bond trh 25, Michael Jackson trh 25 n.k, nayo ni namba yao ya kafara?
  116. mi naomba kusaidiwa ki2 apa..hivi hawa freemason ni nn hasa kinachowasukuma mpaka wamwabudu shetani ki-ivo wakati mwisho wa cku wanajua kabisa hawatafanikiwa kumshinda Mungu…?
  117. 1Timotheo 4:1,Biblia inasema;Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na Imani,wakisikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani…..hizi ni nyakati za mwisho,kwa hiyo mambo kama ya freemason lazima yatoke.Lakini Biblia inasema katika 1John4:1-3;Wapenzi msiiamini kila roho bali zijaribuni hizo roho,kwamba zimetokana na Mungu……..,Katika hili mwamjua Roho wa Mungu,kila Roho ikiriyo kwamba Yesu kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu,Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu.Na hii ndio roho ya mpinga kristo ambayo mmesikia kwamba yaja, na sasa imekwisha kuwepo duniani..Tumeshuhudia waziwazi waumini wa freemason kama kina mwanamuziki wa hiphop Jay Z, wakikana waziwazi kuhusu Mungu wa kweli(Yesu kristo) .Kwa hiyo freemason ni roho kamili ya mpinga kristo.Mwisho Biblia inasema katika hiyohiyo 1 John4:4;Ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu,nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye aliyendani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia…….mkristo wa kweli hana sababu ya kuogopa kuwepo kwa freemason!!!!Mungu awabariki sana.
  118. sijui nini kimewapata ninyi mpaka mpaka mshindwe kufuatilia vitu vy maana na vinahusu jamii,Freemason is like a society, and all you guys out there do not know anything about it so dnt make presumptions on this matter,should there be anybody wants to know the truth,find a member to sponsor you to the Lodge so that you become part of it to understand it and am sure you will like it,Freemason thinks a lot about society and do a lot for the people but you people do feel your heads with lies as if you know who God is,
    You cant fight this because there is nothing to fight for,put your heads up and am telling you,in Freemason,we are taught to do only three things, brotherly love,relief and obedience.so what bad is it about you to make a topic,dnt be foolish,live your life and leave this Freemason thingy as it is coz you will never get to understand what is it about as long as you are out there,and by the way,I dont blame you lames for you misconception,coz you can never be right about it,its your childish opinions.
  119. Bwana apewe sifa naomba utafute kitabu changu kinachoiitwa ”KIKOMBE CHA BABU na Freemasons” Kitabu hiki kinayo majibu yako juu ya Freemasons. Kwa kifupi, Freemasons kwa sasa ni wengi sana, hawa ndio wapinga Kristo. Ukiingia Freemasons utapewa utajiri mkubwa lakini kila mara utatakiwa kutoa sadaka ya damu, yaani kutoa watoto wako au ndugu zako ili mashetani yapate damu. Ni hatari, kaa macho kwani nia yao ni kutaka kuuangamiza ukristo ili wao waitawale dunia kwa damu. Mkaribishe Kristo maishani mwako, acha kutangatanga. Asante
  120. Wapendwa, samahani, sikuwaachia mawasiliano, wasiliana nami kama utataka kupata vitabu vyangu, ”KIKOMBE CHA BABU nA Freemasons”, ”ANGUKO KUU TANZANIA”, ”OLE KWA ULIMWENGU , YAJA” nA ”KIONGOZI MWAMINIFU” .
    Wasiliana nami kwa :
    +255713 493265, +255784 428241, +255754 760140 AU
    email: ryemadundo@yahoo.com
    VITABU HIVI VINA MAJIBU YA ROHONI MWAKO. ASANTE
    BEI NI NAFUU SANA, KWANI SIFANYI BIASHARA NI HUDUMA.
  121. Kutokana na kile nilichokisoma kwenye kitabu cha saa ya giza wapendwa tuwe macho na hayo mambo kama naweza kumnukuhu mmoja wa waandishi hapo juu, anasema “ni zaidi ya vile tunavyofikiria” ni kweli kabisa, kwa kweli hawa watu wameshika sehemu kubwa ya dunia kwa sasa na hata serkali yetu ndio maana mambo yao hayazungumzwi waziwazi kama hizi taarifa nyingine na hili ni tatizo tayari. Hata kwenye makanisa tunayoabudu mambo haya hayawekwi wazi, na hilo ni tatizo pia. Kwahiyo kwa mtazamo wa haraka ni kwamba kuna nguvu kubwa ya giza nyuma ya pazia wapendwa. Mungu kupitia kwa mwanawe Yesu kristo atusaidie. TAHADHARI, HUU SI WAKATI WA KUTAFUTA MAFANIKIO KAMA TUNAVYOAMBIWA NA HAYA MAKANISA YETU BALI NINAONA NI WAKATI WA KUSALI NA KUOMBA KWA HILI JANGA KUBWA LILILO MBELE YETU.
  122. Hawa watu hawakwepeki hata iweje,nitawaelelza baadae kwa kirefu,kwani mi nilikuwa na rafiki yng alikuwa member wa Freemasons,bahati nzuri kwa sasa ni Marehemu so ondoeni hofu
  123. Naomba nipewe elimu juu ya Freemasonry, misingi ya imani yao, historia yao, nani mwanzilishi wake na ilikuwa mwaka gani na hii New World Order wao ndio waasisi? Tafadhali nijulisheni kwa upana zaidi kuhusu chama hiki.
  124. DONDOO KUHUSU FREEMASONRY
    “To inquire what Freemasonry is, is not only to seek to know its history, its antecedents and its statistics, but more, and chiefly, to inquire what are its morals and its philosophy”
    Hapo ndipo tatizo kubwa lilipo. Siku zote kinachowekwa wazi ni Nini wanachofanya na wala si wao ni akina nani. Maezo mengi sana yaliyopo yanaeleza kile wanachofanya wao. Lakini undani wa wanaamini nini, au hufanya nini wanapokutanika imebakia kuwa siri. Na ni mpango wao ibakie kuwa SIRI.
    Ni kama ndg Mubelwa alivyochangia mahali fulani kuwa kunwa rafiki yake alimweleza kuhusu jambo hili. Lakini akimuulizia kuna nini huko rafiki yake huyo hasemi wazi wazi bali kwa mkato.Badala yake akampa website. Sasa ukisoma huko huwezi pata mambo ya ndani kuhusu Freemasonry.
    “Every Masonic Lodge is a temple of religion; and its teachings are instruction in religion.” (p. 213) “Masonry, around whose altars the Christian, the Hebrew, the Moslem, the Brahim, the followers of Confucius and Zoroaster, can assemble as brethren and unite in prayer to the one God who is above all the Baalism.” (p. 226) “Masonry, like all religions, all the Mysteries, conceals its secrets from all except the Adepts and Sages or Elect and uses false explanations and interpretations of its symbols to mislead those who deserve only to be misled.”
    Maneno hayo juu yako katika wavuti ya Orthodox Church ikielezea kuwa Freemasonry ni DINI na kutoa sababu kwa kuwa wana kila taratibu zao za kuabudu. Lakini pia yameeleza jinsi ni MKAKATI kamili KUPOTOSHA TAFSIRI YA ALAMA ZAO ili mtu asiyehusika asielewe kitu. Kwa hiyo kufahamu kilamilifu kuhusu Freemasonry ni lazima ujiunge. Na hiyo ni sawa na KUONJA SUMU. Kwa kuwa hadi ufahamu kuwa hiyo ni sumu tayari uko katika hatari, unakufa!
    Kama kweli hawa watu ni wasuri, kila kitu kingekuwa wazi. Wakatangaza mitaani na kuhubiri kwenye mikutano ili anayeamua aamue na ambaye hataki aache. Lakini hawa si hivyo. Mtu anayetaka kujunga ni lazima ujaze fom halafu uitumie. Halafu unapigiwa kura kama unafaa au hufani!
    “The true Freemason occupies himself with what is near at hand. Right there he finds enough to do. His Masonry is to live a true, honourable, upright, affectionate life from the motive of a good man. One finds evils enough near him and around him—in trade, in social life, in neighbourhood abuses, in wrongs swarming everywhere—all to be righted. Freemasonry, it has been well said, cannot, in our age, forsake the broad way of life. It must walk in the open street, appear in the crowded square, and teach men by its deeds, its life—more eloquent than any lips—to respect all forms of worship, to tolerate all political and religious opinions, not to blame, and still less to condemn, the religion of others, not to seek to make converts, but to be content if they have the religion of Socrates, a veneration for the Creator, the religion of good works and grateful acknowledgement of God’s blessings. We fraternise with all men, to assist all who are unfortunate and cheerfully to postpone their own interests to those of the Order, to make it a constant rule of their lives to think well, to speak well and to act well are the duties of all Freemasons”
    Hapo ni maneno, kutoka wafuasi wao, ambayo mtu ukisoma kwa haraka haraka unaweza kuona kama yanafaa sana, hata ukatamani na wewe ujiunge haraka. Lakini unaweza kuona kuwa hawa waakubali na wanatambua Uislamu, Ukristo, Ubudha nk. Na hivyo mnatakiwa kukaa pamoja pasipo kubaguana!
    “Why Can’t Christians Pray in Lodge?
    Of course Christians can pray in Lodge! What they may not do is offer a specifically Christian prayer as Lodge prayer, any more than a Jew or Muslim may offer a prayer specific to his religion.
    The reason for this is that it is the custom of Masonry to require all to participate in and assent to Lodge prayer. How can it be proper for a Christian to require non-Christians to assent to a prayer peculiar to his own religious belief? No Christian would assent to a prayer offered by a Jew or Muslim which essentially denied the doctrine of the Trinity. Because a Lodge acts in unison, prayers offered in Lodge must be of a nature that will be agreed to by all present.
    To be sure, some Christians believe that only prayers given in a particularly Christian form are truly prayers. These people cannot become Freemasons because they do not subscribe to the principles of religious toleration required of Masons. But most Christians do not hold these exclusive beliefs and have no objections to the form of prayer offered in the Masonic Lodge”
    Tunaona pia hapo juu kuwa Mkristo halisi mwenye msimamo thabiti wa Ukristo hawezi kuwa Freemason kwa kuwa atabagua wenzake. Hali kadhalika muislam, m-budha na mwingine ye yote ambaye atataka kusimamia imani yake kwa namna ambavyo hufanya yeye. Badala yake Freemasons wana namna yao ya ‘KUSALI’ ambayo huunganisha DINI zote. Yaani kila mmoja anatakiwa akubaliane na aina hiyo ya sala au maombi. Hii ndiyo DINI MOJA!
    Kuna maneno yanasikitisha hapo juu kuwa Wakristo wengi hawajali sana juu ya UTHABITI na USAHIHI wa imani yao kwa hiyo HUWA WANAKUBALIANA kwa urahisi na AINA YA MAOMBI yanayotolewa katika “kanisa” la Freemasonry!
    “Finally, if all men had always obeyed with their heart the mild and gentle teachings of Freemasonry, the world would always have been a paradise, whereas intolerance and persecution make of it a state of misery. For this is the Masonic creed. Believe in God’s infinite benevolence, wisdom and justice. Hope for the final triumph of good over evil, and for perfect harmony as the final result of all the concords and discords of this universe. Be charitable towards the unfaithful, the errors, the follies and the faults of men, for all make up one great brotherhood”
    Hayo ni maneno kutoka mtandao unaosapoti Freemasonry. Mkanganyiko juu ya mkanganyiko! Freemasons wenyewe wana mambo ambayo ni “Secrets” lakini katika kuyapunguza makali wanasema ni “PRIVATE”.
    Sasa ni kwa jinsi gani ALL MEN WOULD/CAN OBEY THE MILD AND GENTLE TEACHINGS OF FREEMASONRY? ili dunia iwe paradise, mahali pasipo na maovu?
    Wao wameficha mafundisho yao ambayo wanasema yangefanya dunia iwe paradiso. Halafu wanawalaumu watu kuwa mambo yako hivi yalivyo duniani kwa sababu hawajatii mafundisho YAO. Sasa watu watapata wapi mafundisho ya Freemasonry ili wayatii?????
    Kuna kitu ambacho siku zote Freemasons wanakificha. Na ili ukifahamu ni lazima uingie huko. Kama kingekuwa ni kizuri, na kama kweli wanayo “BROTHERY LOVE” wanayoitanganza, KWA NINI WASIWEKE HADHARANI mambo hayo?
    Kitu kizuri huwekwa hadharani ili kila anayeona umuhimu wake akichukue. Huwezi leta chakula cha msaada kwa watu wenye njaa kisha ukakificha mahali halafu utoe kwa mmoja mmoja, mafichoni, huku waliohadharani wanaendelea kufa. Je, hiyo itakuwa BROTHERY LOVE?
    Injili inahitajika zaidi ili iwafikie watu kabla HAWAJAMEZWA na jambo ambalo hawawezi kufahamu kuwa LINAMEZA hadi baada ya KUMEZWA!
  125. Glory to God wapendwa,mimi nipo Moshi na ningependa nijue hapa mjini kuna kanisa la hao freemarson?so that we can be carefull,but also to inform some of the people,who are dont know!thx.
  126. mimi naomba kwamba watu wabadilike tabia na kumpenda Mungu na kumuogopa maana yeye ndiye aliyetufufua na kuja huku duniani na kumtukuza yeye na sio kumtukuza shetani hata sio vizuri.
  127. kama hatutambua alama za nyakati jamani sioni nani atabaki, kwani sisi wenye ufahamu kidogo wa mambo haya hatutumii nafasi zetu kuwapa habari wale wasio faham chochote ambao kimsingi ni wengi sana,ombi langu akikisha wewe unayejua habari hizi kila siku unafikishia ujumbe huu angalau watu wawili kwa wiki.MUNGU atusaidie sana
  128. y do u want 2 know, hey freemason is risky with alot of rules xo y do u have to make ur lyf misrable wid dat
    MAY DA LORD ALMIGHTY GUIDE U, MSHINDWE KATIKA JINA LA YESU
  129. Freemasonry… Behind closed doors
    A Biblical Look at The Lodge
    Pastor Ed Decker
    There have been many questions regarding the compatibility of Freemasonry and Christianity. The claim of every Mason is that Masonry and Christianity are totally compatible.
    They say that religion is the experience of relating to God, and Masonry is the experience of relating to mankind. While separate, they can and do naturally co-exist. Well, if Freemasonry is truly what it professes publicly, then “Bravo!” It is a welcome fellowship.
    If it is being deceptive, or as some claim, a serious danger to the Mason, his or her family and Church, then it should be exposed as such. It is that simple. Let’s look at just a few of the Lodge’s basic principles in the Light of Biblical truth
    NO OTHER GODS!
    “And God spoke all these words: “I am the LORD your God, who brought you out of Egypt, out of the land of slavery. You shall have no other gods before me.
    “You shall not make for yourself an idol in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. You shall not bow down to them or worship them; for I, the LORD your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the fathers to the third and fourth generation of those who hate me,” ( Exodus 20:1-5 )
    This is the first and primary Commandment! All other commandments find their reason in it. God put it at the top of the list for a reason! If you have a faulty view of God, your whole spiritual perspective is skewed by that error. Listen again to God:
    “This is what the LORD says– Israel’s King and Redeemer, the LORD Almighty: I am the first and I am the last; apart from me there is no God. ” (Isaiah 44:6)
    If your view of God is anything but that which God, Himself has declared above, your view is not Christian orthodoxy. If your view of Christ is not that which is equally Biblically based, your view of Christ is just as filled with danger. Let’s see what the Masonic fraternity, itself has to say about the nature of God.
    FREEMASONS BOW AT EVERY ALTAR
    “The true Mason is not creed-bound. He realizes with the divine illumination of his lodge that as a Mason his religion must be universal: Christ, Buddha, or Mohammed, the name means little, for he recognizes only the light and not the bearer. He worships at every shrine, bows before every altar, whether in temple, mosque or cathedral, realizing with his truer understanding the oneness of all spiritual truth.” (The Lost Keys of Freemasonry, Manly P. Hall, 33o, p.65, Macoy Publishing and Masonic Supply Co., Richmond, VA., 1976.)
    “Everything good in nature comes from OSIRIS—order, harmony, and the favorable temperature of the seasons and celestial periods.” (Morals and Dogma, Albert Pike, 1956, page 476)
    Osiris was the ancient Egyptian god whose annual death and resurrection personified the self-renewing vitality and fertility of nature. “The All Seeing Eye” is a Masonic representation of Osiris.
    THE BIBLE SAYS
    “Jesus answered, “I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me. ” ( John 14:6 )
    “For there is one God, and one mediator between God and men, the man Christ Jesus” ( 1Tim. 2:5 )
    Is Jesus Christ Lord?
    In Mystic Masonry, by J. D. Buck, the following Masonic teaching is found:
    “It is far more important that men should strive to become Christs than that they should believe that Jesus was Christ.” (page 62)
    “The perfect man is Christ: and Christ is God. This is the birth-right and destiny of every human soul.” (page 86)
    THE BIBLE SAYS
    “Salvation is found in no one else, for there is no other name under heaven given to men by which we must be saved.” (Acts 4:12)
    “Who is a liar but he who denies that Jesus is the Christ? He is antichrist who denies the Father and the Son.” (1 John 2:22)
    OUR LORD AMONG THE BAALIM
    “Masonry, around whose altars the Christian, the Hebrew, the Moslem, the Brahmin, the followers of Confucius and Zoroaster, can assemble as brethren and unite in prayer to the one God who is above ALL the Baalim, must needs leave it to each of its initiates to look for the foundation of his faith and hope to the written scriptures of his own religion.” (Morals and Dogma, Albert Pike, 1956, page 226)
    [Ed note : The word "Baalim," is simply defined as "false god or idol." The Masonic author has included the God of the Christian in that category.]
    THE BIBLE SAYS
    “You shall have no other gods before Me.” (Deut 5:7)
    “Then it shall be, if you by any means forget the LORD your God, and follow other gods, and serve them and worship them, I testify against you this day that you shall surely perish.” (Deut 8:19)
    “Turn now everyone from his evil way, amend your doings, and do not go after other gods to serve them;” (Jer 35:15)
    BOUND BY BLOOD OATHS
    From the initiation rituals of the “BLUE LODGES” and through all 33 degrees of Freemasonry, every Mason in the world is bound by bloody oaths to maintain the secrets of the Lodge. These binding oaths are kept through the spirit of fear, because the penalties for betraying the brethren of the lodge include serious physical harm to the Mason. Look at them from the perspective of Christ’s admonition.
    The oath sworn by the Entered Apprentice or first degree:
    “…binding myself under no less penalty than that of having my throat cut across, my tongue torn out by its roots, and my body buried in the rough sands of the sea, at low water mark.” The Master Mason swears,”…under no less penalty than that of having my body severed in two, my bowels taken from thence and burned to ashes, the ashes scatter before the four winds of heaven…” (Duncan’s Ritual of Freemasonry, 3rd Ed., pp. 35 396, David McKay Pub., New York, NY)
    THE BIBLE SAYS
    Jesus, speaking again to His disciples, clearly dealt with this exact situation.
    ” There is nothing concealed that will not be disclosed, or hidden that will not be made known. What you have said in the dark will be heard in the daylight, and what you have whispered in the ear in the inner rooms will be proclaimed from the roofs. “I tell you, my friends, do not be afraid of those who kill the body and after that can do no more. But I will show you whom you should fear: Fear him who, after the killing of the body, has power to throw you into hell. Yes, I tell you, fear him. ” (Luke 12:2-5 )
    “Again, you have heard that it was said to the people long ago, `Do not break your oath, but keep the oaths you have made to the Lord.’ But I tell you, Do not swear at all: either by heaven, for it is God’s throne; or by the earth, for it is his footstool; or by Jerusalem, for it is the city of the Great King. And do not swear by your head, for you cannot make even one hair white or black. Simply let your `Yes’ be `Yes,’ and your `No,’ `No’; anything beyond this comes from the evil one. ( Matt. 5:33 -37 )
    That was Jesus Himself talking to those who believed on Him. Surely, it would be a foolish Christian who would defy the Lord in such a serious matter. What earthly thing would be worth violating a direct instruction from our Savior? None! It is not an isolated warning. (Read James 5:12 :
    “But above all, my brethren, do not swear, either by heaven or by earth or with any other oath. But let your “Yes,” be “Yes,” and your “No,” “No,” lest you fall into judgment.”
    TRUSTING THE BIBLE
    “The teachers, even of Christianity, are, in general, the most ignorant of the true meaning of that which they teach. There is no book of which so little is known as the Bible. To most who read it, it is as incomprehensible as the Sohar.” (Morals and Dogma, Albert Pike, 1956, page 105)
    The Bible Says
    We do well to know the Word Of God. As Jesus prayed to the Father for His disciples, His prayer was: ” Sanctify them by the truth; your word is truth.”. ( John 17:17)
    The Bible clearly teaches that the mature Chrstian must be grounded in God’s Word. This is probably the most grievious error of those enmeshed in the web of Freemasonry. It is the ignorance of or lack of regard for the truth of God’s Holy Word.
    What true Christian man (or woman) would dare go through the rituals of Freemasonry knowing that someday, he or she would have to stand before a Holy God and account for those acts of darkness. Let me give you a few examples.
    THE JUDGMENT OF THE DAMNED
    The grave, Christless end awaiting members of the Masonic order can be demonstarted by the Apron Lecture, given every Mason in the Blue Lodge Ceremony. The following quote can be found almost word for word in most Masonic Monitors, the Craft ritual manual. Each candidate, upon completion of the initiation is given a white Lambskin Apron whose pure and spotless surface, he is told, would be
    “an ever present reminder of purity of life and rectitude of conduct, and when at last, after a life of faithful service your weary feet shall have come to the end of life’s toilsome journey and from your nerveless grasp shall have dropped forever the working tools of life, may the record of your life be as pure and spotless as this fair emblem which I place in your hands tonight, and when your trembling soul shall stand, naked and alone, before the Great White Throne, there to receive judgment for the deeds done while here in the body, may it be your portion to hear from Him who sitteth as the Judge Supreme, the welcome words: Well done, thou good and faithful servant. Thou hast been faithful over a few things, I will make thee rule over many things! Enter into the joy of thy Lord.”
    While the words sound noble, it is to the everlasting pit of hell that the unsuspecting candidate has been assigned in the subtle words of the message. The promise is that the apron represents the works of the flesh when the Mason stands before God at the Great White Throne judgment.
    There is only one Great White Throne Judgment in my Bible and it is found in REV 20:11-15. It is the judgment of those dead not in Christ, the judgment of the damned, who will be judged… not by the gift of God through Christ, but by their own works, with an end in the lake of fire. What a tragedy! All worthy Masons are buried with this apron as their covering before God.
    THE KING OF THE PIT OF HELL
    In the seventeenth degree of the Scottish Rite, or The Knights of the East and West degree, after the candidates have completed the initiation they are given the secret password, Jubulum, and the Sacred Word, Abaddon. Here is the clue to the true identity of the Masonic Deity. It is revealed in the “Sacred Word” of this ritual, “Abaddon.” In Revelation 9:11, we learn that
    “they [the demons and workers from hell] had as king over them the angel of the Abyss, whose name in Hebrew is Abaddon, and in Greek, Apollyon!”
    Again, I must ask, “How could any true Christian dare to take upon himself that evil name as a sacred word?”
    THE WORD IS OUT
    The supposed quest of the Blue Lodge Masons is the search for “The Lost Word.” Most Masonic ritual is concerned with the recovery of this lost word, presumed to be the name of God-supposedly lost through the murder of the architect, Hiram Abiff, during the building of Solomon’s Temple. This quest is attained during the ritual of the ROYAL ARCH DEGREE.
    It is here that the SECRET NAME of the DEITY OF MASONRY is revealed. That name is “JAHBULON.”
    “JAH” is the short form of the Hebrew name of God, “Yahweh,” or “Jehovah.” “BUL” is a rendering of the name, BAAL. “ON” is the term used in the Babylonian mysteries to call upon the deity, “OSIRIS”! The secret ritual book of the Craft prints the letters J.B.O. It states that:
    “We three do meet and agree-in peace, love and unity-the Sacred Word to keep and never to divulge the same-until we three, or three such as we do meet and agree.”
    No Royal Arch Mason can pronounce the sacred name by himself. What is represented as the god of Masonry is a three-headed monster so remote from the Christian Trinity and so blasphemous as to damn the soul of anyone who would dare to pronounce its name in a ritual of worship.
    USURPING THE PRIESTHOOD OF JESUS
    In the 19th degree of Scottish rite Freemasonry, the Initiate receives the degree of GRAND PONTIFF. It is during this ritual that the candidate swears an oath of secrecy and an oath of total obedience “to any Chapter of this degree to which i may belong; and the edicts, laws and mandates of the Grand Consistory of Sublime Princes and Commanders of the Royal Secret, as well as those of the Supreme Council of the 33rd degree…”
    It is then that the “Thrice Puissant” anoints him with oil on the crown of his head and says: “Be thou a Priest forever, after the order of Melchizedek.”
    THE BIBLE SAYS
    “and inasmuch as He was not made priest without an oath (for they have become priests without an oath, but He with an oath by Him who said to Him: The LORD has sworn And will not relent, You are a priest forever according to the order of Melchizedek”), by so much more Jesus has become a surety of a better covenant. Also there were many priests, because they were prevented by death from continuing. But He, because He continues forever, has an unchangeable priesthood.”(Heb 7:20-24)
    PAGAN COMMUNION—EATING THE DEAD
    “QUESTION: What is to us the chief symbol of man’s ultimate redemption and regeneration?
    “ANSWER: The fraternal supper, of bread which nourishes, and of wine which refreshes and exhilarates, symbolical of the time which is to come, when all mankind shall be one great harmonious brotherhood; and teaching us these great lessons: that as matter changes ever, but no single atom is annihilated, it is not rational to suppose that the far nobler soul does not continue to exist beyond the grace: that many thousands who have died might claim to be joint owners with ourselves of the particles that compose our physical bodies; for matter ever forms new combinations; and the bodies of the ancient dead, the patriarches before and since the flood, the kings and common people of all ages, resolved into their constituent elements, are carried upon the wind over all continents, and continually enter into and form part of the habitations of new souls, creating new bonds of sympathy and brotherhood between each man that lives and all his race. And thus, in the bread we eat, and in the wine we drink tonight may enter into and form of us part of us the identical particles of matter that once formed parts of the material bodies called Moses, Confucius, Plato, Socrates or Jesus of Nazareth. In the truest sense, we eat and drink the bodies of the dead; and cannot say that there is a single atom of our blood or body, the ownership of which some other soul might not dispute with us.” (Morals And Dogma, Albert Pike, page 539)
    THE BIBLE SAYS
    “And He took bread, gave thanks and broke it, and gave it to them, saying, “This is My body which is given for you; do this in remembrance of Me.” Likewise He also took the cup after supper, saying, “This cup is the new covenant in My blood, which is shed for you.”( Luke 22:19-21)
    but….ISN’T THE YORK RITE CHRISTIAN FREEMASONRY?
    I am often told that the York Rite is a Christian Rite from start to finish. Would that it were true. First, the deep roots of Freemasonry are entwined within every branch of the craft and go through every level of paganism, cultic and occult practices, right into the depths of Luciferic rituals. No part of the system is exempt. The York Rite is no different and those men within it who claim it is free from any non-Christian influence are either blind fools or lying through their teeth!
    Let’s look at the “Knights Templar” Degree. It is reported to have originally been established to preserve and protect the craft. The special garb worn in the degree consists an Apron, sash and cordon.
    The center of the Apron displays a hand holding a severed head, dripping blood. On the flap is a hand holding a knife. Drops of red blood cover the white background.
    The Sash is white with a yellow fringe. It is filled with gory, severed heads, arms and legs, mixed in with knives, crosses and crowns. The cordon, which goes around the neck, is dark satin with severed heads down the side and a small ceremonial sword as the breast ornament. Along with these grotesque items is a human skull cut and pinned so that the top of the skull can be detached to use a drinking vessel. And they call this the Christian Rite??
    A BIZZARE BLOOD RITUAL
    The paraphernalia of this ritual should be evidence enough that the York Rite is every bit as pagan as the Scottish Rite, but let me finish this up with a few excerpts from the rite, itself.
    The obligation in this degree, called the Master’s Nine Of Elect, is now given to the candidate in the usual form. While the candidate is kneeling at the altar, the companions all stand over him with raised poniards, as if about to stab him. Meanwhile a horrible, bloody head sits on the altar, facing him.
    He swears this blood oath: “I do solemnly swear, in the presence of Almighty God, that I will revenge the assassination of our worthy Master, Hiram Abiff, not only on the murderers, but also on all who may betray the secrets of this degree; and furthermore, that I will keep and protect this Order with all my might, and the brethren, in general, with all my power, and furthermore, that I will obey the decrees of the Grand Council of Princes of Jerusalem; and, if I violate my obligation, I consent to be struck with the dreadful poniard of vengeance, now presented to me, and to have my head cut off, and stuck on the highest pole, or pinnacle, in the eastern part of the world, as a monument of my villainy! Amen! Amen! Amen! Amen!”
    The vows here are sealed with the Fifth Libation or The Sealed Obligation. The candidate is given the human skull filled with wine, which he drinks after swearing that “the sins of the person whose skull this once was, be heaped upon my head, in addition to my own; and may appear in judgment against me, both here and hereafter, should I violate or transgress any obligation in Masonry, or the Orders of [this] knighthood…”
    I am sorry, but any man who has sworn such oaths has so violated his Christian faith and grieved the Holy Spirit that I suspect he and all those over whom he has headship have been removed from that umbrella of Christ’s protection.
    THE GOD OF THE MYSTIC SHRINE
    The candidates for this ritual kneel at the ALTAR OF OBLIGATION with arms bound, leaning upon the top, heads bowed. There they are required to “assume a most powerful and binding oath, inseparably uniting yourself with us, and once taken, it can never be retracted or departed from.”
    The oath itself is curse enough, being four pages in length. Its penalty included “having my eyeballs pierced to the center with a three-edged blade.”
    The revelation of truth is in the candidates’ sealing of the oath, revealing the true nature of the Masonic god of the “Mystic Shrine”:
    “…and may ALLAH, the god of Arab, Moslem and Mohammedan, the GOD OF OUR FATHERS, support me to the entire fulfillment of the same, Amen, Amen, Amen.” (The Ancient Arabic Order, Nobles of the Mystic Shrine, pages 35-39, Allen Publishing Co. New York, NY) Allah IS NOT another name for the God of the Bible.
    Dwight Moody on Masonry
    The celebrated evangelist of long ago, D.L. Moody wrote:
    I do not see how any Christian, most of all a Christian minister, can go into these secret lodges with unbelievers. They say they can have more influence for good, but I say that they can have more influence for good by staying out of them and reproving their evil deeds. You can never reform anything by unequally yoking yourself to ungodly men. True reformers separate themselves from the world. But, some say to me, if you talk that way you will drive all the members of secret societies out of your meetings and out of your churches. But what if I did? Better men will take their places. Give them the truth anyway, and if they would rather leave their churches than their lodges, the sooner they get out of their churches the better. I would rather have ten members who are separated from the world than a thousand such members! Come out from the lodge. Better one with God than a thousand without Him! We must walk with God, and if only one or two go with us, it is all right. Do not let down the standard to suit men who love their secret lodges or have some darling sin they will not give up!
    COME OUT FROM AMONG THEM
    “Do not be yoked together with unbelievers. For what do righteousness and wickedness have in common? Or what fellowship can light have with darkness?
    What harmony is there between Christ and Belial? What does a believer have in common with an unbeliever?
    What agreement is there between the temple of God and idols? For we are the temple of the living God. As God has said: “I will live with them and walk among them, and I will be their God, and they will be my people.” “Therefore come out from them and be separate, says the Lord. Touch no unclean thing, and I will receive you.” (2 Cor. 6:14-17)
    ONE OR THE OTHER
    Even as Elijah called out on Mt Carmel ” You have abandoned the LORD’s commands and have followed the Baals.” I cry out,”How long will you waver between two opinions? If the LORD is God, follow him; but if Baal is God, follow him.” (1 Kings 18:18, 21)
    TO THE MASON
    Dare YOU risk laying your Masonic works before the Lord on the last day only to be told, “I never knew you, depart from me!” (Matt.7:21-23)
    I pray that you will choose Jesus, repent and be set free from this wicked power unto whom you have submitted your very own soul, Even beyond that, you have surrendered the spiritual headship of your home (and church if you are a leader in the congregation… to this dark, occult evil thing. If this is your desire, remember that we have this promise,
    “If we confess our sins, he is faithful and just and will forgive us our sins and purify us from all unrighteousness. “(1 John 1:9)
    If you are a Mason and you are ready to get your life back on track with Jesus, Pray this prayer with me right now:
    “Father in Heaven, in the name of the Lord Jesus, I confess that I have sinned. I confess that I have allowed myself to fall under the power and authority of Lucifer, the god of Masonry. I confess it as sin, and ask that you forgive me. I reject it and cast it from me and will immediately remove my name from its rolls. Jesus, I call you Lord and Savior and ask that you come into my heart and fill me with your love and Holy Spirit. Let no unclean thing remain! I am yours and yours alone! I am set free, in Jesus’ name, Amen!”
  130. Kiwia
    ingekuwa vyema tupate watu wenye uhakika na jambo zima la Freemasonry, nini hasa kazi yao na athari zao kwa Wakristo
    pili wanafanyaje kazi na mbinu wanazozitumia.
    Pia tuangalie tatizo la waganga wa kienyeji na mauaji ya Maalbino kwa kweli wameinajisi Tanzania, leo mabango ya waganga yamejaa kila kona na Wakristo wamenyamaza kimya
    Wakristo tutadaiwa nchi hii na Mungu kama hatutachukua hatua
  131. Wapemdwa wana wa MUNGU,naamini hamjambo na munaendelea vizuri ktk kuukulia WOKOVU! Sina shaka kwamba maoni na ushauri unaotolewa na wachangiaji mbalimbali,unalenga kuwaweka wacha MUNGU wakweli kuwa ktk tahadhari si kwa kundi la Masonry peke yake,bali pia kwa kazi zote za yule Adui (SHETANI). Kwanza niwatoe wasiwasi kuwa Masonry si kundi la siri kama ambavyo, yeye mwenyenalo (shetani) anavyojaribu kuongopa! Shetani tangu mwanzo ni muongo,hivyo anatumia welevu wake mkubwa kudanganya kuwa yeye hufanya kazi kwa siri kubwa akitaka “ADUI” zake….yaani wacha MUNGU wakweli waamini kuwa ati yeye anauhakika wa ushindi! Ndg zangu mulio katika BWANA YESU KRISTO, jueni hivi kabla ya kujadili jambo lolote unalodhani kuwa ni tata au ni mhimu kulijadili liwe linaonekana kuwa ni la SIRI au si siri ki-ROHO,JIULIZE HIVI: je, BIBLIA ILISHAPATA KULIZUNGUMZIA JAMBO TAJWA MAHALI NA WAKATI WOWOTE? Sababu ya kufanya hivyo ni, Biblia ndiyo pekee neno la MUNGU,limehakikishwa na ndilo pee linafaa kwa mafundisho,kwa kuonya(kukuweka ktk tahadhali kuu) kukuongoza nakuwaadabisha watu,lakini uwe makini hapa watu wanaozungumziwa hapo ni wale tu WALIOOKOLEWA NA BWANA YESU KRISTO,Maana wote walionje ya WOKOVU hawana bahati hata kidogo ya kujua ufafanuzi utolewao na ROHO Mtakatifu ili kuzijua zile lugha au vitendo anavyo jaribu shetani kuzitafsiri kuwa ni”SIRI AU MAFUMBO MAKUU”ROHO MTAKATIFU kupitia Neno la MUNGU- Biblia, yeye ndiye mwalimu. kama mwalimu hawezi kutoa ufumbuzi wa jambo lolote analolifundisha, Mwalimu huyo ANAPOTEZA SIFA YA KUWA MWALMU mara moja!! Vivyohivyo,Mwanafunzi asiyeweza kujifunza kwa hamu,kwa bidii,hafuatilii mifano na mazoezi yatolewayo na mwalimu wake,mwanafunzi huyo ANAPOTEZA SIFA YA KUWA MWANAFUNZI maramoja! (wakati enzi sisi tunafuta ujinga ktk kisomo chetu,ambacho vijana waleo wanweza kuiita ni “Ngumbalu”)Wale wote waliokuwa hafuatilii masomo tuliwaita “WASINDIKIZAJI” Sasa jiangalie je wewe si msindikizaji?Lakini pia nikueleweshe hivi,mwanafunzi wa chini hujua elimu ya chini – yaani kila mwanadalasa kwa elimu ya dalasa lake tu,ili mtihani uletwe kwa kiwango cha dalasa lako,lakini si kwa ujuzi wko! sas jiulize hivi, unashida gani, KUJUA au KUELEWA habari juu ya M asonry? Hilo ni swali la kwanza,maana wanafunzi wasio makini husoma KUJUA jambo nasi KUELEWA jambo,ndiyo maana wanaigia na vikaratasi ktk mtihani! baada ya swali la kwanza jiulize swali la mwisho kuwa ukisha JUA au KUELEWA jambo unaloliataka utafanyaje?! Kwakuwa naamini kuwa naongea na wana wa MUNGU, basi hebu ni nimnukuu BW.YESU KRST. BABA yetu huyu aliyajua yote haya,kama ujuavyo ni BABA tu,ndiye huwajali watoto wake,maana ni lahisi kuwa mzazi ila “ngoma” inakua,kama unapotakiwa kuwa BABA, labda mtu atajiuliza inawezekanaje kuwa mzazi na usiwe baba au mama? inawezekana,..sitaki kuzungumzia hilo! Ndiyo maana MUNGU huitwa BABA YETU,ila ukitaka kumuuita kuwa ni mzazi wako mimi hapo nanyamaza! Kwahiyo, YESU akasema…watu wangu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA,YAANI watu hufuata akili zao wenyewe ili wapotee! NENO linasema LIPO JAMBO LIONEKANALO NI JEMA MACHONI PA MWANADAMU, LAKINI NI NJIA YA MAUTI! Kwakifupi watu hawataki kukaa chini ya miguu ya Mwalimu apaswae kuwafundisha ili waelewe waokolewe yaani chini ya huyo ROHO MTAKATIFU ,HATUPASWI KUJILAUMU KUWA KTK HALI HIYO maana kama alivyo mwanafunzi wa kawaida hayuko tayari na hapendi kabisa kitu kinachoitwa MITIHANI ,maana kiwago cha ubora wa mwanafunzi yeyote ni kwa kiwango gani anafauru mitihani apewayo na mkufunzi wake! SASA jiulize hauingii na vikaratasi ktk mitihani ya mwalimu ROHO MTAKATIFU! Maana huenda iko siku ilijisifia kuwa UNA UPAKO, na kuona kuwa MUNGU amekuokoa wewe tu,kwa vile ulimuombea tasa akajifungua mtotoukashindwa kuelewa pia kwamba IMANI YA MHUSIKA MWENYEWE IMEMPONYA? kwa wale wanaoamini kuwa YESU ndiye huyohuyo ROHO MTAKATIFU nasemanao hivi, BW.YESU KRST. mara kwa mara katika kufanya uponyaji alizoea kusema, INANI Yako imekuponya au naiwe kama ulivyoomba(maana hakuna maombi yakawa maombi bila imani) nk. Ndg zangu nisiwachoshe kwa maneno mengi mno ,ila huo ni mfano mmoja kati ya mifano elfu nyingi inayoonyesha wazi kuwa hatuzijui habari na lugha za mbinguni kwakuwa hatutaki kukaa chini ya miguu ya mwalimu GAMALIERI (ROHO MTAKATIFU) YESU alisema “Zitambueni nyakati” kama ndege na wnyama wanajua sasa ni jioni wanawahi kwenye usalama, je, inakuwaje ninyi watu wa MUNGU? BIBLIA inasema SHETANI yupo, sasa unashangaa nini juu ya masonry na habari za kuwepo kwao? sisemi nivibaya kuyachunguza mambo,ila yafanyeni mambo kwa kumtumia roho mtakatifu, na wala si kwa kuumiza akili kwa namna yoyote ile. Neno la MUNGU si gumu wala si maalumu kwa wachungaji peke yao,limewekwa ili kuwa njia ya wokovu wetu mkuu.MUNGU si kama shetani kwa tabia,shetani hufanya mambo yake kwa siri,lakini MUNGU hufanya mambo yake kwa uwazi na ukweli ili watu wapate kuokolewa. mwisho JILINDENI NA ROHO ZIDANGANYAZO NA MAFUNDISHO YA MASHETANI. Kweli masonry wapo,wawe wanabudu uchi,wanakunywa damu za watu,wanapesa sana wako milioni 6 au zaidi,washirika wao ni watu maarufu nk, ni sawa tu, acha wazidi kuwepo na wale watakao jiunga nao acha wafanye hivyo kadri watakavyo.Maadam NENO la MUNGU linasema jambo hilo litakuwepo kwa sababu zilizonenwa! Kuwepo kwao au kutokuwepo kwao sisi kwa nini? MUNGU ndiye hasa anajua sababu yakuwepo au kutokuwepo kwa jambo lolote.cha msingi MUNGU atupe kinga,ambayo kwakweli alisha tupa,hoja tu ni kwa kiasi gani tunatii-BWANA YESU KRISTO, alisema BILA MIMI NYINYI HAMUWEZI NENO LOLOTE (Ulishapata kujiuliza maana ya ‘KUTOWEZA NENO AU JAMBO LOLOTE?’) Usiku mwema.
  132. sijui maana ya freemason. lakini napenda kusema kuwa sisi wana wa Mungu tunaoitwa wana tuliyomkiri Kristo kwamba ni Bwana na mwokozi wa Maisha yetu. Mungu kupitia huyo mwanae Yesu Kristo hatatuacha tujaribiwe kiasi hicho “tuwekwe alama za 666 iwe tumboni, mgongoni hata kama ni usoni”. wakati umefika wa Kukesha ili tusijeingizwa majaribuni japo kuwa Roho i radhi japokuwa miili inakuwa dhaifu, sisi ni washindi na zaidi ya kushinda kwa yeye anayetushindia Yesu, nasema anayetushindia nafikiri munaelewa wapendwa neno hilo “ANAYETUSHINDIA” siyo past wala future ni present tense. Yohana 19:27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata. Yohana 19:26 Lakini ninyi hamsadiki, kwa sababu hammo miongoni mwa kondoo wangu, “hapo pana tatizot tukubali kuwa kondoo kabisa Yohana 14:23 Yesu akajibu akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu na baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake na kufanya makao kwake. Yohana 13:17 Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda. Free manson aliyechoka njoo kwa Yesu uwe Makini
  133. Mimi nilikuwa napenda kumsikiliza Lusekelo’mzee wa upako’alisemakuwa freemason ni shirika la matajiri huko ulaya ila sisi watanzania ni darasa la saba tumejaa wengi kwahiyo elimu yetu ni finyu,kwahiyo yeye haoni kama freemason ni wa ibada ya shetani! Kwakweli nimeingiwa wasiwasi na mzee wa upako kuwa na yeye ni mmoja wao,kweli mpaka leo asijue Freemason ni kina nani na yeye ni mtumishi wa Mungu ? hebu nakusihini angalieni ATN TV jumanne tarehe 28 Feb 2012 usiku saa tatu mujue undani wa freemason
  134. Mimi nilikuwa sijui maana ya hili neno “Freemason” mpaka nilipokuja huku Dar mwaka jana. watu wa Mungu wengi watapotea kwasababu ya kuamini miujiza, ishara na uponyaji. Iweje Uponywe ndo uokoke? Kwanza ufanyiwe kitu ndo uamini? Watu wanapenda Ishara! ndo maaana ma Freemasons wanawateka. Kumbuka wayahudi walimtaka Yesu awaonyeshe ishara ya ukuu wake hakuwapa ishara yoyote bali aliwashangaa tu kwa kutaka wafanyiwe ishara.
    Mungu atulinde atungoze kwa kuwatambua manabii wa uongo wanaotumia miujiza kuwateka watu wake. amina
  135. guys just look back 4 what god has done 2 you then thanks him much more,look forward and trust him,then having the presence of god in ur boat doesnt mean the storms wont face you but u can win them through him ,4 my side i can say these are the plans of sartan 2 get much members which will support him in order 2b not alone in HELL.xo we have 2b so carefull with different plans arranged by sartan,not only this freemason but also there are so many way which sartan can get us cos remember when god sent him 2 kuzmu,he sent him with his powers so he has the powers as well as an angels that why he can do what he can.MAKE GOD THE DRIVER OF UR BOAT,THE LIGHT OF UR FEET,LAMP OF UR EYES THERE FORE SARTAN WITH HIS AGENTS(FREEMASONS)CANT KIDNAP YOU INTO THEIR FORT. OUTONLY SERVIOR IS GOD IBRAHIM,ISSACK,JACKOB.
  136. LOVERS, nowdays there are many many many many………………………………………. churches but i think these are the sign that the end of the world is coming,cos we donknow either day or time which the son of adam will come xo 4 that means we have 2 get prepared ourselves.just remain where u a then don look about the religion at all coz it wont send u 2 heaven anymore but through it we can talk 2 God and pray, worship him. (FAITH) CAN SEND U HEAVEN
  137. yaan kusema kwel nashndwa nseme nn juu ya hawa wa2,binafs naogopa sn kujiunga nao bt nahc nahtaj kujua mengi kuhusu hawa freemasonry ili kuweza kufundsha jamii isje potoka zaid.Yehova Mungu a2saidie tena sana
  138. Nimefurai kun watu wengi mmechangia vzr japo kuna waliojitokeza kupinga ukweli wa kuhusu FREEMASON nimesoma sna ktk mitandao mbalimbali kuusu ukweli wa hili jambo labda niseme tuu kifupi tumepata elimu kiasi na naamin kila mmoja anaweza kuendelea kuperuzi kwne mtandao,kuna siri kubwa sana kuusu hili shirika au hii taasis ya masonic ..ukiangalia ktk mitandao utaona inatumia signs nyingi za kishetani kama alama zao za kuwasilina ,na kwa kuwa dunia imekumbwa na hili wapo wanaojua na waiojua wanazitumia hizo alama ktk kila kitu tunavyomia ktk maisha yetu iwee marashii,nguo,alama za magari,urembo,na ishara za mikono na mengne mengi …kimsingi hapao penda usipende unakua unaabuduu au kusifu na kutangaza hizo logo na signs amabazo huuziita kitaalam Occult ..manake ni ficha kkt kuonekana kwake ..inatisha sana kuskia habari hizii kwa nchi za magaribi kama marekani iko wazi na sii kifichoo ..mfanoo kma pesa ya marekani imetengenezwa na hao masons angalia dola moja nyumaa ina piramid ambayo haijaishaa na juu kuna jichoo ..imendikwa maneno fulani kirumi yakisema kwa kiswahili ..tangaza kuzaliwa ..na lingine likimalizia kuanza kwa New word order …au ina maana ingne god favour our ages ..huyoo mungu wao ambae ni lucifer yaa shetani…awasaidi vizazi na vizazii ipo wapi na unaweza soma na ukaona mwenywe mambo yao ni siri na yene kificho sanaa wana kivuli cha kwamba cc ni brotherhood cjui charity, hakuna ni ushetan mtupu…kifupii hawa ni wwapinga KRISTO .Ipo jins ya mji wa WASHINTON DC umejengwa kwa alama zao ambazo ziko wazi kabisa ….wanaamin ktk uchafu wao ila hawaamin WOKOVU kabsa wapo kila mahali ni ngumu kuwaepuka hivo yatupasa kusimama ktk imani kisawa sawa ..lkn pia ni wazi mtaona makanisa mengi yapoo na hayana muamko au kuwa hai kiroho na wengi ndio tunayapenda kwa kuwa tunaona hayagusi maovu yetuu,au kila ukienda hubadiliki kirohoo kanisa la hivo nalo kinakosa maana kabsa na wengi wetu tumefungwa na historia kuwa nilizaliwa katk dhehebu hili au dini hii ..hivo yanisa kuwa hapo huu hata kama hawakutibu kirohoo …mi kwa hapo nakataa yatjupasa kubadilika na kuwa hai KIROHO..Aacha kufungwa na historia badilika kuna umuhimu gani kusali kama sehemu unayosali haikutibu kiroho?au unajua kabisa na kuona madahaifu akee ? sehemu za ivoo iwe ya UKRISTO au ya dini yeyotee inayomwamin MUNGU haifai ….! yapo leo makanisa mengii kila mmoja anasema kwangu ni boraa na kwa yule c boraa wana mali nyingii na wanacctiza sana matoleo ,wapo wanaounda miujiza …mi hadi naogopa kwani wanajua ukweli afu wanalaghai watuu ..maskina ya MUNGU wengi wa waumin ni maskin wanaotaka kuzikomboa nafs zao lkn pia wanaingia mikono isiwe salama ..hawa pia ni wakuwafanyia maombi sana maana hawana tofauti na freemason ambao wanajificha ktk vivuli vya vitu vizuri kama misaada mingi mingi ….haya ma hall kama YMCA ,WYMC ,yote ni product za freemason …tunatakiwa tuombe sanaa saanaa..jaman
  139. NimeMSIKIA kijana mmmoja akimshawishi kijana mwingine ajiunge NAO leo hii nilikuwa nakunywa soda mahali akamwambia ” free masoni sio wabaya, kila mtu anawezakuwa free mason, akamwambia nipe simu yako kama ina interneti nikuonyeshe na nitakuunganisha mojmoja kwa moja utakuwa unapata taarifa mbalimbalimbali na mikutano yao. yule kijana mwingine akakataa akaasema sihitaji mashetani hao. akamwambia nipe basi nisome meseji zangu, mwenzie akakataa tena. AKASEMA WASANI WENGI WAMEJIUNGA AKIWEMO—— NA L—-???
    Mteule kuwa macho, KARIBU KWENYE MKESHA wa SG PALE JCC URAFIKI IJUMAA WIKI HII MIMI NITAKUWEPO. USILALE TU PLS.
  140. KUJIFANYA WAO KUWA WEMA NA WANASIMAMIA MISINGI YA WEMA HIYO HAIONDOI USHETANI WAO! SHEATANI HATA AFANYA WEMA KIASI GANI ATABAKI KUWA SHETANI TU! MUNGU WA KIKISTO SI WA MICHANGANYO WAO WANATUMIA UDANGANYIFU NDIYO SILAHA KUBWA YA BABA YAO SHETANI KUUPOTEZA ULIMWENGU ETI MTU ABAKI TU KWENYE DINI YAKE LAKINI AAMINI PRINCIPLES ZAO NA HUYO SUPREME BEING WAO AMBAYE NI SHETANI! WAPENDWA HAO FREEMASONS NI WAABUDU SHETANI TU HAWANA CHA ZAIDA USIKUBALI KUJIUNGA NAO.
  141. Mpendwa Greyta,
    Hata mimi nlikuwa najiuliza hivyo lakini hapa karibuni nimetambua
    kweli inawezekana?
    Wiki tatu nilikutana na movie ambayo watu watatu walifanya mikataba ya utajiri kila mtu na masharti yake.
    1) Wa kwanza alitakiwa kuishi miaka 20 ya kuenjoy mapesa ya bure, anasa zoote, bila jasho. Hakuoa na aliwapost wanawe ulaya na kuwaandalia urithi
    - Siku ya kufa kwake aliwaga wote ambao wapo kundi moja, akafukuza wafanyakazi wote ili afe akiwa mwenyewe. Akasign check na kuandika urithi. Ghafla dada mmoja aliyekuwa na mahusiano naye kimapenzi akaingia. Akamfukuza atoke, lakini dada alikuwa mbishi katika kusukumana kaka akaanguka na kufa hapo hapo. Polisi ikamshikilia dada, lakini rafiki zake walijaribu kumtetea kuwa dada hana makosa. Ila polisi ilipinga na wale rafiki zake hawakuweza kufunua siri
    2) Wa pili aliingizwa kwenye kundi na yule wa kwanza na alikataa sana mwanzoni coz alikuwa anahofu ya Mungu, umaskini ulimsakama mpaka akakubali. Huyu hakuruhusiwa kuwa na mtoto. Alifanikiwa kuoa, lakini kila mke wake aliposhika ujauzitio mimba ilitoka, aliumia na alichoka, kwa sababu hata ndugu zake walianza kupigia mahesabu ya mali zake na kumwombea afe ili warithi mali, pia aliona jinsi yule wa kwanza alivyokufa. Mke wake alipata rafiki aliyemwelekeza kanisani kwa kuwa hakujua sababu, mume wake alimficha. Baadaye mume wake naye alichoka akakubali kuokoka na kumtafuta Mungu, kuomba toba na akahamia kanisani…vita ilikuwa kali lakini alishinda.
    3) Wa tatu hakuruhusiwa kuoa, kila akifanya mapenzi na mwanamke, huyo mwanamke lazima afe. Aliishi kuua wanawake wengi sana na akaishia kuteseka sana na kuishia kuwa mlevi sana. Mwisho wake nakumbuka aliishia kufa.
    NILIJIFUNZA KITU KIKUBWA SANA TENA NI WIKI 3 TU ZILIZOPITA
    Mbarikiwe
  142. Kama ulikwisha kubali mwenyewe tarehe ambayo wewe mwenyewe utajitoa sadaka kwa shetani kwanini usijue siku hiyo?@Greyta, ni makubaliano tu ni kama mtu anavyopanga mambo yake mf siku ya ndoa yako si unaijua na unaitangaza? na yeye aliyeingia mkataba wa kufa kishetani katika siku yake anajua na anakuwa amekwisha itangaza kwenye ulimwengu wao wa giza!
  143. Najifunza kitu hapa,!!!
    ukiwachunguza sana hawaowi ila wanakuwa wazinzi sana, halafu kama alishaoa basi hataendelea kuzaa, ila anakuwa na mahusiano na wasichana wengi sana. na vifo vyao ni utata mtupu kama @Dada Imani alivyosimulia
    Barikiwa sana kwa mchango wa kutufundisha. Japo wengine wanadhani ni kutishana, HAPANA. UKIWA ASKARI LAZIMA UJUE SILAHA, UWEZO WA KIVITA, MBINU NA UJANJA WA ADUI KWA UPANDE WA PILI YAKO. KAMA UNATISHIKA NA HAYO BASI USIBWETEKE JIWEKE TAYARI na Mungu wako , hupaswi kuwa Muoga, Saa inasoma 0sec.
    Ndio maana naskia hata watumishi wengine wanajiunga bila kujua, wakidhani ni NGO, au shirika la misaada la mainterlectural, LA HASHA HAWA NI MASHETANI.
  144. hakika kwa mujibu wa maandiko/biblia,ni hakika hizi ndizo siku za misho make hata unabii unaonesha matukio,mfano freemasons hao.Kimbingu, freemasons hawa ni waasi.
  145. TUNAMWOMBA MUNGU ANUSURU UBABE WA NGUVU YA GIZA IJIPENNYEZAYO KUPITIA UWEPO WA MWANADAMU KTK SAYARI HII YA DUNIA KWA KUJIFUNUA KWA MATENDO MAKUU KWA WANADAMU HUSUSANI HAWA FREEMASONS..TUNAWAKEMEA KWA JINA LA YESU.
  146. ili tuweze kuepukana na vishawishi vya free mason inabidi tusali sana na tushike dini, pia kuondoa tamaa ya pesa. kwa uwezo wake MWENYEZI MUNGU tutaokoka iddy kayumbo
  147. LOVE OF GOD IS BACK
    Gen 2: 7
    Man, who according to Gen 1: 26&27 was created by God from clay and the breath of life breathed into him, became a Living Soul and assumed the image of God. The enemy did not wait long either. We see in Gen 3: 4, that the enemy knew was valuable in Adam and that is what he went for, -The Living Soul.
    How was The Living Soul Stolen?
    I would love for you to understand how even witch-doctors and the so called ‘black-hands’, freemasons, scientologists, etc steal from people.
    In Gen 2: 17, God commands Adam that if he gets in congress with the devil himself who possessed the knowledge of good and evil, he surely would die. In Gen 3: 4, the devil outright disputes God’s command to man and convinces man that he cannot die simply by eating the forbidden fruit but on the contrary, he will discover more than the Living Soul enable him. Here began the onslaught of a double mind.
    In Gen 5: 2, both Adam and Eve had one name, it means Adam and Eve were of one soul.
    When Adam let down his guard and chose to get in congress with satan, the Living Soul was lost for good. Well, of course until now. In other words, the love of God vanished. Since it is the Living Soul that Adam was using to own and dominate his charge, it is the same Living Soul carrying the love of God that the devil targeted since without that, Adam could not own and dominate creation nor participate in the creation process.
    The late satan always took and his agents always takes all from people and from the whole creation so they can dominate your things. It’s him who owns denote (-) sign. When Jesus came and got sacrificed for the iniquities of humanity, he added the (|) sign and brought all back to people and the whole creation with the cross (†) i.e. Jesus adds value to life.
    When the love of God disappeared, that cherub of Ez 28: 1-19 used the little bit of Living Soul he managed to chafe off Adam to cause extreme chaos and twist God’s primary intention. His evil agents are the ones conducting all bad things like sodomy, same-sex marriages, poaching people’s stardom, spiriting-away fertility, numerology & astrology, and other things like such -Rom 1: 26-32.
    An example of their secret code is the number 13. The wicked numerologists propagate their lies by associating events in certain times and season as tied to some geometrical configurations governing the creation process. They claim that because the 12 disciples’ lives revolved around Jesus as a 13th sphere and Jesus was crucified on a Friday, then any Friday that falls on the 13th must be a cursed day. Like last Friday. (Of course that works for them because we don’t have a Friday in God’s calendar). They mention the pre-dawn arrest, sentencing and consequent burning alive at the stake of the first Knights Templar (not to be confused with the current Knights Templar Lodge of Freemasons) by the Roman Catholic, the Aztec ancient calendar, and other theories as reference points. These are worldly theories of worrying times. By masquerading as the logical argumentators and misguiding the masses like that, the wicked are planting seeds of doubt in people’s minds so you question the composition of the substance of your faith.
    Further evidence to how their influence has bled in to the fabric of many a society is where you find building contractors skipping floor 13 when they build storied structures. Check the elevator in that high-rise you are staying, working or visiting; from floor 12, it’s on to floor 14. And keep looking into many other places, you will see same pattern.
    Watch your six and discern where your position is in the creation process. This way, you will be able to lock-on into the positions of your enemies and their numbers, their symbols, their pillars, their will, animal sacrifices and human-blood pacts, their banks, their ways, rules and regulations, systems and dress code, and the tactics they use to lasso people into their domain. They are dangerous, they are mean, they are cold-blooded, have even capabilities of controlling the world by buoying large swathes of global economies and causing hunger in others so that they can bring in their grains, sugar, fertilizer and such like, to monopolize trade and do the selling themselves.
    Most religions and denominations are under their influence and power; only the Church of God of Armies has transcended these principalities in the holy name of Jesus Christ!
    Just look at the way the wicked are deeply involving state leaders in their activities, or is it the other way round? Leaders’ hearts have turned away from God to follow the whims of baal-worshipers and freemasons, -just like in the times of Prophet Elijah. Since the beginning of time, it was only the high-priests of the Lord God who used to sit in the high-table with kings/presidents. But in recent past years, state leaders sit and eat side-by-side with traditional elders who have questionable faiths and who get the state leaders to adorn satanic regalia worn only during such rituals as might involve animal sacrifices and pouring blood into the earth to honor gods and ancestors. They coerce leaders to pay homage to dead elders by bowing down when passing through igloo-like doorways made deliberately low to further the purpose of unconsciously ‘bowing’ to an unknown god. And the leaders gleefully accept the exercise of being installed an ‘elder’ for this ethnic group or for that tribe.
    Now you know. Basically what the enemy stole here that the occult like freemasons keep pursuing and which Jesus intended to restore by dying for humanity, was the ability to see your opportunities of ensuring beyond the sky is the limit for anything you do and create; restoring bubbling life to everything we touch, awakening dormant skills, gifts and talents. Humans became blind after Light was stolen on Day One. Man could not then visualize opportunities that abound and grasp the higher levels and deeper horizons through which he could utilize knowledge, skills, talents and creativity in ways that are sincerely grateful, prayerful and praiseworthy to God. After the enemy had pilfered the light of the spiritual eye, all man could see was ‘OPPORTUNITIES ARE NO WHERE!’ Alternatively, the enemy introduced his own rules of engagement that if and when man wants to own within himself a gushing spring of all those good treasures just mentioned above which in essence God intended for him in the first place to own and use to subdue and dominate (Gen 1: 26 -remember: it’s the living soul in Gen 2: 7 which is the breathe of life in man was the one given power of dominion, not a human), then one has to undergo idolatrous rituals, kill family, relate incestuously, worship animals, participate in voodoo and witchcraft, visit astrologers and yogi, consult crystal balls, tarot cards and palmists, lacerate ones-self with blades, walk on fire, join occults like masonic temples, scientology etc.
    Go figure that.
  148. Mimi nona hawa free mason ni wafuasi tu wa mpinga Kristo ambao yatupasa tumwombe sana Mungu ili roho hii isiendelee kuwaingia Wana wa Mungu na Watanzania kwa ujumla wakakosa ufalme wa Mungu.
  149. ahsante sana kwa wamiliki wa blog hii kwa 7bu ni cku nyingi nilikuwa natafuta pa kupata ukweli kuhusu habari hzi nafikiri hapa patanifaa!
  150. akamchukua mpaka mahali pa juu, akamwambia, UKINISUJUDIA utapata yote na milki zote maana ni mali yangu’ HAPA SHETANI ALIKUWA ANAMJARIBU YESU…Yesu hakumbishia hapa tunaona kuwa ilionekana huyu jamaa ALISHAMUIBIA ADAM ILE HAKI YAKE YA KUMILIKI NCHI…kwa hiyo hata leo, watu wanamsujudia shetani ili wapatye UTAJIRI…UTAONA KWAMBA MWANZILISHI WA JAMBO HILI (mjenzi huru) ni SHETANI MWENYEWE….
    KAA CHONJO…. ana mbinu nyingi, na anapita akiunguruma kama SIMBA ili ammeze yeyote atakaye mkubali…
    MUNGU ANAKUKUMBUSHA KUWA:::
    Njia ni Pana iendayo upotevuni…WENGI HUNGIA HUKO….
    WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA…
    UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MUNGU, MENGINE YOTE MTAYAPATA KAMA ZIADA
    MKONO WAKE WA KULIA KUNA UTAJIRI NA FEDHA, WA KUSHOTO KUNA MAISHA MAREFU.
  151. Inawezekanaje upate mali za dunia hii tena kwa majuto. Halafu uukose uzima wa milele? Freemasons hawafai kujiunga nao, anayetafuta kujiunga nao. anajiunga na shetani.
  152. Hawa Freemasons lengo lao ni kuutawala ulimwengu,maandishi yasema kuwa uyaonapo haya kuwa na hekima! Freemasons re-ligth devil’s charlity!
  153. watu mnamtaja lucifer mkimaanisha shetani lakini hivi kuna andiko lolote katika biblia linalosema shetani ni lucifer? neno hili lina maana gan? na ni lugha gani? nikatika kitabu gani mlango gani mstari gani pana mtaja shetani hivyo?
  154. shalom,
    mbarikiwe sana watumishi kwa michango yenu.
    ila ninachoshangaa mimi kwa nini watu wasitafute kujiunga na Makanisa ya kiroho ambayo yapo wazi!!! na kutafuta kujiunga na vyama wasivyovijua!!!!??? ni hatari sana TUSHINDANIE IMANI YETU na kutumia MAMLAKA TULIYO NAYO TU.
    Mbarikiwe
  155. Asanteni sana kwa kila mmoja kwa kutupa mwanga kuhusu hawa Masons. Kama kutoa ushuhuda tu na kuwapa wasomaji kiasi fulani cha uhakika, naomba tuwaorodheshe wachungani/watumishi wa Mungu ambao ni Freemasons hapa Tanzania na hata Africa Mashariki
  156. Huu mujadala umenielimisha mengi,sikujua rotary na lions ni freemasons,inavyonekana ni kwamba wamefaulu kuwashawishi watu wengi sana na mengi tunayoyafanya siku hizi ni kazi yao bila kujua,haswa vile twalazimishwa vitu kaa democrasy,nilishawahi kusikia mtu kwa tv akisema demo kwa democrsy yasimamia demon kumbe ni kweli,angalia tena vitu kaa demonstration kumbe ni demons,tuzidi kuomba sana mwenyezi Mungu atujalie neema ya kuyaona haya mabaya.Huyu ndiye mpinga Kristu aliyetabiliwa kwenye ufunuo.
  157. maana hasa ya ufreemason ni huu, kwa wasioelewa, kwa sbabu makanisa ya kiroho yamekuwa mengi sana na watu wanaomba kila mahali kuna mikesha hasa huku afrika, hivyo kwenye ulimwengu wa roho kumekuwa na moto hakukaliki, kila wanachofanya kina haribika na shetani anapokea kipigo kila siku, sasa shetani ameamua kuvaa mwili, kwa kujitengenezea wake maana anauwezo au kumtoa mtu kwenye mwili maana mtu ni roho kisha anakaaa yeye. aliawezekufanya kazi vizuri maana hujui kama huyo ni shetani na umezoea kwamba yeye anakaa kuzimu au ulimwengu wa roho, mtu anapojiunga na freemason hawezi toka tena sababu huiza roho yake (ambaye ndiye yeye mwenyewe mtu)kwa shetani ili apate utajiri, cheo, madaraka, faida kwenye biashara, ndio maana ni ngumu kutoka maana umemuuzia mwenyewe roho yako, na yeye anakuchukua kisha anakaa yeye, ndio maana unaona hii mipango ya kuwawekea watu chip, badala ya mapepo ya kuwafuatilia maana mnayatimua kwa maombi, chip hii ikiwekwa haitoki tena wandugu na ndio 666. ukiwekewa tu wewe ni jehanamu moja kwa moja. lakini msiogope maana haitatenda kazi mpaka kanisa limeondoka duniani.
  158. Du!!! watu wa Mungu hii vita, tukeshe tukiomba kwani hatujui siku ya kuja mwana wa Adamu, lakini tuyaonapo haya tujue mwana wa Adamu yu karibu.
  159. Shalom wapendwa wote..
    Mpendwa ukianza kuangalia kimwili hautashinda vita bali hii vita ni ya kupiga kiroho tu maana siku za mwisho ndo hizi……..tukianza kusema
    akamatwe afungwe si rahisi kumshika ibilisi na kumweka ndani bali tutaanza kuingiza hofu na mashaka kuwa tunaogopa hili jamabo kwa ulimwengu wa mwili ni ngumu bali kiroho tunaweza…….sisi tukaze mwendo tupige vita vya imani basi kilichobakia
  160. Mtakatifu aendelee kujitakasa na mwanye dhambi aendelee kutenda dhambi;
    Hatuwezi kuibadili dunia ila katikati ya vita na uovu unaoendelea bado tumehakikishiwa ushindi.
    Tito 2;10-14
    11Kwa maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa.
    12Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya kumcha Mungu, katika ulimwengu huu wa sasa, huku
    13tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo,
    14Yeye ndiye aliyejitoa nafsi Yake kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali Yake Mwenyewe, yaani, wale walio na bidii katika kutenda mema.
  161. Ndugu yangu Sponda Spriano unaposema kwa nini mkubwa wao asikamatwe na kufungwa ni ngumu sana jambo hili kutendeka kwa maana nyingine unauliza hivi kwa nini shetani asikamatwe na kufungwa? Dunia hii ina mungu wake ambaye ndiye mhasisi,anaratibu na kusimamia mambo hayo. Hivi shetani anaweza kujikamata na kujifunga mwenyewe?jibu ni hapana hapa tunatakiwa kuingia katika maombi kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka,juu ya wakuu wa giza hili,juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.Naokuomba usome Waefeso 6:10-18.
    Ubarikiwe
  162. Bwana Yesu asifiwe
    Nafarijika kuchukua nafasi kusema sisi kama wakristo ebu tusimame katika nafasi zetu. Tatizo ni kwamba tumejawa na hofu…
    Mungu anasema watu wake wanaangamia kwa kukosa maarifa…
    Na tumeambiwa kumcha bwana ndiyo chanzo cha maarifa.
    Sasa ndugu zangu inatubidi tumche bwana atatupatia maarifa na hao Freemason tutawajua vizuri sana kwa msaada wa Roho mtakatifu.
    Inatubidi tumwabudu Mungu wetu katika roho na kweli ili tuwe katika nafasi nzuri ya kwenda mbinguni.
    Ninashawishika kusema tuondoe akilini mwetu kwamba freemason wanatisha ukweli ni kwamba hawatishi hata kidogo katika Jina La Yesu Kristo wa Nazareti. Sisi ndiyo tunasababisha waonekane wanatisha au ni matajiri sana. Tatizo ni kwamba hatujasimama katika nafasi zetu… Maandiko yameandika Mungu si mwanadamu hata aseme uongo… Nchi na vyote viijavyazo ni mali ya bwana..
    Baada ya hayo akatupa mamlaka tuende kumiliki na kutawala.
    Ndugu zangu pamoja na Mungu kutuahidi mambo yote hayo bado tunakuwa na imani ya mashaka mashaka eti tunawaogopa freemason. Popote pale ulipo simama katika zamu yako na kumbuka MAOMBI yana nguvu kubwa sana.
    Kwa hofu hii tuliyonayo freemason wataendelea kujichukulia umaarufu na kuendelea kuitawala dunia.
    Jamani tuwe na hekima na busara tukumbuke maneno yanaumba na jinsi tunavyoendelea kuwazungumzia freemason ndivyo tunavyozidi kuwaimarisha. Ebu tukae na tueke mada jinsi gani ya kujikinga na kuwashinda freemason katika jina la Yesu
    Jamani huo ni mtazamo wangu tu
    Tusimame katika maombi
  163. JAMANI, KUNA JAMBO NATAKA KUONGELEA.JE UNAJUA KWAMBA AFRIKA NDILO BARA LINALOONGOZA KWA KUWA NA HOFU YA UCHAWI NA MASHETANI? KUOGOPA IBADA ZA MIUNGU NI AGIZO LA MUNGU,LAKINI HII INATUPA HOFU KIASI HIKI? MCHUNGAJI AKIWA NA KANISA KUBWA WATU WANASEMA AMEENDA NIGERIA KUTAFUTA DAWA,AU AMEJOIN FREE MASON. MFANYA BIASHARA AKIFAULU KWA MKOPO WA WA BENKI NA JUHUDI ZAKE,WATU WANASEMA AMEJOIN KWA MASHETANI. HIVI HATUONI KWAMBA TUNAMPA SHETANI UTUKUFU KULIKO MUNGU? HIVI MAMBO MAZURI YOOTE NI YA SHETANI? KUMBUKA SHETANI YUPO TANGU MWANZO KABLA YA MWANADAMU NA NDIO MAANA YESU ALISEMA YOOOOOTE YAMEKWISHA,KWA MAANA KWAMBA SHETANI HAWEZI TENA KUMUMILIKI MTU BILA HIARI YAKE. MBONA TUNA HOFU KIBAO?WASHETANI WATAEDELEA KUWAPO NA WA MUNGU WAPO IMARA PAMOJA NA YESU KRISTO ALIYE HAI. USIOGOPE ,MCHE MUNGU KWA ROHO NA KWELI SHETANI YUPO NA WALE WAMUAMINIO TU .HALLELLUJAH !!!! PASTOR JOHN MWITA-FPCT SIRARI. 0784624244
  164. Shaloom, kwa upande wangu sioni haja kwa wapendwa katika Yesu kua na hofu kuhusu jambo hili, kwakua yalikwisha tabiriwa na kuandikwa, basi hatuna budi kujiandaa kwa hayo kukamilisha safari yetu hii kuelekea mbinguni. Mungu awabariki!

Leave a Reply